Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117350 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOT GOVERNOR MEETS CEOs OF COMMERCIAL BANKS

DISCOUNT RATE REDUCTION SHOULD MAKE BANKS THINK ABOUT LENDING RATESThe Bank of Tanzania Governor, Prof. Benno Ndulu, has urged banks and financial institutions to take note of the downward review of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTB NA MAURTIUS KUUNGANISHA NGUVU KATIKA KUTANGAZA UTALII.

Na: Geofrey Tengeneza -BerlinBodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Mamlaka ya Ukuzaji Utalii ya Mauritius zimetiliana saini mkataba wa ushirikiano baina yao katika kutangaza wa nchi hizo mbili kwa pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB tawi la Mlimani City yaadhisha siku ya wanawake na wateja wake

Baadhi ya wateja wa akaunti ya Malkia ya Benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakiwa na zawadi zao walizopewa na benki hiyo wakati wa kusherehekea siku ya wanawake iliyoadhimishwa leo ofisini kwao jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COCA-COLA YAZINDUWA MUONEKANO MPYA WA AMSHA SHANGWE NA COCA-COLA MKOANI MBEYA...

Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya CocaCola Tanzania, David Karamagi akionja Msisimko na muonekano mpya wa Coca-Cola kwanza uliobatizwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola uliozinduliwa leo katika kiwanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AONGOZA TULIA MARATHONI JIJINI MBEYA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh Nape Nnauye Akiwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye Mbio za Tulia Marathoni zilizofanyika jijini Mbeya akiwa ameambatana na aibu Spika wa Bunge la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM DK. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA MAGEUZI MAKUBWA...

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana akizungumza mara baada ya kikao hicho kufunguliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt. John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAVUTWA SHATI NA ZANACO TAIFA LEO, YATOKA SARE YA BAO 1-1

 Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiWAWAKILISHI wa Tanzania katika Michuano ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika, "Dar Young Africans" wameshindwa kutamba kwenye kiwanja cha nyumbani katika mchezo wa kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWZ ALERT:HAYA NDIO MAAMUZI YA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MABALOZI WA MTOTO MFANYAKAZI WA NYUMBANI YAFANA JIJINI MWANZA.

Wanafunzi wa shule ya msingi Nyamagana wameibuka washindi kwenye mashindano elimishi kwa klabu za mabalozi wa mtoto mfanyakazi wa nyumbani dhidi ya wakubwa zao kutoka shule ya sekondari Nyakurunduma,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YASHINDA TUZO MAALUM YA KUSAIDIA AFYA YA MAMA NA...

 Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC,Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya(kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asasi ya Nitetee Flora Lauo,Ikiwa ni tuzo maalum kwa  mchango wa kampuni hiyo kwa kusaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHYROSE AWASILISHA MUSWADA BINAFSI KUSAIDIA WENYE ULEMAVU

Muswada binafsi wenye lengo la kutungwa kwa sheria ya kuwalinda albino umewasilishwa kwenye kikao kinachoendelea mjini Kigali, Rwanda. Muswada huo umewasilishwa bungeni na Mheshimiwa Shyrose Bhanji,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MARCH 12,2017

KUSOMA ZAIDI MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FATIKIA HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM, DKT. MAGUFULI KUPITIA HAPA

Kwa wale ambao mpo mbali na Luninga matangazo ya moja kwa moja 'Live' kutoka Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ambao Mhe. Rais Magufuli anahutubia muda huu mnaweza kuyapata matangazo hayo kupitia tovuti rasmi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM,RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA MKUTANO MKUU MAALUM...

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akiwahutubia wajumbe wapatao 2356,ambapo walipaswa kuwa wajumbe 2380 katika mkutano huo Mkuu Maalum wa CCM uliokuwa na lengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fighting for his life - please help

Haji Rajab is in a coma fighting for his life. He was found three days ago by a passerby unresponsive on the side of a road while on his usual exercise routine in the park. A CPR attempt to stabilize...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYAYO ZA ZAMADAMU ZATIKISA MAONESHO YA ITB UJERUMANI

Picha ya mchoro wa binadamu wa kale wakitembea katika eneo la Laetoli lililoko km 45 kusini mwa Olduvai gorge. Na Geofrey Tengeneza- Berlin.Nyayo na picha za michoro ya binadamu wa kale (zamadamu)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANGAZAJI WA MICHEZO WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

 Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo, Yusuph Omari akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo na Warsha ya Wanahabari za michezo  juu ya maadili ya utangazaji kwenye radio na Televisheni na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga ampokea Mjumbe Maalum kutoka Ujerumani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akizungumza na Mjumbe Maalum, Balozi Harro Adt aliyewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Kansela wa Ujerumani, Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI MKURANGA WAPATA HUDUMA ZA VIPIMO VYA AFYA ZAO BURE

 Na Chalila Kibuda , Globu ya Jamii Wananchi wa Mkuranga wametakiwa kujitokeza kupima magonjwa mbalimbali na pale wanapokutwa kuweza kutibu kwa wakati mwafaka.Akizungumza katika upimaji wa Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE APONGEZA KUKAMILIKA KWA UJENZI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI ,ASEMA...

MBUNGE wa Viti maalum Wanawake mkoani Ruvuma, Jackline Msongozi kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameipongeza serikali ya awamu ya tano kupitia Wakala wake wa barabara Tanroads mkoani hapa,...

View Article
Browsing all 117350 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>