Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117361

COCA-COLA YAZINDUWA MUONEKANO MPYA WA AMSHA SHANGWE NA COCA-COLA MKOANI MBEYA LEO

$
0
0
Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya CocaCola Tanzania, David Karamagi akionja Msisimko na muonekano mpya wa Coca-Cola kwanza uliobatizwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola uliozinduliwa leo katika kiwanda cha Coca-Cola kwanza kilichopo Iyunga Jirani na Tazara mkoani Mbeya, timu nzima ya Coca-Cola kuzama Mtaani na kutambulisha muonekano Mpya wa Coca-Cola Amsha shangwe kwa wanambeya wote.
Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya CocaCola Tanzania, David Karamagi akizungumza jambo wakati akiwapongeza wafanyakazi wa Coca-Cola kwanza kwa kufanya vizuri Katika mauzo na kuwataka wafanyankazi kuongeza bidii kwa kufanya kazi yakinifu katika masoko ili kuleta tija katika kampuni hiyo. 
 Meneja wa Coca-Cola Tanzania, Sialouire Shayo akizungumza jambo mbele ya wafanyakazi na wadau wa Coca-Cola kwanza (hawapo pichani) Katika hafra fupi ya kuzinduwa kampeni ya muonekano mpya wa Coca -Cola Mkoani Mbeya uendao kwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya.
Meneja Masoko wa Coca-Cola Tanzania, Peter Mpara Nae alipata Fursa ya kuelezea muonekano huo wa Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya Katika hafra fupi ya kuzinduwa kampeni ya muonekano mpya wa Coca -Cola Mkoani Mbeya uendao kwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya..
Baadhi ya Wafanyakazi na wadau wa Coca-Cola kwanza wakipata burudani ya muziki sanjari na kupiga picha kwa pamoja kwa kuamsha shangwe na Coca-ColaKatika.

PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117361

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>