Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 118927 articles
Browse latest View live

Mrema Awashauri Vijana

View Article


YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO August 13, 2016.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete yafanya upasuaji mkubwa wa moyo...

TAASISI ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es salaam leo imefanya upasuaji mkubwa na  kuweka betri katika moyo wa mtu wa makamo kwa mafanikio. Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Profesa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Former President Kikwete issues Interim Statement of the Commonwealth...

The Chair of the Commonwealth Observer Group, HE Dr Jakaya Kikwete, former President of the United Republic of Tanzania (pictured above) says that the voting, closing and counting process following the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHITIMISHA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewahimiza wananchi wa Tanzania Bara na Zanzibar kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO JUMAPILI AGOSTI 14

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLEZENCIA NA JOSEPH WAMEREMETA

Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Tanzania Daima, Clezencia Tryphone wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa na Joseph Singano katika Kanisa la Mt. Nicholaus Parokia ya Kunduchi jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela jana alitembelea Isimila

 Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela jana  alitembelea eneo la Isimila na kujionea uzuri na mandhari yake. Isimila ni eneo la kihistoria lililopo mkoani Iringa nchini Tanzania, katika kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI MKOANI SIMIYU YAAZIMIA KUWACHUKULIA HATUA WATENDAJI WANAOTOA TAKWIMU...

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka akizungumza na Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za  Mkoa huo (hawapo pichani), katika Mafunzo elekezi yaliyotolewa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARSHA YA KIMATAIFA KUHUSU MPANGO WA TAKWIMU ZA MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU...

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Dk. Aziz Ponary Mlima akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi wakati akifungua warsha ya kimataifa kuhusu mpango wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUNDI 10 YATINGA ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2016 CHINI YA UDHAMINI WA...

 Kundi la DDI Crew la jijini Dar es wakionyesha umahiri wao wakati wa shindano la  robo fainali la Dance 100% 2016  lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini,Shindano hilo...

View Article

YANGA YAFUFUA MATUMAINI KUSONGA MBELE KOMBE LA CAF

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China yaonyesha nia ya kusaidia Chuo cha Taifa...

Na Frank Shija, MAELEZOChuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuwa miongoni mwa Vyuo Vikuu Vitano vitakavyo jikita katika fani za Usafirishaji vitakavyojengwa Barani Afrika kwa msaada wa Serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO ZIARANI LUSHOTO KUKAGUA...

 Waziri  wa Nchi - Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba akielezea hali ya upatikanaji wa umeme katika jimbo lake, mara Waziri wa Nishati na Madini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA KUFUNGA DIRISHA LEO, TIMU ZAPIGWA FAINI

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), leo saa 6:00 usiku litafunga tena dirisha la usajili baada ya kulifungua jana kwa saa 48 na imebainika kuwa timu tatu zaidi zilikuwa na dosari katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII YATAKIWA KUWEKEZA KWENYE VIWANDA

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama ameitaka Mifuko ya Hifadhi za jamii kuwekeza kwenye viwanda ili kuchochea uchumi wa viwanda utakaolisaidia taifa kukua kiuchumi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALI KIBA LADY JAY DEE WAFUNIKA TAMASHA LA SEREBUKA 2016 LILILOANDALIWA NA...

 Msanii, Ally Salehe 'Ali Kiba' akishambulia jukwaa wakati akitumbuiza kwenye  tamasha la kutimiza miaka Miwili ya Chaneli ya Startimes Swahili tokea kuanzishwa Kwake. Tamasha hilo lililopewa jina la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA RASMI YA UMOJA WA VIJANA WA CCM KUFUATIA UCHUNGUZI NA MAAZIMIO...

 Karibuni sana katika mkutano wetu muhimu tunaofanya leo tukiwa hapa Dodoma mara baada ya kumalizika kwa kikao cha juu cha Jumuiya yetu yaani Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa.Tarehe 10 Agost...

View Article

HOTUBA YA JPM ALIPOPOKELEWA DAR ES SALAAM KWA MARA YA KWANZA KAMA MWENYEKITI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking nyuzzzz: Rais wa Zamani wa Zanzibar afariki Dunia leo, Rais Dkt....

Taarifa iliyotufikia mchana huu, inaeleza kuwa  kuwa Rais wa awamu ya pili wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Baraza la Mapinduzi (1972-1984), Mzee Aboud Jumbe Mwinyi amefariki dunia leo baada ya kuugua kwa...

View Article
Browsing all 118927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>