Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118936

MAKUNDI 10 YATINGA ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2016 CHINI YA UDHAMINI WA VODACOM TANZANIA

$
0
0
 Kundi la DDI Crew la jijini Dar es wakionyesha umahiri wao wakati wa shindano la  robo fainali la Dance 100% 2016  lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini,Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika  hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
 Kikundi cha The Guest Crew la jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao  kusakata dance wakati wa shindano la  robo fainali la Dance 100% 2016  lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika  hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki
 TIMU MAKOROKORO: Kundi la timu Makorokoro  Boys la jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dance wakati wa shindano la  robo fainali la Dance 100% 2016  lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika  hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
 Kundi la J COmbaty la Zanzibar wakikonga nyoyo za mashabiki wakati wa robo fainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam . Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika  hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA






Viewing all articles
Browse latest Browse all 118936

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>