Quantcast
Browsing all 118846 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli atuma salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Askofu Nkalanga

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAKURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULUSimu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz              Faksi: 255-22-2113425OFISI YA RAIS,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME...

Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Florence Mwanri (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia na kupata maelezo kutoka kwa Injinia wa kituo Bw. Rajabu Kindunda (wa tatu kulia) kuhusu Bwawa...

View Article


MAGUFULI NAMPENDA AMERUDISHA ENZI ZA KARUME NA NYERERE HUYU - MZEE KUNDIHERI,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA...

BALOZI, MAALIM DR. ALI AHMED SALEH AKISIDINDIKIZWA NA MSIMAMIZI WAKE WA MASOMO(SUPERVISOR) PROF. HOSSEA RWEGOSHORA KUPOKEA SHAHADA YAKE YA PhD.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani milioni 1,207,990

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa pili kulia) akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya Tanzanite katika eneo la Mirelani mkoani Manyara mara baada ya kumaliza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yashinda tuzo mbili kwa kutoa huduma bora kwa wateja

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa kutoa huduma za kibunifu imetunikiwa tuzo mbili za ubora za Tanzania Leadership Awards 2015 katika halfa iliyofanyika katika hotel ya Hyatt jijini...

View Article

Prof. Mbalawa atoa miezi mine kuhakikisha mradi wa maji mjini Geita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONI 137 ZIMETENGWA KWA AJILI YA ELIMU YA BURE - WAZIRI MKUU

SERIKALI imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani.Kauli hiyo imetolewa jana jioni (Jumapili, Desemba 20, 2015) na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikabidhiwa zawadi ya shati la asili la  Wamwera  na Mzee Saidi Issa Hanga katika mkutano wa hadhara aliouhutubia  mjini Ruangwa Desemba 20, 2015. Waziri Mkuu, Kassim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEPF WATOA MSAADA KWA TAASISI YA ALLIANCE FOR SOCIAL ALLEVATION (ASE)

Meneja wa GEPF mkoa wa Kinondoni, Mohammed Nyallo akikabidhi vifaa (computers, printers na camera) kwa Bi Tipwa Mapunda kiongozi mwandamizi wa ASE taasisi ya vicoba ambayo ina wanachama katika Mfuko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi...

Na Beatrice Lyimo-MaelezoAsilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA)  yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI...

SHIRIKA la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII

 Abiria wa Treni ya Reli ya kati inayofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Kigoma, wakimuangalia mmoja wa abiria mwenzao akiwa nje ya Treni hiyo wakati ikiendelea na safari, kwa madai ya...

View Article


MAITI ZALAZWA SAKAKFUNI HOSPITALI YA MAFINGA

Udogo wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mafinga yalazimu wahudumu wa hospitali hiyo kulaza maiti sakafuni.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI 16 WAPATIKANA KATIKA DROO YA AIRTEL MKWANJIKA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akiongea namoja ya  washindi kupitia simu ya mkononi wakati wa kuendesha droo yakwanza ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 16...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORODHA YA WAUZA DAWA ZA KULEVYA HAINISADII-KITWANGA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu wakati alipokuwa anawasili Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI...

Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa akipata maelekezo ya ziada kuhusu ujenzi wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa kwenye eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO

 Katika utekelezaji wa ahadi zake Mbunge wa jimbo la Mlalo Rashid Shangazi amekabidhi mabati 40 ya geji 28 kwa wanajimbo la Mlalo  kwaajili ya  kwa ajili ya jengo la Maabara shule ya Sekondari Mtae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH....

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akitoa maelekezo kwa watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu-Utumishi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TSHABALALA AKABIDHIWA TUNZO YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI

Katika kuongeza morali na kuwazawadia wachezaji wanaofanya vizuri, Klabu ya Simba ilianzisha Tunzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi kuanzia mwezi wa Septemba 2015.MSHINDI wa mwezi wa Oktoba, 2015 ni Mohamed...

View Article
Browsing all 118846 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>