Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagonjwa 316 wapata huduma za madaktari bingwa mkoani Kigoma

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya wakina Mama,Dk. Mrema (wa pili kutoka kulia) akimsikiliza kwa makini mmoja wa wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa lengo la kupatiwa ushauri na tiba sahihi,wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWF yatoa zawadi kwa mshindi wa nne na watano wa shindano la mwanamakuka 2013

Mshindi wa nne wa shindano la Mwanamakuka 2013 bi Maajabu Rajab akipokea hundi  yake kutoka kwa  Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB),Bi Magreth Chacha kwenye hafla fupi iliofanyika kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana awapongeza vijana wa ifakara kwa uchapaji kazi,awaasa kutobweteka.

Mmoja wa wanachama wa chama cha CHADEMA akikabidhi kadi yake kwa Ndugu Kinana na baadae kukabidhiwa kadi ya chama cha CCM,akiwa ni mwanachama mpya aliyejiunga na chama hicho.Baadhi ya Wanchi wa eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mipango ya Kutumia Mfumo Wa Kieletroniki Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015...

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Tanzania Bw Damian Lubuva--Tume ya uchaguzi ya Tanzania imesema ina mipango ya kutumia mfumo wa kieletroniki kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 inatekelezwa.Akiongea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TFF LEO

AS FAR RABAT YA MOROCCO SASA KUTUA DAR ES SALAAM SAA 7 LEOTIMU ya AS FAR Rabat ya Morocco itakayoikabili Azam kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho inatua nchini leo (Aprili 17 mwaka huu) saa 7.30 mchana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 22

Register through COICT website HereFor Enquiries email us HereMIKONO BUSINESS CONSULT | Ohio street | P. O. Box 77326, Dar es salaam, TZTelephone: +255717109362 | Fax: | Email: info@mikono.biz | Web:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kumbukumbu

MRS ELIZABETH CHISENGA TSEREMama yetu mpendwa, Leo tarehe 17 April imetimia miaka 8 tangu uitwe mbele za haki.Unakumbukwa sana na wanao Patrick,Francis na Assumpta pia wakwe zako Tumaini,Agnes na Chris...

View Article

introducing Ree K-Farida's 'mpenzi' official video

View Article


KUTOA TAARIFA ZA SIRI KATIKA MAWASILIANO YA ELEKTRONIKI NI KOSA LA JINAI -...

Serikali imeona kuzuka kwa tabia ya uvunjaji wa kanuni ya utunzaji wa siri za taarifa za mawasiliano binafsi ya watumiaji wa huduma za simu za mkononi. Taarifa hizo zimefikia hatua ya kuchapishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

kumbukumbu

Marehemu Anthony Njeje.Ni miaka mitano sasa imepita tangu ulipokwenda kwenye makao ya kudumu Baba yetu Mpendwa tarehe 17.04.2008.  Baba, hatupo nawe kimwili lakinii kiroho upo nasi daima. Tunakukumbuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KCMC'S Shine A Light group launch official website

This is a group founded by KCMC (Kilimanjaro Christian Medical University College)students in 3 years ago aimed at helping children who are less fortunate (orphans ,street children etc ) achieve their...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Dar Indian Ocean 2013 kufanyika April 30

 Warembo wa Kitongoji cha Dar Indian Ocean (Redd's Miss Dar Indian Ocean) wakiwa kwenye picha ya Pamoja wakati wakiwa kwenye maandalizi ya kuingia kwenye kinyang'anyiro chai kitakachofanyika April...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikutano ya kipupwe yaanza rasmi mjini Washington DC

Mikutano ya kipupwe imeanza rasmi mjini Washington DC kuanzia tarehe 15/4/2013 na kuhudhuriwa na nchi wanachama zaidi ya 188. Kila kunapokuwa na mikutano ya kipupwe maelfu ya wafanyakazi wa Serikali,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Golden bush yakipiga na Moro Star Veterans huko mji kasoro bahari

Kikosi kizima cha Golden bush kilikuwa Morogoro mwishoni mwa wiki kupambana na wazee wenzao Moro Star Veterans wakiongozwa na Nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Mecky Maxime na wachezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mstahiki Meya Jerry Silaa azindua kambi ya Starkey itakayotoa huduma Bure na...

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akilakiwa na uongozi wa Starkey alipowasili katika shule ya Buguruni Viziwi kuzindua kambi ya Starkey itakayokuwa inatoa huduma ya...

View Article


Wajela jela Original

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 11

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NYUZZZZ...........: BI KIDUDE AFARIKI DUNIA

TAARIFA YA UHAKIKA KABISA ILIYOIFIKIA GLOBU YA JAMII HIVI PUNDE,INAELEZA KUWA MKONGWE WA MUZIKI WA MWAMBAO HAPA NCHINI,KIDUDE BINT BARAKA MAARUU KAMA BI. KIDUDE,AMEFARIKI DUNIA MUDA MFUPI ULIOPITA.BI....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu,Alhaj Ali Hassan Mwinyi akutana na Waandishi wa Habari Jijini...

 Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) aliowaita leo nyumbani kwake Mikocheni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 8

View Article
Browsing all 116894 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>