Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba
Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni
Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba
Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo.
TEMBELEA LIBENEKE LA IKULU MAWASILIANO KWA PICHA ZAIDI
TEMBELEA LIBENEKE LA IKULU MAWASILIANO KWA PICHA ZAIDI