Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nje ya nyumba ya Rais wa Kwanza mzalendo Nelson Mandela jijini Johannesburg, Afika ya Kusini. Kutoka kushoto ni Festo Sikagonamo (ITV), Albano Midelo (Nipashe), Phinias Bashaya (Mwananchi), Lilian Shirima (TBC 1) na Alex Magwiza (TBC Taifa).
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa na mwanahabari kutoka Reuters aliyetega camera yake nje ya nyumba ya Mzee Nelson Mandela.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakitembelea Jengo la Mahakama ya Katiba Johannesburg.
Lilian Shirima wa TBC 1 akiwa amembeba kitukuu cha Mzee Nelson Mandela mara baada ya kutembelea nyumbani kwa Winnie Mandela.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nyumbani kwa Winnie Mandela.
Festo Sikagonamo akiangalia kwa umakini kitanda kilichokuwa kikitumiwa na Mzee Nelson Mandela.