Msanii Dogo Mfaume amefariki dunia katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa anapata matibabu kwa kusumbuliwa na uvimbe kichwani. Kibao hiki cha "KAZI YANGU YA DUKANI" kilimpatia tuzo ya mwaka 2008. Globu ya Jamii inatoa rambirambi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa kumpoteza msanii huyo hodari. Mola aiweke roho yake mahali pema peponi - Amin
↧