Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Mrema aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.Tuzo hizo zimetolewa na Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR). Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Bi. Emmi Ally Ghahae na Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba.

Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Uzinduzi huo ulienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Agustine Lyatonga Mrema( kulia) aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wenzake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Bi. Emmi Ally Ghahae akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam.Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii akiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale na Mrema aliyepokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.Tuzo hizo zimetolewa na taasisi hiyo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema na Mrakibu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Scholastica Luhamba.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mama’s and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Bi. Emmi Ally Ghahae akionyesha tuzo maalum kwa kutambua mchango wa Mhe. Agustine Lyatonga Mrema (mwenye kofia) katika kuthamini jamii wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam. Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale ambapo Mrema alipokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.

Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole nchini Tanzania Agustine Lyatonga Mrema akipokea risala kutoka kwa mmoja wa wanufaika wa Taasis ya Mama’ and Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Sempeho Samweli Mtangi wakati wa hafla ya uzinduzi wa program ya uanzishaji wa Klabu za Kupambana na dawa za Kulevya mashuleni jana Jijini Dar es Salam. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Bi. Emmi Ally Ghahae. Hafla hiyo ilienda sambamba na utoaji wa tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wa masuala ya kijamii wakiwemo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, Mohamed Dewji, Mustafa Sabodo, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale ambapo Mrema alipokea tuzo zote kwa niaba ya wengine.