Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akikaza nati katika daraja la Nduruma lenye urefu wa mita 60 linalojengwa katika barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa KM 14.1 wakati alipokagua barabara hiyo, mkoani Arusha leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa kwanza kushoto), akikagua moja ya daraja lililopo katika barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa KM 14.1 inayojengwa na Mkandarasi wa Kampuni ya M/S Hanil Jiangsu J/V wakati alipokagua barabara hiyo, mkoani Arusha leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akizungumza na wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha mara baada ya kukagua barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa KM 14.1.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa uongozi wa Kampuni ya ujenzi ya Chicco, wakati alipokuwa akikagua barabara ya Kia-Mererani yenye urefu wa KM 26, mkoani Arusha, leo.