Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117061

UZINDUZI WA MICHUANO YA MPIRA WA MIGUU YA MAJIMBO YA CCM ZANZIBAR

$
0
0
 Vijana wa CCM Family wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein
 Vijana wa CCM Jimbo la Jang'ombe wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein
 Vijana wa CCM Afisi Kuu Kisiwandui wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein
 Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo
Baadhi ya wanakamati ya maandalizi ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan uliofanyika leo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya Uzinduzi wa michuano hiyo. Picha na Ikulu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117061

Trending Articles