Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117062

ZANZIBAR KUADHIMISHA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIA LEO MACH 24

$
0
0
Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla akitoa maelezo kwa wandishi wa habari na kumkaribisha Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman katika mkutano wake na wandi wa habari uliofanyika ukumbi wa Wizara hiyo Mjini Unguja.
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman akitoa maelezo kwa wandishi wa habari kuhusu mapambano zidi ya Kifua Kikuu katika ukumbi wa Wizara ya Afya.
Baadhi ya wandishi wa habari waliofika katika mkutano wa Naibu Wizara ya Afya wakifuatilia mkutano huo.
Mkuu wa kitengo cha Kifua Kikuu (TB) Zanzibar Dkt. Khamis Abubakar Suleiman akijibu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari katika mkutano wao.

Picha na Makame Mshenga-Maelezo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117062

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>