Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Droo ya makundi ya klabu Bingwa Afrika inatarajiwa kupangwa kwa timu 16 kuingia kwenye makundi manne.
Timu hizo zimepangwa kwenye vyungu vinne kulingana na alama zao ndani ya miaka mitanoi kulingana na ushiriki wao kwenye michuano ya kimataifa.
Makundi yatakuwa manne kila POT Itatoa timu moja ili kuunda makundi manne timu zimepangwa kwenye Pot kulingana na Pointi zao za CAF Kwa miaka Mitano.
DROO YA MAKUNDI
POT 1
-Al Ahly (Misri)
-Zamalek (Misri)
-Etòile du Sahel (Tunisia)
-Mamelodi Sundowns (Africa kusini)
POT 2
-Al Hilal (Sudani)
-Espèrance de Tunis (Tunisia)
-Wydad Casablanca (Morroco)
-USM Alger (Algeria)
POT 3
-Al Merreikh (Sudani)
-Cotton Sports -Ivory Coast
-As Vita Club (Congo)
-Al-Ahli Tripoli (Libya)
POT 4
-St George(Ethiopia)
-Ferroviario Maputo (Msumbiji)
-Zanaco Fc (Zambia)
-CAPS United (Zimbambwe)