Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117140

Wanafunzi wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Northwestern Pritzker Chicago Illinois nchini Marekani wamtembelea kaimu jaji mkuu jijini Dar es salaam

$
0
0
Wanafunzi wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Northwestern Pritzker Chicago, Illinois nchini Marekani wakiwa wamemtembelea Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, Mahakama ya Rufani jijini Dar es Salaam. Wanafunzi hao wako nchini kwa ajili ya Utafiti wao kuhusu hali ya  sasa ya Makosa ya Mauaji ya Wanyamapori  na Usimamizi wa Rasilimali ya Wanyamapori Tanzania
 Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, Mahakama ya Rufani jijini Dar es Salaam akiongea na Wanafunzi wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Northwestern Pritzker Chicago, Illinois nchini Marekani. Pamoja naye ni Jaji Kiongozi Mhe. Ferdinand Wambari
 Badi ya Wanafunzi wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Northwestern Pritzker Chicago, Illinois nchini Marekani wakisikiliza Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma walipomtembelea kwenye ofisi zake katika Mahakama ya Rufani jijini Dar es Salaam.
Picha na LYDIA CHURI-MAHAKAMA YA TANZANIA


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117140

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>