Family ya Frederick Malika ya Kijitonyama Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao mpendwa Mr. Raphael Frederick Malika kilichotokea Jumanne Tarehe 14 March 2017 hospitali ya Muhimbili. Habari ziwafike ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
RATIBA YA MAZISHI:
Jumamosi, 18 March 2017
• Saa 7 Mchana – Misa Takatifu - St Albans Church, Dar es salaam City Center
• Saa 8 Mchana - Heshima za mwisho kwa Marehemu - St Albans Church, Dar es salaam City Center
• Saa 9 mpaka Saa 10 Mchana - Safari ya kuelekea Makaburi ya Kinondoni - Shughuli za Mazishi kwenye Makaburi ya Kinondoni (Ndani)
Bwana alitoa na Bwana ametwaa,
jina la Bwana lihimidiwe.
AMEN!