Inna lilahi wainna ilyhi raajiun, Napenda kuwapa taarifa za kifo cha Bi Nuru Bint Daudi (Mama yake na Yusuf Kikwete) kilichotokea usiku wa kuamkia leo hospitali ya Taifa Muhimbili.
Taarifa zaidi za mipango na mazishi yatafanyika wapi tutaarifiwa hapo baadae kadri muda unavyokwenda.
HAKIKA SISI NI WA MWENYEZIMUNGU NA KWAKE TUTAREJEA.