Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118915

NEWS ALERT: Salim zagar achaguliwa kuwa mwenyekiti wa klabu ya Pan African, Makamu wake Shabani Kessi Mtambo

$
0
0
 Katibu wa kamati ya uchaguzi  Bw. Peter Mushi akisoma matokeo ya uchaguzi wa uongozi wa Pan African uliosimamiwa na kamati ya uchaguzi  pembeni yake ambayo ni toka kushoto  Sunday Manara "Computer:, Mzee Chombinga, Mzee Muhidini Ndolanga na Mzee Mtulia
 Katibu kamati ya uchaguzi Bw. Peter Mushi  akifafanua jambo baada ya uchaguzi katika mkutano mkuu wa klabu ya Pan African uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.Nyuma yake kutoka kulia ni viongozi hao wapya ambao ni Salim Zagar (Mwenyekiti) Shabani Kessi Mtambo (Makamu Mwenyekiti) na wajumbe Kepteni Davis Malikita, Salum Carlos Mwinyimkuu na Mohamed Mkweche
 Sehemu ya wanachama wakiwa katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo.
  katika mkutano mkuu uliofanyika hoteli ya Falcon Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo. kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118915

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>