Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Safari Lager yakabidhi vifaa vya michezo kwa timu zitakazoshiriki mashindano ya pool mkoani Morogoro

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wa Mkoa wa Morogoro, James Gomile(kushoto) akimkabidhi Vifaa vya michezo,Nahodha wa timu ya Chuo cha SUA, Calvin Mjema wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo kwa Vyo shiriki vya mashindano ya mchezo wa Pool kwa Vyuo vya Elimu ya juu Mkoani Morogoro.Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Pool Mkoa wa Morogoro, Patrick Lugang’ha.
Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wa Mkoa wa Morogoro, James Gomile(kushoto) akimkabidhi Vifaa vya michezo,Rais wa Chuo Kikuu cha ARDHI, Moyo Hamza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo kwa Vyo shiriki vya mashindano ya mchezo wa Pool kwa Vyuo vya Elimu ya juu Mkoani Morogoro.Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Pool Mkoa wa Morogoro, Patrick Lugang’ha.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>