Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117025

hii ni hatari sana

$
0
0
Hivi karibuni,kamera ya Globu ya Jamii ilimnasa mtu huyu anaedaiwa kuwa ni omba omba akiwa amekaa katikati ya Barabara ya Bagamoyo katika eneo la Victoria jijini Dar es Salaam,akijaribu kuomba wenye magari wanaotumia njia hiyo.hali hii ni ya hatari sana kwake,hasa ukizingatia kuwa barabara hiyo iko na njia tatu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117025

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>