Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118000

FEEDBACK ya Mdau aliekuwa amepotelewa na leseni

Salaam Ankal,


Naomba kukufahamisha kwamba ile Leseni ya udereva iliyookotwa jana maeneo ya Boko barabara ya Ununio DSM Tz,mwenyewe tayari amepatikana na amekabidhiwa.
Wadau bado wanaendelea kunipigia simu nadhani ni vizuri wakifahamishwa hili.

Ahsante sana na Lidumu Libeneke la Globu ya Jamii.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>