Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110175 articles
Browse latest View live

MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mhe. Joseph Mbilinyi (sugu) watatu toka kushoto akiteta jambo na Mhe/ Peter Msigwa Mbunge wa Iringa katika mkutano wa kumpa ridhaa Mbunge Mhe. Peter Msigwa kugombea ubunge kwenye jimbo hilo kwa miaka 5 ijayo kwa tiketi ya chama chake, CHADEMA.
 Msanii wa Bongo Flava Roma Mkatoliki akinogesha mkutano huo.
Mwimbaji wa nyimbo za injili Flora Mbasa akiimba moja ya nyimbo zake kwenye mkutano huo uliofanyika leo Jumapili July 18, 2015 mjini Iringa. 
Mhe. Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya akiunguruma kwenye mkutano huo wa wananchi wa Iringa wa kumpa ridhaa Mbunge wao Mhe. Peter Msigwa kugombea tena kwa miaka 5 katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu.

MHE. SALUM BARWANY CUF AWASHUKURU WANANCHI WAKE LINDI.

$
0
0

Mmoja wa viongozi CUF akiongea kwenye mkutano wa Wananchi ulioandaliwa na Mbunge wa Lindi Mjini Mhe. Salum Barwany leo Jumapili katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.

Mkutano wa CUF mjini Lindi leo Jumapili July 19, 2015 ulioandaliwa na  Mbunge Mhe. Salum Barwany katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.

Wafuasi wa chama cha CUF wakihudhuria mkutano huo.

Ngoma Africa Band To Rock 6th International African Festival Tubingen, Germany 2015

$
0
0

The popular Ngoma Africa band will be among many acts expected to thrill fans at the 5th International African Festival in Tübingen, Germany. The extravanganza will take place from July 23-26,2015.
Ngoma Africa, based in Germany, founded 1993 by bandleader Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja, is home to a number of talented musicians, including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B.
Others are Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Sarah Simbosh, Jessicha Ouyah, Groly Mundeke, Gailo Mayimona and others.
The band, followed by millions worldwide, is famous for driving audience crazy with 'Extraordinary Rhythm' Bongo dance from East Africa.
Ngoma Africa has released numbers of CDs, including latest 'BONGO TAMBARARE' and "La Mgambo " which you can listen to at www.reverbnation.com/ngomaafricaband or http://www.ngoma-africa.com

WAISLAM WA STOCKHOLM WALIVYO JUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KWENYE SIKU KUU YA EID

$
0
0
 Balozi wa Tanzania nchini Swedeni Mhe. Dora Msechu (wa pili kulia) akiwa na wenyeji wake kwenye sherehe za Eid el Fitr  jana kwenye ukumbi wa Huddinge jijini Stockholm ambako waislamu walijumuika na Watanzania wenzao kusherehekea mwisho wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu kwa kupata chakula cha  pamoja.
 Keki ya Eid na mapochopocho mengine
 Bi Aisha Waziri akikata keki ya Eid
 Wageni waalikwa wakijumuika kwa chakula cha Eid.

QS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni

$
0
0
 QS J Muhonda ambaye ambaye anasimamia kazi za wasanii kupitia kampuni yake ya QS leo alikua akirudisha Fomu ya Kuomba kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni.

QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira jambo ambalo linawapelekea kufanya vitendo vya kiovu ambavyo havikubaliki katika jamii.

MICHUANO YA KAGAME CUP YAZIDI KUPAMBA MOTO

$
0
0
Mechi kati ya APR ya Rwanda na
Al Shandy Kagame Cup 2015.
Picha na Bin Zubeiry
Michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea kutimua vumbi katika viwanja viwili vya Taifa na Karume vilivyopo jijini Dar es salaam, itaendelea kesho kwa michezo miwili itayopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa.

Katika michezo iliyochezwa leo, Malakia ya Sudani Kusini iliibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya Adama City ya Ethiopia, LLB ya Burundi ikitoka sare ya bila kufungana na  Heegan FC ya Somalia mchezo uliochezwa saa uwanja wa Karume, huku Azam FC wakiibuka na ushindi wa bao 1- 0 dhidi ya KCCA ya Uganda. 
Vinara wa kundi A timu ya Gor Mahia kutoka nchini Kenya, kesho jumatatu watashuka dimbani kucheza na timu ya KMKM kutoka Visiwani Zanzibar ambayo pia jana iliibuka na ushindi katika mchezo wake wa awali dhidi ya Telecom. 
Gor Mahia ambayo ilipata ushindi wa mabao 2- 1 katika mchezo wa kwanza dhidi ya Yanga, itakutana na KMKM ambayo iliibuka na ushindi wa bao 1 – 0 dhidi ya timu ya Telecom ya Djibout, mchezo utakaochezwa saa 10 jioni Uwanja wa Taifa. 
Mchezo wa kwanza utazikutanisha timu za Telecom ya Djibout dhidi ya Khartoum-3 kutoka nchini Sudan, ambayo itakua ikicheza mchezo wake wa kwanza. 
Jumanne kutakua na michezo mitatu ambapo Al Shandy watacheza na LLB katika kundi B saa 8 mchana uwanja wa Taifa, Heegan FC dhidi ya APR uwanja wa Karume saa 10 jioni, Malakia dhidi ya Azam kundi C Uwanja wa Taifa saa 10 jioni. 
Jumatano mabingwa mara tano wa michuano ya Cecafa Kagame Cup, timu ya Yanga SC watacheza dhidi ya Telecom ya Djibout saa 10 jioni uwanja wa Taifa, KCCA wakicheza na Adama City saa 10 jioni uwanja wa Karume, na Khartoum wakicheza mchezo wa awali saa 8 mchana uwanja wa Taifa dhidi ya KMKM. 

IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA 
MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

UBORESHAJI WA BOMA LA MKUU WA WILAYA YA IRINGA KUWA KITUO CHA MAKUMBUSHO NA MAONESHO YA SANAA ZA KIUTAMADUNI WAPONGEZWA

$
0
0
Meneja wa Mradi wa Kuendeleza Utamaduni Nyanda za Juu Kusini Jan Kuever akitoa taarifa ya Uboreshaji wa Boma la Mkoloni Iringa Kuwa sehemu ya makumbusho na Maonesho ya Kiutamaduni.
Boma lililokuwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Iringa linaloboreshwa likwa katika hatua nzuri ya ujenzi.
Makamu Mkuu wa Chuo Cha Iringa akieleza ushirikiwa wa Chuo katika kudumisha Utamaduni.
Meneja Msaidizi wa Mradi wa Fahari yetu Bw Jimson Sanga akitolea ufafanuzi juu ya mwenendo wa Mradi. Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

Mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura ajitosa kuwania ubunge jimbo la kawe

$
0
0

Mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura (pichani) jana ameahidi kufanya mapinduzi ya michezo katika jimbo la kawe ambao utakuwa ni mfano kwa maeneo mengine na taifa kwa ujumla.
Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi, amesema endapo atapendekezwa na ccm kisha kuchaguliwa kuwa munge wa jimb hilo ataanza na michezo mitano ambayo ni soka, mpira wa kikapu,netiboli, wavu na mpira wa mikono.
"Mungu akinijaalia nikatimiza ndoto yangu ya miaka mingi nitaanza na michezo hii ambapo tutaunda timu moja yenye wachezaji mahiri katika kila mchezo na zote zitajulikana kwa jina moja tu kawe united"alisema mtangazaji huyo ambaye pia ni mwanamichezo maarufu.
Amesema amekuwa akishangazwa kuona michezo kama mpira wa kikapu, netiboli, wavu na mpira wa mikono haipigi hatua wakati haina gharama kubwa za uendeshaji kulinganisha na soka ambayolicha ya kuhitaji fedha nyingi pia kuna ubabaishaji mkubwa ambapo viongozi wengi wanaougoza mchezo nia ni kupata manufaa binafsi.


SHINING START TO ZIFF 2015 IN ZANZIBAR

$
0
0
The 18th annual Zanzibar International Film Festival got off to a star-studded start with an evening of magical and memorable entertainment.  
The evening played host to two South African icons, the legendary singer Dorothy Masuka (pictured) and the beloved star of Sarafina, Leleti Khumalo.
 Masuka had the crowd enraptured with her acapella performance that included a tribute to the late Nelson Mandela on the occasion of his birthday, Mandela Day. 
The day’s festivities started earlier with the official sponsor launch of the event at the DoubleTree by Hilton Conference Centre that was attended by the Second Vice President Ambassador Seif Ali Iddi as well as by, Zanzibar’s Minister for Culture, Information, Tourism and Sports Said Ali Mbarouk and the Deputy MD of Zuku, Mandy Rogers. 
The film Selma was followed by a entertainment with the likes of Tanzania’s own Damian Soul, as well as the spectacular Kepemchim Kirnnam group from India. 
Festival Director Martin Mhando officially opened ZIFF 2015 and had this to say,“Bringing Mama Masuka to Zanzibar is not only historical in that Mama Masuka returns to Zanzibar after 53 years, but also that it marks ZIFF’s maturity as it turns 18.”

UBUNGE VITI MAALUM VIJANA BUKOBA;ANTU MANDOZA AJITOSA KUCHUKUA FOMU

$
0
0
Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana Bukoba Bi. Antu Mandoza(Kulia) akirejesha Fomu ya Kuomba Ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge wa Viti maalum Vijana Bukoba katika ofisi za umoja huo Mjini Bukoba, ahaidi kuinua Vijana Kiuchumi endapo atapata nafasi ya kuwa Mbunge wa Vijana.(Habari Picha na Faustine Ruta/bukobasports).Mcheza kwao hutunzwa, Vijana wazidi kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi. Binti Antu Mandoza mwenye kuonekana kuwa na umri miaka 22-25 Amerudisha Fomu za kuwania nafasi ya Ubunge Vijana Viti Maalumu kupitia CCM. Kwa Mahojiano mafupi ameongelea jinsi anavyopanga kuinua Maisha ya Vijana kwa kuwatengenezea Fursa na mbinu mbalimbali za kujiajiri pia kuwaonya kutokukubali kutumika vibaya na MAKUNDI ya Kisiasa tunapoelekea Uchaguzi kwani ni wajibu wetu Vijana kuilinda Amani yetu. Mgombea huyo pia amesema kuwa shauku yake kubwa ni kuwatumikia Vijana kwa kutatua changamoto ya Ajira na pia ametoa ahadi ya kushirikiana na Vijana bega kwa bega kuleta maendeleo katika Mkoa wa Kagera.
Binti Antu Mandoza akiweka sawa Kumbukumbu zake katika kitabu mbele ya karani Bi. Jasinta Benedicto wa Umoja wa Vijana Kagera.

MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI

$
0
0

  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi. Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli.
  Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Chato na vitongoji vyake waliokuwa wamekusanyika kwenye kituo cha mabasi wilayani humo wakishangilia kwa  furaha kubwa mara baada ya Mbunge wao na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli kujitambulisha kwao.
 Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Chato na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumlaki Mbunge wao na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo na shamra shamra za mapokezi kurindima kila kona wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli,huku wengine wakiwa wamebeba mabango kama hivyo pichani.

   Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi. Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara),Ndugu Rajab Luhwavi akiwasalimia wanachama wa CCM pamoja na Wananchi waliofika kumlaki Dkt Magufuli jioni ya leo katika kituo cha mabasi cha zamani ndani ya wilaya hiyo.
 Ilikuwa ni shangwe tu jioni ya leo ndani ya Wilaya ya Chato ambako ndiko nyumbani kwa Mbunge na  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli. 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh.Magesse Mulongo akiwasalimia wananchi wa Chato jioni ya leo,kabla ya kumkaribisha Dkt John Magufuli aliyewasili mjini humo jioni ya leo akitokea mkoani Mwanza akijitambulisha kwa wananchi na kuwashukuru.
PICHA NA MICHUZI JR -CHATO-GEITA.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

ACACIA YATUMIA MILIONI 400 KUJENGA MAABARA SHINYANGA

$
0
0
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi Mhandisi Philbert Rweyemamu akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Bi Josephine Matiro jengo la maabara la shule ya Sekondari ya Mazinge ambalo limejengwa kwa ufadhili wa kampuni yaKuchimbaDhahabu ya Acacia. Anayepiga makofi ni mbunge wa jimbo la Shinyanga mjini Mh Steven Masele.
Naibu waziri ofisi ya makamu wa Rais na Mbunge wa Shinyanga Mjini Mh. Steven Masele akitoa maneno ya shukurani kwa kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia kwa msaada wa ujenzi wa maabara kwa baadhi ya shule za sekondari katika manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya Shinyanga Bi Josephine Matiro akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia kukabidhiwa kwa maabara hizo ambazo zimejengwa kwa msaada wa Kampuni ya Kuchimba Dhahabu ya Acacia kupitia Mgodi wa Buzwagi.
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi,Mhandisi Philbert Rweyemamu akizungumza na waandishi wahabari mara baada ya kukabidhi majengo ya Maabara hizo.

THE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA

$
0
0
Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.  
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm  pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa uzinduzi yeye binafsi alisema hawezi kusema yaliyopita bali wapenzi wa bendi hiyo wategemee makubwa kutoka kwenye bendi hiyo iliyozinduliwa siku ya Idd Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub
Mwimbaji wa Bongo Flava, Barnaba Elias aka Barnaba akiimba moja ya nyimbo zake huku akisindikizwa na waimbaji wa Bendi ya The Stars kutshoto ni Seghito na kulia ni Prince.
Waimbaji wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' ambao ni  Jesus(wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Patcho Mwamba(wa pili kutoka kushoto),  Pablo Masai (katikati), Mulemule(wa pili kutoka kulia) pamoja na 33 wote wakiimba kwa pamoja wakati wa uzinduzi wa bendi mpya ya The Stars katika kiota cha Mzalendo Pub 
RAIS wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', Nyoshi El Sadat akiimba kwa hisia kali wakati wa uzinduzi wa bendi ya The Stars iliyofanyika kwenye kiota cha Mzalendo Pub siku ya Idd-Mosi.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Tanga Cement MD Appointed East Africa Cement Producers Association Tanzania Chair

$
0
0
The East Africa Cement Producers Association (EACPA) has appointed Reinhardt Swart the Managing Director of Tanga Cement Company the chair of its Tanzanian chapter, with effect from 1 August 2015 for the next three years.

The East Africa Cement Producers Association (EACPA) brings together cement manufacturing companies from Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi.  EACPA TZ is a chapter of the East Africa Association which includes Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, and Tanzania. EACPA Tanzania chapter includes all the five major players in Tanzania; Mbeya Cement, Tanga Cement, Twiga Cement, ARM Cement, and Lake Cement.

The objective of the association is to promote the growth of the industry in the region by instituting necessary legislation and looking for markets beyond the area. It also liaises with other similar bodies and government departments as well as the Chamber of Commerce on relevant issues in the region. 

Commenting on the cement industry after his appointment, Reinhardt Swart said: ‘‘’The cement industry is a major contributor to the Tanzanian economy contributing over 100 billion Tanzanian shillings to the economy every year. The industry sources most of its inputs in the local market and has created direct and indirect employment to thousands of Tanzanian people across the country. There is still potential to grow this industry, but this can only happen if government puts in place legislation that protects investors from unfair competition.’’

 Tanzania cement producers struggle with high input costs – in particular due to unreliable power and poor transportation infrastructure,and of late, increased pressure from the department of minerals where their actions prohibit the practicing of fair trade when sourcing minerals required for the manufucturing of cement – that makes it hard to compete with cement produced abroad

Reinhardt also noted that the cement industry had the potential to grow and create thousands more jobs if it received the necessary support from government.

‘’The regional cement industry has the capacity and required quality to supply all on-going and new major infrastructure projects,’’ he said.

He was referring on the need to ensure all cement for the construction of major infrastructure projects such as the expansion of the Dar Port and the construction of Bagamoyo Port use locally produced cement.

In Kenya, the government has supported the local cement industry this way. For example, the Chinese contractor building the new railway from Mombasa to Kigali has made commitments to get supply from local producers for this assignment so as to ensure foreign contractors also support local industries.

The EAPCA is looking forwarding to working in partnership with the incoming government to build Tanzania and create hundreds of jobs through partnership to help improve the livelihoods of the people of Tanzania.

SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI


KADA WA CCM ASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO

$
0
0
Kada wa CCM Abubakar Assenga akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kilombero, mbele ya ummati wa wananchi waliofurika katika Uwanja wa mpira wa Asante Afrika, Ifakara katika jimbo hilo mkoani Morogoro, jana. Picha na Bashir Nkoromo.

Article 3

Bongo Star search (BSS) yatoa sita bora jijini Mwanza

$
0
0
Vipindi vya Bongo Star search vimeanza kwenda hewani, na siku ya jana imeruka episode ya kwanza kuonyesha mchujo jinsi ulivyoenda mpaka kubakiwa na Top 6 (pichani) ya washiriki kutoka Mwanza ambayo itajumuika na washindi wa mikoa iliyosalia.

Kipindi kitakuwa kinaruka kila siku ya Jumapili, saa tatu kamili kwenye vituo vya televisheni vya Clouds Tv na Star Tv na marudio yake; Kwa Clouds Tv ni Jumanne saa tano kamili asubuhi pamja na Alhamisi saa nane kamili mchana; Kwa StarTV ni Alhamisi saa tisa na nusu mchana.

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI

$
0
0

Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) ,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki na Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga wakionyesha jezi walizokabidhiwa na benki ya NMB kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) ,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki na Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga wakiangalia vifaa vya michezo wakati wa hafla fupi ya makabidhianao ya vifaa hivyo vilivyotolewa na benki ya NMB kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.

UHUSIANO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.

$
0
0
Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Asilimia  kubwa  ya  wagonjwa  wa   kisukari  wanakabiliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

Unajua  ni  kwa  nini  wanaume  wenye  kisukari  wanasumbuliwa  pia  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  ?

JIBU  NI  RAHISI  SANA, NALO  NI  KWA  SABABU  KUNA  UHUSIANO  MKUBWA  SANA  KATI  YA  UGONJWA  WA  KISUKARI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kabla  hatuja  fahamu  kuhusu  uhusiano  uliopo  kati  ya  ugonjwa  wa   Kisukari  na  tatizo   la  ukosefu wa nguvu  za  kiume  ni  vyema  tukafahamu  kwanza   kuhusu  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA  KIUME.
Sayansi  ya  nguvu  za  kiume, itatuwezesha  kufahamu  kuhusu  mechanism  ya  nguvu  za  kiume. Itatusaidia  kujibu  maswali  muhimu  kuhusu  nguvu  za  kiume  kama  vile: KITU  GANI  KINAFANYA  UUME  USIMAME ?  KITU  GANI  KINAFANYA  UUME  USISIMAME  ? KITU  GANI  KINAFANYA  UUME  USIMAME  KWA  MUDA  MREFU  ?   KITU  GANI  KINAFANYA  UUME  USISIMAME  KWA  MUDA  MREFU ? KITU  GANI  KINAFANYA  UUME  USIMAME  UKIWA  IMARA  KAMA  MSUMARI  ? KITU GANI  KINAFANYA  UUME  USIMAME  UKIWA  LEGELEGE ?   nakadhalika.
Kufahamu  kuhusu  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA  KIUME, tafadhali  tembelea  link  hii  hapa  chini :
http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html

kusoma taarifa kamili BOFYA HAPA
Viewing all 110175 articles
Browse latest View live




Latest Images