Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110186 articles
Browse latest View live

CAR FOR SALE: LAND ROVERDISCOVERY 2/3 TD5 MODEL: 2004

$
0
0

  LAND ROVER DISCOVERY 2/3  

TD5 MODEL: 2004 > DIESEL  
2.5,MANUAL, 
MILEAGE: 87000  FULL A/C, POWER WINDOW,
 CENTRAL  LOCK,  FOUR WHEEL DRIVE IN VERY GOOD
 CONDITION , JUST BEEN  IMPORTED FROM THE UK
CAR  LOCATION : DAR ES SALAAM 

 DUTY HAS BEEN  PAID      
PRICE: TSH 26 MILLION 

For  MORE INFORMATION CONTACT 
0788-741-125 OR 0718-736-213
 OR
 +447723550406



0

MBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR ES SALAAM

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile akizungunza na  Mamia waliojitokeza   katika mkutano wa hadhara ulio fanyika Kigamboni  Dar es Salaam jana.
Dk. Faustine Ndugulile akizawadiwa sare ya kitenge na muweka hazina wa kikundi cha Jitegemee Vikoba Group Happiness mfinanga wakati walipokuwa wakipewa mchango wao wapesa Taslimu kutoka kwa Mbunge huyo wakati wa mkutano huo (kulia) ni Mwenyekiti Tungi Kata ya Kigamboni Joram Msuya.
Wanachi wakiwa katika mkutano huo wakifatilia maongezi ya Mbunge wao  Dk. Faustine Ndugulile, wakati wa mkutano wa hadhara ulio fanyika Dar es Sallam jana.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Makala za Sauti: Majadiliano kuhusu uchaguzi mkuu na hatma ya Tanzania yetu

SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA

$
0
0
Wanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho,Mariam Rajabu na Faraja Abdallah wakimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kulia) akiwafafanulia jambo kuhusiana na matumizi ya kompyuta mpakato zilizokabidhiwa na mfuko huo kwa kushirikiana na Samsung ikiwa ni msaada kwa wanafunzi wa shule hiyo kuweza kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta .
Baadhi ya wanafunzi wa wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho jijini Dar es Salaam,Juma Hassan, Fadhil Komba na Francis Mwaimbamba wakijifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta mpakato zilizokabidhiwa na mfuko huo kwa kushirikiana na Samsung ikiwa ni msaada kwa wanafunzi wa shule hiyo kuweza kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta.
Mkuu wa Biashara Endelevu wa Kampuni ya Vodacom Suraya Hamdulay(kushoto) akifafanuliwa jambo na mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, Bernard Yohana, kuhusiana na somo la kompyuta wakati wa kukabidhiwa rasmi kompyuta hizo pamoja na vifaa vya maabara ya kompyuta ikiwa ni msaada uliotolewa na Vodacom Foundation kwa kushirikiana na Samsung kwa ajili ya kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta shuleni hapo.

PPF YAWAPA TUZO WAFANYAKAZI WAKE BORA WA MWAKA 2014

$
0
0
Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Martin Mmari, (kushoto), akimkabidhi cheti Mfanyakazi bora wa Mfuko huo kutoka kanda ya Ziwa, Bernard Kyaduma, wakati wa hafla ya kuwapatia tuzo wafanyakazi bora wa Mfuko huo mwaka 2014.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Julius Kam Mganga, (wapili kushoto), akitunuku cheti Mfanyakazi bora wa jumla wa Mfuko huo kwa mwaka 2014, Angelina Napacho kutoka kurugenzi ya Operesheni ya Mfuko huo, wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi bora kutoka kila idara kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili Mei 17, 2015. Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Ukaguzi wa ndani, Hoseah Kashimba, na Mkurugenzi wa Fedha, Martin Mmari.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Julius Kam Mganga, akitoa hotuba kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, William Erio.
Kamati ya maandalizi ya sherehe hoyo, chini ya uenyekiti wake, Mratibu wa Ofisi za Kanda za PPF, Mbaruku Magawa Mbaruku, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla hiyo.

AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES’ RIGHTS BEGINS 37TH ORDINARY SESSION IN ARUSHA 18 MAY TO 5 JUNE 2015

$
0
0
President of the African Court, Hon. Justice Augustine Ramadhani.

SAFARI ZA RAIS KIKWETE ZAOKOA ZAIDI YA DOLA LAKI MOJA ZA KIMAREKANI

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa,ajali na upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dokta Othman Kiloloma (kushoto) akizungumza na wandishi wa Habari (pichani hawapo)  baada ya hitimisho la  Mkutano wa nne wa mafunzo ya Upasuaji wa Ubongo , uti wa mgongo na mishipa ya fahamu, Mkutano huo ulifunguliwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Rashid, uliomalizika hivi karibuni. ambapo wakishirikiana na Wataalamu  madaktari bingwa wa Chuo cha Weill Cornell toka Marekani kufanya upasuaji wa mgongo kwa kutumia mashine ya kisasa, ambapo Watanzania  21 wamefanyiwa  upasuaji wa magonjwa hayo wakishirikiana na madaktari toka Tanzania , Uganda, Rwanda, Southi Afrika, Marekani na Ulaya. Dokta Othman Kiloloma, alimshukuru Rais Jakaya Kikwete ambaye aliye waweka karibu na wenzao wa Chuo cha Marekani na kuwashukuru wenzao wa chuo cha marekani kwa kuwawezesha kufanyika upasuaji huo. (wakwanza kulia) ni Mkuu wa Idara ya upasuaji wa ubongo, uti wa mgongo na mishipa ya fahamu Dk.Hamisi Shabani,ambaye aliwaeleza waandishi hao kua mgonjwa mmoja kufanyiwa upasuaji anagharimu kiasi cha dola elfu moja za upasuaji huo nahaihusiani na mambo mengine.na katikati ni Profesa Philip Steg toka Chuo cha Marekani nayeye alipata nafasi ya kuongea na waandishi hao na kuwashukuru Wataalamu wa Moi (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa,ajali na upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dokta Othman Kiloloma (wapili) kushoto na kuanzia kulia ni Mkuu wa Idara ya upasuaji wa ubongo, uti wa mgongo na mishipa ya fahamu Dk.Hamisi Shabani anaye fatia ni Profesa Philip Steg toka  Chuo cha Weill Cornell  Marekani na kushoto ni Menneja ea Taasisi ta Moi Almas Jumaa.
 Madaktari wakiwakatika Upasuaji na ikiongozwa Dk, Japhet Ngerageza
 Mashine ya kisasa yenye thamani shilingi mil. 700 iliyotolewa msaada na Weill Cornell toka Marekani ikikumika kusaidia kuokoa maisha ya Watanzania kwa Muungano wa jitihada za Rais Jakaya Kikwete.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

CCM INA UWEZO WA KUTAFUTA MGOMBEA WA URAIS MWENYE SIFA - RAZA

$
0
0


  Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza akionesha baadhi ya vifungu vya sheria vilivyopo kwenye kitabu kidogo cha sheria za Zanzibar,Mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.
 Mtangazaji wa BB Swahili nchini Tanzania,Arnold Kayanda akifanya mahojiano mafupi na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohamed Raza mara baada ya kuzungumza na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano wa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohamed Raza katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.Picha na Avila Kakingo-Globu ya Jamii


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaweza kutafuta mgombea wa nafasi ya urais mwenye sifa na sio watu wanaotoa fedha kwa ajili ya kutaka kupendekezwa katika kiti hicho.

Raza ameyasema  hayo leo  jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, katika mkutano na waandishi wa habari, ambapo amesema fedha nyingi zinamwagwa Zanzibar  kwa ajili ya watu wanaotaka Urais na fedha hizo zinatoka kwa wafanyabiashara ambao watataka zirudi au kumwamulia Rais katika nafasi za uteuzi wa baraza la mawaziri ambao watanufaika  katika kuhakikisha mambo yao yanakwenda.

Amesema vyombo vya dola visaidie katika kupata rais mwenye sifa kwani ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa Ulinzi na Usalama, na bila kufanya hivyo watakaoumia ni watanzania huku viongozi wakijinufaisha wenyewe.

Raza amesema kuwa CCM ikifanya vibaya katika kuchagua mtu sahihi, kuna upande wa pili wa UKAWA wana nguvu kutokana na mambo yanayoendelea nchini kutokwenda sawa na wanatumia hoja na hawawezi kuzuilika hata wamwagiwe maji ya pili pili wakitaka kufanya maandamano.

Raza ambaye ni Mbunge Muwakilishi wa Jimbo la Uzini amesema kuwa hali inayokwenda sasa sio nzuri kutokana na bajeti ya Zanzibar kukosa wafadhili kutokana na watu waliojipatia fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow wakati wazanzibar hawajahusika kujipatia fedha hizo.

Amesema kutokana na kukwama kwa wafadhili, wanaoathirika ni wananchi kwani posho ya mbunge ya siku ndio fedha ya mwananchi ya mwezi mmoja hivyo kutokana na dola kushuka wataathirika kwa kiwango kikubwa.

"Aidha kutokana mambo yanayoendelea tunahitaji kuwa na viongozi ambao wanaangalia wananchi na sio wale ambao wanajiangalia wenyewe kwa masilahi yao binafsi huku wanaowagua wakiwa na hali mbaya",alisema Raza.

SIMBA NA YANGA KUKIPIGA DUBAI KESHO

$
0
0
kesho jumatatu katika jiji la Dubai kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Wapenzi na washabiki wa timu za Simba na Yanga katika mpambano wa kunogesha bonanza la nyama choma kwenya uwanja wa Al Ahli Stadium saa nne usiku. Utakuwa ni mpambano wa kukata ma shoka kila timu ikijigamba kuondoka na ushindi..... mtoto hatumwi dukani hapo

TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!

$
0
0
Uongozi  wa Kampuni ya Reli  Tanzania  (TRL ) unasikitika kuwataarifu abiria  wa treni ya Deluxe ya kwenda  Kigoma leo Mei 17, 2015 saa 2 usiku kuwa safari hiyo imeahirishwa  hadi kesho Jumatatu Mei 18, 2015 saa 2 usiku. 

Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa  zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.

Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni  za Kinguruwila  na Morogoro!

Ajali hizo zimehusisha kuanguka kwa mabehewa manne ( Ngeta ) na kuacha njia behewa moja (Kinguruwila )! Treni zote mbili zilikuwa zikielekea    bara!

Tayari  wahandisi na  mafundi  wa TRL  wako katika maeneo  ya tukio kwa ajili ya kazi ya kuyaondosha mabehewa yaliopata ajali na pia kukarabati njia ili ifunguliwe haraka na kurejesha mawasiliano ya njia ya reli katika hali ya kawaida. 

Kutokana na uzito wa kazi hiyo ya ukarabati njia ndio sababu kuu iliyopelekea safari ya Deluxe iahirishwe hadi kesho usiku!  

Wakati huo huo taarifa imeongeza kusema kuwa ajali hiyo imeathiri  urejeshaji wa vichwa viwili vya treni ya Jiji ambavyo havotoweza   kufika Dar kwa wakati na hivyo kesho huduma ya treni ya Jiji haitokuwepo. 
Vichwa hivyo vya treni vilikuwa katika ukarabati wa kawaida katika karakana kuu ya TRL  Morogoro!  Atakayesoma  taarifa hii amuarifu nwenzake!  

Uongozi wa TRL unasikitika kwa usumbufu utakaojitokeza!

Imetolewa na Afisi  ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji
Mhandisi Elias Mshana
Dar es Salaam, 
Mei 17, 2015

International Speakers Gather in Tanzania for the 2015 Africa Prosperity Summit in May

$
0
0
DAR ES SALAAM—Speakers from across Africa and around the world will meet on the 20th and 21st May in Dar es Salaam, Tanzania, for the 2015 Africa Prosperity Summit, hosted by the Legatum Institute.

The Institute is an international think tank whose mission is to spread prosperity around the world through revitalising capitalism and promoting stable democracies.

The two-­‐day Summit at the Hyatt Regency Hotel will be a unique opportunity for those directly involved in driving Africa’s prosperity to share their success stories, challenges, and advice. The distinguished list of speakers and delegates covers a diverse cross-­‐section of backgrounds and expertise including business and political leaders, academia, policy-­‐makers and NGOs who are working on the ground in many African    nations.

Instead of focusing on aid and poverty, themes that often dominate conferences on the future of Africa, the Summit will discuss ways in which African leaders—in the public and private sectors as well as civil society—can encourage African citizens to become the future entrepreneurs and prosperity creators that the Continent needs.

FLAVIANA MATATA AONGOZA MAMIA YA WANAMITINDO WA BONGO KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF

$
0
0
Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, ambaye ni Mwanamitindo na Mbunifu Mavazi maarufu nchini Tanzania,  kwa sasa akifanyia kazi zake nchini Marekani, akizungumza wakati wa semina ya siku moja, iliyowaleta pamoja, wanamitindo "kinda" wa Tanzania, kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam Jumapili Mei 17, 2015. Semina hiyo ililenga kuwafunza na kubadilishana uzoefu juu ya tasnia hiyo inayokuwa kwa kasi. Semina hiyo ya siku moja, ilitayarishwa kwa pamoja na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, na mwanamitindo huyo nguli. Katika maelezo yake, Flaviana,  alisema yeye binafsi ni mwanachama wa Mfuko huo kupitia mpango wa hiari yaani "PSPF Supplementary Scheme-kwa kifupi PSS", na kuwataka wanamitindo waliohudhuria semina hiyo, kufuata nyayo zake. Aliwaeleza umuhimu wa wanamitindo hao ambao wengi ni vijana, kujiunga na mpango huo kwa faida yao ya sasa na baadaye, kwani yeye anafaidika sana kuwa mwanachama wa Mfuko huo. Baada ya maelezo hayo yaliyofuatiwa na balozi mwingine wa Mfuko huo, Msanii maarufu wa muziki wa majigambo, Mrisho Mpoto, naye aliwapa "doze" wanamitindo hao juu ya ukuhimu wa wao kuchangamkia fursa mapema kwani ndio mtindo wa kisasa. Hali kadhalika afisa masoko wa Mfuko huo Magira Werema, aliwahakikishia wanamitindo hao kuwa Mfuko huo ni Mfuko bora na wala hawatajuta waingiapo kuwa wanachama. Baada ya hotuba hizo, wanamitindo hao walizichangamkia fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo amba;po karibu washiriki wote zaidi ya 100 walijiunga na Mfuko huo.
Wanamitindo wakiwa kwenye foleni ya kupiga picha tayari kujipatia vitambulisho baada ya kukamilisha zoezi la kujaza fomu za kujiunga na mpango wa PSS wa Mfuko huo.
Wanamitindo wakijaza fomu za kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari PSS.
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Magira Werema, akitoa maelezo ya kina kuhusu shughuli na huduma zitolewazo na Mfuko huo.
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akizungumza jambo na wenzake, Magira Werema, (kushoto), na Colleta Mnyamani, ambaye ni Afisa Uhusiano wa Mfuko huo.
Flaviana (kulia) na Zuli Remtula,(katikati),  mwanamitindo mwingine nguli nzhini,na washiriki wengine wa semina hiyo, wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Afisa wa PSPF, Magira Werema.

MKURUGENZI MTENDAJI WA NBC AKUTANA NA KUAFANYA MAZUNGMZO NA WATEJA WAO

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (kushoto), akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) , Rished Bade (kulia) katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake, baadhi ya wafanyabiashara na watendaji kutoka taasisi mbalimbali ili kufahamiana. Hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Ofisa Fedha Mkuu wa NBC, Jaffari Matundu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (wa pili kulia), akizungumza na baadhi ya wateja pamoja na maofisa wa benki hiyo katika hafla iliyoandaliwa na NBC kwa ajili ya wateja wake, baadhi ya wafanyabiashara na watendaji kutoka taasisi mbalimbali ili kufahamiana. Hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (katikati), akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Chemi Cotex, Lakshmi Narayan Rathi (kulia) katika hafla iliyoandaliwa na NBC kwa ajili ya wateja wake, baadhi ya wafanyabiashara na watendaji kutoka taasisi mbalimbali ili kufahamiana. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Fedha Mkuu wa NBC, Jaffari Matundu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (kulia), akifurahi na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Sukari ya Kilombero Sugar, Ephraim Mafuru (kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na NBC kwa ajili ya wateja wake, baadhi ya wafanyabiashara na watendaji kutoka taasisi mbalimbali ili kufahamiana. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Rukia Mtingwa na Meneja Mahusiano wa benki hiyo, William Kallaghe.
Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade (katikati) akilakiwa na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya NBC, Jaffari Matundu (kushoto) alipokwenda kuhudhuria hafla hiyo. Kulia ni Theobald Sabi wa NBC.

Idara ya uratibu wa maafa yaridhishwa na zoezi la upokeaji waomba hifadhi kutoka burundi

$
0
0
Mkurugenzi Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen. Mbazi Msuya akimpongeza Nahodha wa meli ya Mv. Liemba, Mande Mangapi mara baada ya kuwafikisha salama waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wapatao 600, katika bandari ya Kigoma kutoka Kagunga, saa mbili usiku tarehe 15 Mei 2015, kushoto ni Kaimu Katibu Tawala mkoani Kigoma, Salvatory Shauri.
Ujumbe uliongozwa na Mkurugenzi Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen. Mbazi Msuya ukiwa katika bandari ya Kigoma kwa ajili ya kuwapokea waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi mara baada ya kuwasili kutoka kijiji cha Kagunga na Meli ya Mv. Liemba saa mbili usiku, tarehe 15 Mei 2015.
Baadhi ya waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wakiwasili katika bandari ya Kigoma kutoka kijiji cha Kagunga na Meli ya Mv. Liemba saa mbili usiku, tarehe 15 Mei 2015.

Balozi Seif Ali Iddi afunga Semina ya Siku Nne ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na watendaji Wakuu wa Serikali

$
0
0
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifunga Semina ya Siku Nne ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na watendaji Wakuu wa Serikali juu ya uchambuzi wa Bajeti na Masuala ya Uchumi iliyokuwa ikifanyika katika ukumbi wa Z. Ocean Hoteli Chuwini Wilaya ya Magharibi “A”.
Baadhi ya Wajumbne wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia Hotub a ya Balozi Seif hayupo pichani wakati akiifunga semina ya uchamguzi wa Bajeti na masuala yua Uchumi.


MEYA MWENDA AANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MBWENI, BOKO

$
0
0
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akikagua athari za mafuriko katika eneo la Mbweni, Dar es Salaam alipofanya ziara katika maeneo mbalimbali yaliyoathiriwa na mvua zilizokuwa zikinyesha mwishoni mwa wiki jijini.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadick, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda wakiangalia athari za mafuriko wakati walipotembelea maeneo yya Mbweni, Boko na maeneo mengine yaliyoathiriwa na mvua zilizonyesha kwa mfululizo jijini hivi karibuni.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa viongozi wa Kata ya Mbweni wakati kuhusu athari za mafuriko zilizosababishwa na mvua zilizonyesha mfululizo jijini, Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika maeneo ya Boko, Mbweni na mengine yaliyoathiriwa na mvua hizo.

JEMBEKA FESTIVAL TUKIO LINALOSUBIRIWA KWA HAMU NA WAKAZI WA MWANZA

MAKALA YA SHERIA: GHARAMA NDOGO KABISA YA KUSAJILI KAMPUNI HII HAPA

$
0
0
Na  Bashir  Yakub.
Kutokana  na  maendeleo  ya  biashara  duniani  kote  imekuwa  ni vigumu  sasa  kufanya  biashara  nje  ya kampuni.  Hii  ni  kwasababu  kila  kampuni  au  taasisi  utakayotaka  kufanya  nayo  biashara   iwe  kununua  kwao  au  kuuza  kwao  basi  kitu  cha  kwanza  watakachokwambia  ni  kuwa  hatufanyi  biashara  na watu  binafsi.  

Zipo  biashara  ambazo    watu  wengi  bado  wanazifanya  nje  ya  kampuni   lakini  ukweli  ni  kuwa  biashara  hizo  kwa ulimwengu  wa  biashara  wa  sasa   ni  za kienyeji   na  tija  yake  bila  shaka  ni  ya kusuasua.  

Kwa hali  ilivyo sasa hadi   migahawani   unaposupply  mayai  au  kuku  wa  nyama n.k  sio muda mrefu   watakwambia  sasa tunahitaji  kampuni  ndio isupply na  sio mtu  binafsi .  Kama  hali  ni hiyo   nini  basi   mjasiriamali  wa  leo  afanye.

1.NINI  MJASIRIAMALI  AFANYE   KWA SASA.

Kilio  cha  mjasiriamali  makini   siku  zote  huwa   hali  na  wala  halali  isipokuwa  anawaza  nini  kesho  afanye  ili  biashara  zake  zitoke  hapo zilipo    na  kwenda  hatua   nyingine  mbele.  Mjasiriamali  mwenye  mawazo  hayo   ndiye  huanza  na  mtaji  wa  elfu  kumi  baada  ya  mwaka  zikazaa  milioni  tano na  baada  ya  miaka  akamiliki  milioni  mia. Huyu  huitwa   mjasiriamali  mwenye  fikra  chanya( positive thinking enterprenuer) . Nimesema  hapo  juu  kuwa   hali  ya  biashara  imebadilika   kwa  namna  ambayo  wadau  wa  biashara   wamejielekeza  katika  kufanya  kazi  na  makampuni  badala  ya  watu  binafsi  kama  tulivyozoea.

  Swali  la  nini  mjasiriamali  afanye  katika  hali  hiyo   jibu  lake  ni  kuwa  mjasiriamali  naye  abadilike. Kama  mwaka  jana  ulifuga  kuku  wewe  kama  wewe binafsi  basi  leo  fuga  kuku chini  ya  kampuni,  kama  mwaka  jana   ulilima  mihogo  Chanika  na kuuza  sokoni  wewe  kama wewe  basi  leo  lima  mihogo  na  uza  lakini  si kama wewe  binafsi  isipokuwa  chini  ya  kampuni.   Una  tigo pesa  yako,  duka, liwe  la  mavazi  au  bidhaa  nyingine, fundi  fenicha, unamiliki  taxi, fundi  cherehani,   na  kila  kitu  unachofanya   kwa  ajili  ya kipato   basi  sasa  ni  wakati   kumiliki  kitu hicho  kupitia  kampuni. 

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

$
0
0
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr.Florens Turuka akipongezana na Waziri wa Maji Mhe.Jumanne Magembe mara baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Mei 16, 2015 katika Viwanja vya Bunge Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr.Florens Turuka akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi Rais Utumishi Mhe.Celina Kombani mara baada ya kuhairishwa kwa kikao cha Tano cha Bunge la Bajeti Mei, 16, 2015.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji Mhandisi Christopgher Chiza akiteta jambo na Mbunge wa Mpendae Mhe. Abdallah Turky nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma.

Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland

$
0
0
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Mart Nooij akiendelea kuwafua vijana wake ikiwa ni muendelezo wa mazoezi katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.
Wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) wakiendelea kujifua katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.
Viewing all 110186 articles
Browse latest View live




Latest Images