Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110185 articles
Browse latest View live

Article 2

$
0
0



TAKWIMU zinaonyesha asilimia 46 ya shule za msingi na shule za sekondari zina huduma ya maji ambayo yanamwezesha mtoto wa kike kujisitiri wakati wa hedhi, na asilimia 54 za shule hizo hazina huduma ya maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali nchini, Mwakilishi kutoka Femina, Rose mweleka, alisema kuwa anaiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuboresha huduma ya maji katika shule ili kila mtoto afurahie haki ya kupata elimu akiwa shuleni.

Hata hivyo Rose amesema kuwa kwa mtoto wa kike ambaye amefikisha umri wa kupata hedhi anahitaji maji akiwa shule ili aweze kujisitiri akiwa shuleni kwa siku 4 hadi saba mbazo atakuwa katika kipindi cha hedhi ili asiweze kukosa masomo.

Rose ameshauri pia jamii iweze kutunza vyanzo vya maji, kwani utunzaji huo utawezesha kuwa maji safi na salama kwa matumizi.

TAKWIMU zinaonyesha asilimia 46 ya shule za msingi na shule za sekondari zina huduma ya maji ambayo yanamwezesha mtoto wa kike kujisitiri wakati wa hedhi, na asilimia 54 za shule hizo hazina huduma ya maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali nchini, Mwakilishi kutoka Femina, Rose mweleka, alisema kuwa anaiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuboresha huduma ya maji katika shule ili kila mtoto afurahie haki ya kupata elimu akiwa shuleni.

Hata hivyo Rose amesema kuwa kwa mtoto wa kike ambaye amefikisha umri wa kupata hedhi anahitaji maji akiwa shule ili aweze kujisitiri akiwa shuleni kwa siku 4 hadi saba mbazo atakuwa katika kipindi cha hedhi ili asiweze kukosa masomo.

Rose ameshauri pia jamii iweze kutunza vyanzo vya maji, kwani utunzaji huo utawezesha kuwa maji safi na salama kwa matumizi.

Ikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF linasheherekea miaka 30 ya kusainiwa kwa sheria ya haki za mtoto (CRC) hapa nchini ambayo inazungumzia hasa haki ya mtoto, jinsi ya kutekeleza haki za mtoto na inayoelezea haki za mtoto ni zipi.

Hata hivyo Mwakilishi Mkazi Msaidizi wa UNICEF, Reve Van Dongen, alitolea mkazo katika sheria ya Mtoto ya haki ya kusikilizwa kwa mtoto ambayo wazazi kwa maeneo mengi ya Tanzania hawaitimizi haki hiyo ya kumsikiliza mtoto, hii imejitokeza katika mchakato wa ukusanyaji wa  aoni ya watoto kwa kufikia miaka 30 sheria ya Haki za Mtoto.

Nae Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa UNICEF, Usia Nkoma alisema kuwa Sheria ya Haki za Mtoto kifungu 1 hadi 41 inaelezea haki za Mtoto na kufafanua mtoto ni nani, kifungu cha kuanzia 42 hadi 54 zinaelezea namna ya kutekeleza haki za mtoto.

Usia alisema kuwa haki za mtoto lazima zizingatiwe ili kila mtoto aone yupo salama mahari alipo licha ya baadhi ya watoto waliohojiwa katika ukusanyaji wa maoni kuhusu mahali wanapoona wapo salama kuwa ni Nyumbani, ingawa bado kunawatoto wanyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili nyumbani.

Hata hivyo vituo vya afya 68 vinahuduma ya maji katika maeneo mbalimblia nchini hii inaonyesha ni asilimia 32 pekee ya vituo vya afya hapa nchini havina huduma ya maji yanayokidhi mahitaji katika vituo hivyo.


Hata hivyo Mwakilishi Mkazi Msaidizi wa UNICEF, Reve Van Dongen, alitolea mkazo katika sheria ya Mtoto ya haki ya kusikilizwa kwa mtoto ambayo wazazi kwa maeneo mengi ya Tanzania hawaitimizi haki hiyo ya kumsikiliza mtoto, hii imejitokeza katika mchakato wa ukusanyaji wa  aoni ya watoto kwa kufikia miaka 30 sheria ya Haki za Mtoto.

Nae Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa UNICEF, Usia Nkoma alisema kuwa Sheria ya Haki za Mtoto kifungu 1 hadi 41 inaelezea haki za Mtoto na kufafanua mtoto ni nani, kifungu cha kuanzia 42 hadi 54 zinaelezea namna ya kutekeleza haki za mtoto.

Usia alisema kuwa haki za mtoto lazima zizingatiwe ili kila mtoto aone yupo salama mahari alipo licha ya baadhi ya watoto waliohojiwa katika ukusanyaji wa maoni kuhusu mahali wanapoona wapo salama kuwa ni Nyumbani, ingawa bado kunawatoto wanyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili nyumbani.

Hata hivyo vituo vya afya 68 vinahuduma ya maji katika maeneo mbalimblia nchini hii inaonyesha ni asilimia 32 pekee ya vituo vya afya hapa nchini havina huduma ya maji yanayokidhi mahitaji katika vituo hivyo.



SERIKALI YAOMBWA KUBORESHA MIFUMO YA MAJI KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

$
0
0
Mwakilishi Mkazi Msaidizi wa UNICEF, Reve Van Dongen akizungumza wakati wa semina ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na sherehe za kusheherekea Miaka 30 taku kuwepo na sheria ya haki za mtoto zilizosainiwa na nchi zote duniani kwaajili ya kulinda haki za mtoto.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano UNICEF, Usia Nkoma akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, kuhusiana na sheria ya haki za mtoto kutimiza miaka 30 na jinsi inavyotekelezwa hapa nchini pamoja na kuelezea mtoto ni nani katika sheria hiyo ya mtoto.
 Katibu wa TEF, Neville Meena akisaini makualiano kati ya UNICEF na wahariri kuandika habari za watoto wakati wa semina iliyotolewa na UNICEF jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wahariri wakiwa katika semina iliyotolewa na UNICEF.
 Mwakilishi wa agenda za watoto na vijana, Tahseen Alam akizungumza na wahariri wa vyomo vya habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na Miaka 30 ya sheria ya haki za Mtoto (CRC).
Wadau wa watoto wakisikiliza mada.
Mwakilishi wa Agenda za ulinzi wa mtoto, Geofrey Machemba akizungumza na wahariri ni jinsi gani mtoto anaweza akalindwa.

TAKWIMU zinaonyesha asilimia 46 ya shule za msingi na shule za sekondari zina huduma ya maji ambayo yanamwezesha mtoto wa kike kujisitiri wakati wa hedhi, na asilimia 54 za shule hizo hazina huduma ya maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali nchini, Mwakilishi kutoka Femina, Rose mweleka, alisema kuwa anaiomba serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuboresha huduma ya maji katika shule ili kila mtoto afurahie haki ya kupata elimu akiwa shuleni.

Hata hivyo Rose amesema kuwa kwa mtoto wa kike ambaye amefikisha umri wa kupata hedhi anahitaji maji akiwa shule ili aweze kujisitiri akiwa shuleni kwa siku nne hadi saba mbazo atakuwa katika kipindi cha hedhi ili asiweze kukosa masomo.

Rose ameshauri pia jamii iweze kutunza vyanzo vya maji, kwani utunzaji huo utawezesha kuwa maji safi na salama kwa matumizi.

Ikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF linasheherekea miaka 30 ya kusainiwa kwa sheria ya haki za mtoto (CRC) hapa nchini ambayo inazungumzia hasa haki ya mtoto, jinsi ya kutekeleza haki za mtoto na inayoelezea haki za mtoto ni zipi.

Hata hivyo Mwakilishi Mkazi Msaidizi wa UNICEF, Reve Van Dongen, alitolea mkazo katika sheria ya Mtoto ya haki ya kusikilizwa kwa mtoto ambayo wazazi kwa maeneo mengi ya Tanzania hawaitimizi haki hiyo ya kumsikiliza mtoto, hii imejitokeza katika mchakato wa ukusanyaji wa  aoni ya watoto kwa kufikia miaka 30 sheria ya Haki za Mtoto.

Nae Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa UNICEF, Usia Nkoma alisema kuwa Sheria ya Haki za Mtoto kifungu 1 hadi 41 inaelezea haki za Mtoto na kufafanua mtoto ni nani, kifungu cha kuanzia 42 hadi 54 zinaelezea namna ya kutekeleza haki za mtoto.

Usia alisema kuwa haki za mtoto lazima zizingatiwe ili kila mtoto aone yupo salama mahari alipo licha ya baadhi ya watoto waliohojiwa katika ukusanyaji wa maoni kuhusu mahali wanapoona wapo salama kuwa ni Nyumbani, ingawa bado kunawatoto wanyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili nyumbani.

Hata hivyo vituo vya afya 68 vinahuduma ya maji katika maeneo mbalimblia nchini hii inaonyesha ni asilimia 32 pekee ya vituo vya afya hapa nchini havina huduma ya maji yanayokidhi mahitaji katika vituo hivyo.

WAZIRI JENISTA: WAAJIRI ZINGATIENI USALAMA WA WAFANYAKAZI WENU MAHALA PA KAZI KUEPUSHA AJALI NA MAGONJWA

$
0
0
Mkaguzi wa Afya ya Mazingira kutoka OSHA, Glory Boniventure akimuelezea Mhe. Jenista Mhagama Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, matumizi ya Vifaa ambavyo vimetolewa na Shirika la Kimataifa la Workplace, Health Without, Borders (WHWB) vitakavyotumiwa na Wakaguzi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, akiwa na kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda kwenye Kufunga Mafunzo Kwa Wakaguzi wa OSHA Jijini Arusha.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi,Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama, amewataka wamiliki wa maeneo ya kazi kuzingatia usalama na Afya mahali pa kazi kwa Wafanyakazi wao.

Akizungumza katika hafla ya kufunga Mafunzo maalumu ya Usalama na Afya mahali pa Kazi kwa wakaguzi wa OSHA yaliyofanyika jijini Arusha, Mhe. Mhagama amesema kila ajira zinapozalishwa zinaenda sambamba na ajali pamoja na magonjwa, amesema hivyo waajiri wanapaswa kuhakikisha wanazingatia usalama wa wafanyakazi wao, amesema kukua kwa haraka kwa teknolojia inayotumika viwanda na maeneo mengine ya kazi kunagusa moja kwa moja afya na usalama wa wafanyakazi.

Naye Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi Khadija Mwenda amesema, walishirikiana na Shirika la Kimataifa la Workplace Health Without Borders (WHWB) katika mafunzo hayo kwa Wakaguzi, Khadija amesema Shirika hilo linalofanya kazi nchi mbalimbali dunia ikiwemo Tanzania pia limejenga uwezo kwa wakaguzi wa OSHA kuhusu masuala ya usalama na Afya, hivyo kupelekea na mabadiliko ya Teknolojia, amesema Shirika hiloa limetoa msaada wa vifaa mbalimbali ambavyo vitatumika kwaajili ya kufanya kaguzi mbalimbali meeno ya kazi.

Nao Washiriki wa Mafunzo hayo kutoka OSHA, wamesema elimu waliyoipata wataitumia kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi, hususan kaguzi mbalimbali watakazokuwa wanazifanya.

MAKAMU WA RAIS SAMIA AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE WANAWAKE AFRIKA

$
0
0

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Semina ya Siku nne kwa Wabunge Wanawake wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kuhusu  Juu ya kuhamasisha Wajumbe Wanawake katika masuala mbalimbali ya kuboresha Ushirikiano wa Wanawake katika Michakato ya kuongeza Idadi  yao kwenye Vyombo vya Maamuzi  hususan Bungeni, Jumla ya wajumbe kutoka Nchi 18 za Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika wanashiriki kwenye Semina hiyo iliyofunguliwa  leo 27 Octoba 2019 katika Ukumbi wa  Gran Malia Jijini Arusha.  

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa  Semina ya Siku nne kwa Wabunge Wanawake wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kuhusu  Juu ya kuhamasisha Wajumbe Wanawake katika masuala mbalimbali ya kuboresha Ushirikiano wa Wanawake katika Michakato ya kuongeza Idadi  yao kwenye Vyombo vya Maamuzi  hususan Bungeni, baada ya kufungua Semina hiyo Jumla ya wajumbe kutoka Nchi 18 za Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika wanashiriki kwenye Semina hiyo iliyofunguliwa  leo 27 Octoba 2019 katika Ukumbi wa  Grand Malya Jijini Arusha.  (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

WATOTO 350 WAKATISHA MASOMO YAO KWA SABABU MBALIMBALI

$
0
0
Na Mwandishi Wetu, Tunduru

ZAIDI ya wanafunzi 350 kati ya 602 waliotakiwa kuwepo katika shule ya Sekondari Marumba kata ya Marumba Halmashauri ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma, wameshindwa  kuendelea na masomo  yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mimba na utoro.

Wanafunzi hao waliokatisha ndoto zao ni wale waliochaguliwa kuanza masomo ya sekondari katika shule hiyo kuanzia  mwaka 2016  hadi  2019 ambapo waliobaki ni wanafunzi 250.

Hayo yamesemwa  jana na Mkuu wa shule hiyo Michael Kapinga, wakati akitoa taarifa ya shule katika mahafali ya kumi ya kidato cha nne yaliyofanyika shuleni hapo.

Alisema,wanafunzi waliosajiliwa kuanza kidato cha kwanza mwaka 20
16 ambao walitakiwa kuhitimu masomo ya kidato cha nne mwaka 2019 walikuwa 144 wakiwemo wasichana 76, hata hivyo waliofanikiwa  kufika kidato cha nne ni 44 ambapo  wanafunzi  76 waliishia njiani huku idadi ya  wasichana nayo ikishuka kutoka kutoka 76 hadi  15.

Hata hivyo alisema, licha ya tatizo  kubwa la utoro kwa wanafunzi, shule imekuwa ikipiga hatua kitaaluma  japo mwaka 2018 matokeo hayakuwa ya kuridhisha sana kutokana na changamoto mbalimbali zilizotokea.

Kwa mujibu wa Kapinga,mwaka jana shule ilisajili wanafunzi 48,  kati ya hao waliofanikiwa kufanya mitihani ya kidato cha nne walikuwa 43  na  waliochaguliwa kuendelea na  masomo ya kidato cha tano ni wanafunzi 6.

Alisema, tatizo la utoro kwa wanafunzi limekuwa sugu na kuwaomba wazazi kushirikiana na serikali za vijiji na kata kukomesha tabia hiyo,  sambamba na kufuatilia maendeleo ya watoto wao na kuhakikisha wanawapa mahitaji muhimu ili kuwa kama chachu  kwa watoto kupenda shule.

Mgeni rasmi katika mahafali hayo Mjumbe wa kamati ya utendaji wa Chama cha Walimu(CWT) Taifa Sabina Lipukila ameitaka jamii  ya Watu wa Tunduru kubadilika  kwa kuwekeza nguvu kubwa katika elimu, badala ya kuona ufahari wa kurithisha watoto mali ikiwemo mashamba ya  korosho.

Alisema,idadi ya watoto 350 ambao wamekatisha masomo  ni kubwa sana katika Historia ya wilaya hiyo na kusisitiza kuwa,lazima juhudi zifanyike kuhakikisha watoto hao wanarudishwa ili waendelea na masomo.

Lipukila alisema,  hata umaskini uliokithiri katika wilaya ya Tunduru umechangiwa  na kiwango kikubwa cha ukosefu wa elimu kwa wananchi wake, jambo ambalo ni lazima  jamii,wazazi na serikali za vijiji zikae pamoja ili kumaliza tatizo hilo  linaloonekana kuota mizizi.

Aidha,amewaagiza watendaji wa vijiji,kata na maafisa tarafa kuwasaka wanafunzi wanao katisha masomo ili warudi shule na kuwakamata wazazi wa wanafunzi watoro wanaowaficha watoto wao  nyumbani.

Alisema, ni aibu  kwa wilaya ya Tunduru kuwa na idadi kubwa ya watoto wanaokatisha masomo hasa wakati huu ambapo Serikali ya awamu ya tano imeondoa gharama zote  kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne.

Lipukila ameiagiza Bodi ya shule, kuweka mikakati madhubuti itakayosaidia kuwarejesha watoto wote shule na wale wanaochaguliwa kuanza  kidato cha kwanza kuhakikisha hawakatishi masomo.

Sambamba na hilo ameitaka bodi ya shule,kuhakikisha inashirikiana na Serikali za vijiji kuweka utaratibu mzuri ambao utatoa nafasi ya kushirikisha wananchi wote  juu ya suala la ujenzi wa miundombinu ya shule  na sio  jukumu hilo kuachwa kwa wazazi wenye watoto wanaosoma katika shule hiyo.

Naye Afisa elimu kata ya Marumba Issa Sinambe alisema, changamoto  ya wanafunzi kutomaliza elimu ya kidato cha nne inatokana na mwamko mdogo wa jamii,wazazi na wanafunzi wenyewe ambao baadhi yao wanalazimika kutembea umbali wa km 16 kwenda na kurudi shule.

Alisema, shule ya Sekondari Marumba inamilikiwa na wazazi wa kata mbili ya Marumba na Mbati, kwa hiyo kutokana na changamoto ya umbali wamejipanga kuanza ujenzi wa mabweli haraka iwezekanavyo kama hatua itakayowezesha wanafunzi hususani wa kike kuishi shuleni.

WATU 145 WAAMBUKIZWA KIFUA KIKUU KWA MUDA WA MIEZI MIWILI

$
0
0
Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole akiongea jana na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Lijombo kata ya Mbesa wakati wa Uhamasishaji wa kampeni ya uchunguzi wa kifua kikuu,kampeni inayofanyika katika vijiji vyote vya wilaya ya Tunduru. Picha na Muhidin Amri.


Na Mwandishi Wetu, Tunduru

JUMLA ya wahisiwa(watu) 754 wakiwemo wanaume 85 na wanawake 60 walifanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa kifua kikuu kuanzia Mwezi Julai hadi Septemba mwaka huu,  kati ya hao 145 waligundulika kuwa na vimelea vya ugonjwa huo.

Aidha, katika kampeni hiyo watoto walio na umri chini ya miaka kumi na tano waliofanyiwa uchunguzi wa kifua kikuu ni  25 na waliopima virusi vya ukimwi 145 ambapo watu 17 walikutwa  na maambukizi mapya ya VVU na  wameanzishiwa  dawa ya kufubaza makali ya ugonjwa huo na watu wanne wamefariki Dunia.

Hayo yamesemwa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole wakati wa kampeni ya uhamasishaji na uchunguzi wa vimelea  vya ugonjwa wa kifua kikuu kwa wananchi wa kijiji cha Lijombo kata ya Mbesa  inayoendelea katika maeneo mbalimbali wilayani Tunduru.

Alisema,tatizo la ugonjwa wa kifua kikuu katika wilaya ya Tunduru limekuwa kubwa  jambo lililochangia umaskini kwa baadhi ya watu wanaougua ugonjwa huo hasa ikizingatia kuwa mtu mwenye TB hasiyepata tiba sahihi hawezi kufanya kazi ya uzalishaji mali.

Alisema, kutokana na  ukubwa wa tatizo hilo ndiyo maana Hospitali ya wilaya kupitia kitengo cha kifua kikuu imeanza kampeni ya kufika kila kijiji kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa vimelea vya ugonjwa huo kwa wananchi sambamba  na kuanzishiwa dawa kwa wale wanaobainika kuwa na TB.

Dkt Kihongole amewashauri wakazi wa kijiji  hicho kujenga nyumba bora ili kuruhusu mwanga na hewa nyingi kuingia ndani kwani vimelea vya kifua kikuu upendelea  kuishi maeneo yenye giza.

Kwa mujibu wa Kihongole,Serikali ya awamu ya tano imejidhatiti kukabiliana na adui maradhi ikiwemo ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma,na alitaja dalili za mtu mwenye  maambukizi ya TB ni kukohoa  zaidi ya wiki mbili,kupungua uzito,mtoto kulia lia,kuchelewa kukua.

Kihongole, ameitaka jamii kuacha kuwaficha watu wenye TB majumbani kwani ni sawa na kukaa na Bomu ndani, kwa sababu mgonjwa asiyepata tiba anaweza kuambukiza watu wengine kumi na tano kwa wakati mmoja na ameshauri mtu anapoona dalili hizo ni vema kwenda katika vituo vya kutolea huduma kupata ushauri na tiba.

Kwa upande wake,mtaalam wa maabara wa kutoka Hospitali ya wilaya ya Tunduru John Msami alisema,ugonjwa wa kifua kikuu ni tatizo kubwa katika wilaya ya Tunduru ambalo linahitaji nguvu ya pamoja kati ya jamii na Serikali ili kuweza kulimaliza.

Msami alisema, kati ya watu kumi wanaofika Hospitali ya wilaya na kufanyiwa vipimo kupitia makohozi,watu wawili hadi watatu wanakutwa na  vimelea vya  TB.

Hata hivyo,baadhi ya wakazi wa kijiji cha Lijombo mbali na kuishukuru Hospitali ya wilaya kuendesha  kampeni hiyo, wameomba wataalam wake wafike kila kijiji ili kufanya uchunguzi wa  ugonjwa wa kifua kikuu na magonjwa mengine ikiwemo ukimwi ambao unazidi kupoteza maisha ya watu wengi.

Mohamed Machedo na Mahamudu Yusuf walisema, kampeni ya upimaji  wa ugonjwa wa kifua kikuu imekuja wakati muafaka kwani itasaidia sana kuokoa maisha ya watu wengi ambao watapata fursa ya kushiriki ujenzi wa Taifa letu na  shughuli mbalimbali  za kujiletea kipato na hivyo kuondokana na umaskini katika familia zao.

Mahamudu Yusuf, amewaomba wataalam kuanza kutembelea vijijini  kwa ajili ya kutoa elimu juu ya ujenzi wa nyumba Bora  ambazo hazitakuwa rafiki wa wadudu wa kifua kikuu.

WATU 145 WAAMBUKIZWA KIFUA KIKUU KWA MUDA WA MIEZI MIWILI

$
0
0
Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole akiongea jana na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Lijombo kata ya Mbesa wakati wa Uhamasishaji wa kampeni ya uchunguzi wa kifua kikuu,kampeni inayofanyika katika vijiji vyote vya wilaya ya Tunduru. Picha na Muhidin Amri.


Na Mwandishi Wetu, Tunduru

JUMLA ya wahisiwa(watu) 754 wakiwemo wanaume 85 na wanawake 60 walifanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa kifua kikuu kuanzia Mwezi Julai hadi Septemba mwaka huu,  kati ya hao 145 waligundulika kuwa na vimelea vya ugonjwa huo.

Aidha, katika kampeni hiyo watoto walio na umri chini ya miaka kumi na tano waliofanyiwa uchunguzi wa kifua kikuu ni  25 na waliopima virusi vya ukimwi 145 ambapo watu 17 walikutwa  na maambukizi mapya ya VVU na  wameanzishiwa  dawa ya kufubaza makali ya ugonjwa huo na watu wanne wamefariki Dunia.

Hayo yamesemwa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole wakati wa kampeni ya uhamasishaji na uchunguzi wa vimelea  vya ugonjwa wa kifua kikuu kwa wananchi wa kijiji cha Lijombo kata ya Mbesa  inayoendelea katika maeneo mbalimbali wilayani Tunduru.

Alisema,tatizo la ugonjwa wa kifua kikuu katika wilaya ya Tunduru limekuwa kubwa  jambo lililochangia umaskini kwa baadhi ya watu wanaougua ugonjwa huo hasa ikizingatia kuwa mtu mwenye TB hasiyepata tiba sahihi hawezi kufanya kazi ya uzalishaji mali.

Alisema, kutokana na  ukubwa wa tatizo hilo ndiyo maana Hospitali ya wilaya kupitia kitengo cha kifua kikuu imeanza kampeni ya kufika kila kijiji kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa vimelea vya ugonjwa huo kwa wananchi sambamba  na kuanzishiwa dawa kwa wale wanaobainika kuwa na TB.

Dkt Kihongole amewashauri wakazi wa kijiji  hicho kujenga nyumba bora ili kuruhusu mwanga na hewa nyingi kuingia ndani kwani vimelea vya kifua kikuu upendelea  kuishi maeneo yenye giza.

Kwa mujibu wa Kihongole,Serikali ya awamu ya tano imejidhatiti kukabiliana na adui maradhi ikiwemo ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma,na alitaja dalili za mtu mwenye  maambukizi ya TB ni kukohoa  zaidi ya wiki mbili,kupungua uzito,mtoto kulia lia,kuchelewa kukua.

Kihongole, ameitaka jamii kuacha kuwaficha watu wenye TB majumbani kwani ni sawa na kukaa na Bomu ndani, kwa sababu mgonjwa asiyepata tiba anaweza kuambukiza watu wengine kumi na tano kwa wakati mmoja na ameshauri mtu anapoona dalili hizo ni vema kwenda katika vituo vya kutolea huduma kupata ushauri na tiba.

Kwa upande wake,mtaalam wa maabara wa kutoka Hospitali ya wilaya ya Tunduru John Msami alisema,ugonjwa wa kifua kikuu ni tatizo kubwa katika wilaya ya Tunduru ambalo linahitaji nguvu ya pamoja kati ya jamii na Serikali ili kuweza kulimaliza.

Msami alisema, kati ya watu kumi wanaofika Hospitali ya wilaya na kufanyiwa vipimo kupitia makohozi,watu wawili hadi watatu wanakutwa na  vimelea vya  TB.

Hata hivyo,baadhi ya wakazi wa kijiji cha Lijombo mbali na kuishukuru Hospitali ya wilaya kuendesha  kampeni hiyo, wameomba wataalam wake wafike kila kijiji ili kufanya uchunguzi wa  ugonjwa wa kifua kikuu na magonjwa mengine ikiwemo ukimwi ambao unazidi kupoteza maisha ya watu wengi.

Mohamed Machedo na Mahamudu Yusuf walisema, kampeni ya upimaji  wa ugonjwa wa kifua kikuu imekuja wakati muafaka kwani itasaidia sana kuokoa maisha ya watu wengi ambao watapata fursa ya kushiriki ujenzi wa Taifa letu na  shughuli mbalimbali  za kujiletea kipato na hivyo kuondokana na umaskini katika familia zao.

Mahamudu Yusuf, amewaomba wataalam kuanza kutembelea vijijini  kwa ajili ya kutoa elimu juu ya ujenzi wa nyumba Bora  ambazo hazitakuwa rafiki wa wadudu wa kifua kikuu.

VIJANA 17 KUTOKA NCHI MBALIMBALI AFRIKA WAJIPANGA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO.

$
0
0
Picha ya kwanza vijana watakaoshiriki kampeni ya kupanda mlima Kilimanjaro Na.Vero Ignatus,Arusha.
Mratibu wa kampeni ya kupanda mlima Kilimanjaro kupeleka malengo ya endelevu ya maendelevu ya UN ,Munyaradzi Muzenda kutoka nchini Zimbambwe.

Vijana kutoka nchi mbalimbali za Afrika wamejipanga kupanda Mlima Kilimanjaro lengo likiwa ni kuhamasisha vijana kushiriki katika kutimiza Malengo endelevu ya Maendeleo ya Umoja wa Mataifa (UN) ambapo watakuwa wa kwanza kupeleka bango la malengo hayo katika kilele cha mlima Kilimanjaro.

Munyaradzi Muzenda ni Mratibu wa Mpango huo kutoka nchini Zimbambwe anasema kuwa wanaendesha kampeni ya Mlima Kilimanjaro ishi ndoto zako ambayo inalenga kuhasisha malengo endelevu ya UN pamoja na kuhamasisha malengo Umoja wa Afrika 263 ya Afrika tunayoitaka.

Munyaradzi alisema kuwa jumla ya vijana 17 watapanda na vibao vya malengo hayo wakijikita zaidi kwenye lengo namba moja la Kupondoa Umasikini na kuhimiza vijana kushiriki katika shughuli zitakazosaidia kutokomeza umasikini.

Aidha amesema kuwa Tanzania itakua nchi ya kwanza duniani kupeleka malengo hayo katika mlima huo wa pili kwa urefu duniani hivyo amewataka wadau kuungana katika kampeni hiyo ya kupanda mlima mwishoni mwaka huu.

“Vijana kutoka mataifa mbalimbali watafika Arusha kwa ajili ya kupanda mlima na tunatarajia kampeni hiyo itafanikiwa kwa kiasi kikubwa” Alisema Munyaradzi.

WANANCHI SHIRIKINI VITA YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

$
0
0
Vero Ignatus ,Killimanjaro.
Wananchi wa  Wilaya za  Moshi VijijinI, Manispaa ya Moshi wametakiwa kushiriki katika vita ya kutokomeza udumavu miongoni mwa watoto wa wilaya hiyo kwa kulima mboga mboga na matunda na kuzitumia vizuri ili kuhakikisha kuwa watoto hawapati udumavu  na wanakua  vizuri kimwili na kiakili.
Laurent Sabuni ni Mratibu wa Mradi wa Lishe unaotekelezwa na Shirika lisilokua la kiserikali la Initiative for Youth, alisema hayo  wakati akitembelea klabu za lishe zilizoundwa mashuleni katika wilaya hizo ambazo zimelenga kuhamasisha ulimaji wa bustani za mboga mboga na kutumia mboga kwa wingi pamoja na vitamin ili na tatizo la lishe duni .
Sabuni alisema kuwa wilaya hizo zinakabiliwa na tatizo la udumavu kwa watoto licha ya wazazi wao kuwa wakulima wazuri wa mboga na matunda ambayo mara nyingi wanauza na kupata fedha huku wakisahau kuwapa watoto wao lishe hiyo muhimu kwa ajili ya ujenzi wa afya ya akili na mwili.
“Tunafanya kampeni ya lishe katika kata 6 za Wilaya ya Moshi vijijini  na Manispaa ya Moshi ambazo ni Mabogini,Matala,Masaera,Kilimaposo na  Makuyuni huko tunafika katika vijiji kuelimisha juu ya namna ya kuandaa lishe bora kwa familia na watoto ,pia tumeunda klabu za lishe mashuleni ambazo tunatoa elimu kwa kushirikiana na Maafisa Lishe ili kutokomeza tatizo la udumavu” Alisema Sabuni
Hata hivyo Sabuni alifafanua kuwa ushirikishwaji wa wananchi umekua ukifanyika  kwa kuwafikia wananchi kupitia mikutano ya vijiji na kutembelea kaya kwa kaya hususan kaya ambazo ziko hatarini kupata tatizo la udumavu ili kuwanusuru.
 Elias Joel ni Mtaalamu wa Lishe kutoka shirika hilo alisema kuwa  wamekua wakitoa elimu juu ya uandaaji wa mboga na matunda, ili  yasipoteze virutubisho muhimu vinavyohitajika kwenye mwili juhudi  ambazo tayari zimeanza kuzaa matunda kwa wananchi hususani kinamama ,wameanza kuwa na mwamko juu ya namna ya kuandaa lishe bora. 


"Hivyo tunawashukuru wafadhili wa mradi ambao ni shirika la Global Alliance for improved nutrion gain kwa kutuwezesha kuwafikia wananchi na kupata matokeo mazuri"alisema.
Elly alisema kuwa katika kuhamasisha kilimo cha mboga mboga na matunda kama njia ya kupambana na umasikini pamoja na kukabiliana na changamoto ya lishe duni pia wamekua wakishirikiana na chama cha wakulima wa mboga mboga na matunda kinachofaamika kama TAHA ambao ni wataalamu na washauri wazuri wa masuala ya kilimo na lishe.

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA OFISI YA WAZIRI MKUU KWA MKAKATI WA AJIRA NA UWEZESHAJI VIKUNDI VYA VIJANA

$
0
0
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imeipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa mikakati iliyoweka katika kuwajengea uwezo vijana kujiajiri na uwezeshwaji kiuchumi kwa vijana kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana “Youth Development Fund” na Mikopo kupitia mapato ya ndani ya halmashauri.

Akizungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya vijana katika Mkoa wa Morogoro, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga ameipongeza Serikali kwa mikakati iliyokuja nayo katika kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana kwa kuwajengea mazingira wezeshi na yanayowahamasisha kuanzisha miradi mbalimbali ya kiuchumi.

“Matokeo ya utekelezaji wa mikakati hiyo tumeona kwa kiasi kikubwa imewawezesha vijana kutambua taratibu rasmi za kupata mikopo yenye riba nafuu na ambayo imewasaidia kuazisha miradi ya kiuchumi,” alisema Mheshimiwa Giga.

Aliongeza kuwa Serikali iendelee kutenga bajeti zaidi ya uwezeshwaji wa vikundi vya vijana kwa kuwa vina tija na vinapunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kiasi kikubwa.

Sambamba na hayo Kamati hiyo iliitaka Ofisi ya Waziri Mkuu kuendelea kutoa maelekezo katika halmashauri zote kuelimisha vijana zaidi ili waweze kutambua taratibu za kupata mikopo kupitia mfuko wa maendeleo ya vijana na asilimia 10 ya mikopo ambayo utolewa kwa Vijana 4%, Wanawake 4% na Wenye Ulemavu 2% kupitia mapato ya ndani ya halmashauri.

Akitoa maelezo ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde ameihakikishia Kamati ya Bunge kwamba Serikali itaendelea kuviwezesha kiuchumi vikundi vya vijana katika mkakati wa kuhamasisha vijana kujiajiri lakini pia kuwajengea uwezo wa kiuchumi vijana ili nao pia washiriki kikamilifu katika mnyororo mzima wa uchumi wa viwanda ambapo matarajio ni kwamba ifikapo mwaka 2025 zaidi ya asilimia 40 ya nguvukazi iwe imeajiriwa kwenye sekta ya viwanda.

“Serikali iliazisha mfuko wa maendeleo ya vijana na programu mbalimbali ili kuwawezesha wananchi hususan vijana kuweza kupata mahitaji ya mitaji ya kuanzisha shughuli za kiuchumi zitakazo waingizia kipato,” alisema Mavunde

Akitolea mfano mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vijana kutumia teknolojia ya kitalu nyumba ni mkakati mzuri ambao Serikali imekuja nao katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia sekta ya kilimo.

Aidha, Naibu Waziri Mavunde aliwahamasisha vijana kuandaa maandiko ambayo yataelezea shughuli zenye tija wanazotaka kuzifanya katika kujileta maendeleo ili waweze kupata mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya vijana na Mikopo kupitia mapato ya ndani ya halmashauri itakayowasaidia kuendesha shughuli zao.  

Kwa nyakati tofauti vijana wa Mkoa wa Morogoro wameishukuru Serikali kwa uwezeshaji kupitia Mfuko wa maendeleo ya vijana na kuomba kuwezeshwa zaidi ili kukidhi matarajio yao ya uanzishwaji wa viwanda katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tano katika uchumi wa viwanda.
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri ya Morogoro walipotembelea Mkoa huo kwa lengo la kukagua miradi ya vijana walionufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana na Mikopo kupitia mapato ya ndani ya halmashauri.
 Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akielezea jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipofanya ziara ya kukagua miradi ya vijana Mkoani Morogoro. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga
 Kiongozi wa Kikundi cha Vijana cha Mazimbu Agro Enterprise Bw. Alexander Jokonia (wa nne kutoka kushoto) akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipowatembelea katika eneo lao la kazi kujionea miradi ya kiuchumi inayofanywa na vijana katika Mkoa wa Morogoro. Kikundi hicho kimenufaika na mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana unaoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu.
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga wakipitia taarifa ya mradi wa vijana wa Mazimbu Agro Enterprise. (Katikati) ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde.
 Kiongozi wa Kikundi cha Vijana cha Faraja Carpentry Bw. James Luwanda akionyesha vitendea kazi wanavyotumia kutengeneza bidhaa zao. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde. (Wa pili kutoka kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga.
 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakipata maelezo kutoka kwa Kiongozi wa Kikundi cha Vijana cha Faraja Carpentry Bw. James Luwanda namna wanavyobuni urembo (nakshi) katika meza ya chakula “Dinning Table”.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria wakiangalia kitanda kilichotengenezwa na Kikundi cha Vijana cha Faraja Carpentry kilichopo Mkoani Morogoro. (Wa tano kutoka kulia) ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde. (Wa nne kutoka kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Najma Giga.

WAJASIRIA MALI 10 WAHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA NCHINI CHINA KWA UFADHILI WA BENKI YA NMB

$
0
0
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna akizungumza na wateja hao walipotembelea Makao Makuu ya NMB kujionea shughuli mbalimbali za kibenki zinazofanyika hapo
Mkuu wa Huduma Jumuifu –Nenyuata Mejooli akizungumza na wateja.
Afisa Mkuu Uendelezaji wa Bidhaa na Matumizi ya Digitali NMB – Pete Novat akizungumza na wateja
Mkuu wa Biashara Wateja Wadogo na wa Kati wa NMB –Filbert Mponzi katika picha ya pamoja na wateja walipotembelea Makao Makuu ya NMB.

…………………………………………

Wafanyabishara wadogo wameziomba taasisi za fedha kuwawezesha ili waanzishe viwanda na kupunguza safari za China kufuata bidhaa ambazo zingeweza kuzalishwa nchini.

Hayo yameelezwa na wajasiria mali 10 waliohudhuria kongamano la biashara nchini China chini ya ufadhili wa benki ya NMB.

Wajasiriamali hao wameeleza kuwa katika ziara hiyo wamebaini China ina viwanda vidogo vidogo vingi ambavyo ndivyo vinazalisha bidhaa wanazotumia gharama kubwa kuzifuata au kuagiza.

Mmoja wa wajasiriamali hao Arnod Mapunda anayejihusisha na uuzaji wa vifaa vya pikipiki amesema kinachowagharimu watanzania ni bidhaa nyingi kununuliwa nje ya nchi.Amesema ziara hiyo imemuzesha kutambua kuwa inawezekana kuanzisha kiwanja kidogo na ukapata matokeo makubwa.

“Vyote tulivyooona huko vinawezekana endapo tutaamua na hili walione wenzetu wenye taasisi za fedha, wawakopeshe wajasiriamali ili waweze kufanya uwekezaji tupunguze kuagiza kutoka nje,” amesema Mapunda

Naye mfanyabiashara wa maziwa mkoani Morogoro, Rehema Mmari amesema kupitia ziara hiyo ameweza kupata mawazo kadhaa ya biashara ambazo anaweza kuzifanya akipata fedha za kutosha.

Amesema, “ Nimefikiria biashara ya nywele maana nimeona mashine ya kutengeneza na vitu vingine vingi vizuri, hakuna sababu ya kununua mzigo nje ya nchi tukiwa na viwanda vidogo hapa nyumbani tunaweza kabisa,”

Kwa upande wake Mkuu wa biashara wa NMB, Donatus Richard amesema waliamua kuwawezesha wafanyabishara hao kuhudhuria kongamano hilo ili wakajifunze kutoka kwa wafanyabishara wa China namna wanavyoendesha biashara zao.

Sanjari na hilo ziara hiyo ililenga kujifunza ni namna gani wanaweza kufanya uwekezaji wenye tija hapa nchini ili kupunguza safari za kwenda China.“NMB huwa tuna klabu za wajasiriamali ‘NMB Business Club’ tunawafundisha masuala mbalimbali ya biashara, mwaka huu tukaona twende mbele tukawapeleka China wakajifunze zaidi kwa kujionea,”

“Wametembelea viwanda na kuhudhuria kongamano la bishara ni matumaini yetu wamejifunza vingi na watafundisha wenzao kile walichojifunza, maana wametoka katika mikoa ya kanda zote nane,” amesema Richard

Ziara hiyo ya siku 10 ilianza Oktoba 13 na kuhitimishwa Oktoba 23.

Vodacom Tanzania Plc Yawafikishia Huduma Karibu Wateja Wake Mjini Zanzibar

$
0
0
Mkurugenzi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Dkt. Mzee Suleiman Mndewa akikata utepe kuzindua duka jipya la Vodacom lililoko jengo la Muzamill Centre, Mjini Zanzibar. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Dar Es Salaam na Pwani, George Venanty na Saleh Omar Alsheikh
Kaimu Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Dar Es Salaam na Pwani, George Venanty akielezea huduma zinazotolkewa na duka hilo kwa Mkurugenzi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, Dkt. Mzee Suleiman Mndewa kabla ya kukata keki ya uzinduzi.
Wafanyakazi wa duka jipya la Vodacom lililoko jengo la Muzamil Centre, Mlandege mjini Zanzibar wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Keki inayoashiria uwepo wa mtandao wenye kasi ya 4G kutoka kampuni inayoongoza kwa mapinduzi ya kidijitali ya Vodacom Tanzania Plc mjini Zanzibar

ACHA,TRW KUWAPELEKA WAANGALIZI 215 UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019, KUTOA ELIMU YA MPIGA KURA

$
0
0

Na Ripota Wetu, Michuzi TV

ASASI mbili za kiraia za Action for Change(ACHA) na The Right Way (TRW) zinatarajia kupeleka waangalizi jumla ya 215 katika Wilaya zote za Tanzania Bara kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba mwaka huu.

Pia imeelezwa ACHA na TRW kwa pamoja wanadhamiria kuendesha mpango wa pamoja wa kutoa elimu ya uraia na uangalizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2019 sanjari na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ili kuzifanya chaguzi hizo kuwa huru zaidi, za haki za kuaminika Tanzania.

Akizugumza leo jijini Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020,Ofisa Mradi wa ACHA Jackson Sikahanga amesema wanatarajia kupeleka waangalizi hao kuhakikisha wanafuatilia mchakato mzima wa uchaguzi wa Serikali za mitaa.

"ACHA TRW tuna matarajio kwamba uchaguzi huu utakuwa huru, haki , kuaminika , tulivu na wenye amani.Pia utakuwa wa uwazi na utakaoshirikisha makundi maalumu , mfano watu wenye ulemavu, wanawake, vijana na wazee.

"Ni dhahiri kuwa uangalizi wa uchaguzi huu utafanyika pia kwa kutumia vifaa vya teknolojia ya kisasa na mafunzo bora yatakayotolewa kwa wakati katika nyanja zote za michakato ya uchaguzi na hata baada ya uchaguzi,"amesema na kuongeza uangalizi na umakini huo katika utoaji taarifa vitabainisha maeneo yenye ucdhaifu kwa marekebisho kwa siku zijazo

Sikahanga amesema ACHA na TRW zinalenga kuona mchakato wa uchaguzi unaofuata viwango vya kitaifa na kimataifa, kama ambavyo Tanzania imeridhia na zile zilizopo kwenye sheria za manispaa , kanuni na miongozo kutoka vyombo mbalimbali vya kusimamia uchaguzi ikiwemo Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC).

Pia amesema uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu mwaka 2020 ni fursa nyingine kwa Watanzania kushuhudia ukuaji wa utawala wa demokrasia. Aidha amesema ipo haja ya ushiriki mpana wa wananchi wote katika mchakato wa uchaguzi, kaunzia kipindi kabla ya uchaguzi kwa mfano uandikisha waji wa wapiga kura, elimu ya mpira kura na uteuzi katka vyama.

"Mchakato huu unahitaji mfumo wa mwenendo thabiti wa elimu kwa wananchi katika zoezi zima, ambalo litafanya elimu kwa mpiga kura kuwa thabiti na wenye tija , mwamko huu wa wananchi kupitia elimu kwa umma na programu ya mpiga kura , ambayo imeandaliwa mahususi kwa ajili ya kuwadaidia wananchi kutambua kuwa ushiriki katika uchaguzi ni haki yao,"amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa TRW Rhoda Kamungu amesema upo ushahidi usiojitosheleza unaunga mkono umuhimu wa vyombo katika kuhakikisha Serikali inawajibika juu ya utawala bora ,haki na misingi yote ya haki za binadamu na kwa wananchi wake.

"Ni jukumu letu kuwajulisha wananchi kama nguzo muhimu kupitia vyombo vya habari katika kutoa jukwaa jumuishi la mjadala wa umma na majadiliano kuhusu kuhamasisha mijadala kwa kuzingatia Katiba,sheria,sera ,taratibu na miongozo.Utafiti unadhihirisha kuwepo idadi kubwa ya wapiga kura wasiofahamu kuhusu mchakato na utaratibu wa uchaguzi,"amesema.

Kuhusu kwanini elimu ya uraia, elimu ya mpiga kura na ungalizi ni muhimu, Kamungu amejibu kuwa ACHA na TRW kwa pamoja wanatamani kuona mchakato wa uchaguzi ambao unaongozwa na wananchi, shirikishi , wenye uwazi , huru na haki. "ACHA na TRW tutatoa elimu ya uraia, mpiga kura na uangalizi wa michakato ya uchaguzi kwa kuzingatia vigezo vilivyopo.
 Mkurugenzi wa The Right Away ,Rhoda Kamungu  akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam,mambo mbalimbali ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu,sambamba na namna  Asasi hizo zilivyojipanga kupeleka waangalizi  Wilaya zote za Tanzania Bara,ambapo ameeleza kuwa waangalizi wa Muda mrefu  wapatao 215 watapewa jukumu hilo ngazi ya majimbo na Waangalizi wa muda mfupi wapatao 3600 watapelekwa kwenye vituo mbalimbali vya uangalizi nchi nzima.
 Ofisa Mradi wa Action for Change   (ACHA) Jackson Sikahanga akizungumza na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu  namna walivyodhamiria kuendesha mpango wa pamoja wa kutoa elimu ya uraia,na uangalizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa mwaka 2019 sanjari na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ili kuzifanya chaguzi hizo kuwa huru zaidi, za haki na kuaminika Tanzania.



 Ofisa Mipango wa ACHA na TRW akitolea ufafanuzi wa baadhi ya mambo yalitozungumza na Watangulizi wake kwenye mkutano huo na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam.

SPIKA NDUGAI AZUNGUMZA NA WABUNGE WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI BUNGENI JIJINI ARUSHA

$
0
0

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza a Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wakati alipowatembelea leo Bungeni Jijini Arusha.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai(kulia) akipokelewa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Martin Ngogi wakati alipowasili nje ya viwanja vya Bungeni leo Jijini Arusha.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Martin Ngogi Ofisini kwake leo Jijini Arusha.
Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye picha) wakati alipowatembelea leo Bungeni Jijini Arusha.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kulia) katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki nje ya Bunge hilo leo Jijini Arusha. Katikati ni Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Martin Ngogi.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI TANDAHIMBA AWATAKA WATENDAJI KATA,VIJIJI KUFUATA MWONGOZO WA KANUNI ZA UCHAGUZI

$
0
0
Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Tandahimba Ahmada Suleiman amewataka watendaji wa kata na vijiji kufuata  mwongozo wa kanuni za uchaguzi  katika kugawa fomu za wagombea katika maeneo yao

Hayo ameyasema kwenye semina ya watendaji wa kata na vijiji iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba

"Tumieni kanuni za Uchaguzi  katika kugawa fomu kwa wagombea  haki itendeke kwa kila mgombea na baadhi ya watendaji  msifanye kazi kwa mazoea kwakuwa kila Uchaguzi una mambo mapya,"alisema Suleiman

Alisema wagombea wajitokeze kuchukua fomu kuanzia kesho tarehe 29 Oktoba katika maeneo yao ya kata na vijiji.
Watendaji wakihakiki fomu za wagombea ambazo wanakwenda kugawa kwenye maeneo yao

 Muwezeshaji Zuberi Sarahani akiwasisitiza Watendaji kutumia kanuni za uchaguzi
Watendaji wa kata na vijiji wakimsikiliza muwezeshaji.



UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAPAMBA MOTO, WAGOMBEA KUANZA KUCHUKUA FOMU KESHO

$
0
0

Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutoanza kampeni kabla ya muda uliopangwa.

Mhe Jafo ameyasema hayo wakati akitangaza tarehe ya kuanza kuchukua na kurudisha fomu kwa wagombea watakaoshiriki uchaguzi huo ambapo fomu hizo zitaanza kutolewa kesho Oktoba 29 hadi Novemba 4, mwaka huu.

Amesema ni suala la kawaida kwa wagombea kusindikizwa na wafuasi na wapambe wao kwa mbwembwe lakini akasisitiza zisiwe kwa staili ya kufanya kampeni.

" Kanuni zetu hazisemi mtu aende kuchukua fomu peke yake, huwezi kumzuia mtu kwenda kuchukua fomu kwa staili anayoitaka lakini staili hiyo isiwe ya kampeni, wagombea wanaweza kwenda na ndugu na jamaa zao lakini niwakumbushe wasifanye kampeni kwa kuwa muda bado haujatangazwa rasmi," Amesema Waziri Jafo.

Kuhusu hofu ya baadhi ya maeneo kutokua na watendaji watakaosimamia uchaguzi, Mhe Jafo amesema changamoto hiyo ishafanyiwa kazi kwa baadhi ya Maafisa Tarafa kuteuliwa lakini pia kama ulivyo utaratibu sehemu ambayo haina mtendaji yupo ambaye atakaimu.

" Kwa mujibu wa kanuni zetu suala la uchukuaji fomu litaanza kesho Oktoba 29 na litakoma Novemba 4, hiki ni kipindi muhimu sana kwa wagombea kwani zoezi hilo litadumu kwa siku Saba.

Lakini pia nimetoa ufafanuzi na muongozo kuwa siku ya kuchukua fomu siyo hiyo Oktoba 29 tu Bali mgombea anaweza kuchukua fomu hata tarehe 30 kikubwa ni asipitishe Novemba 4 awe ameirudisha," Amesisitiza Waziri Jafo.

Amesema anaamini kuwa watanzania wote wenye sifa za kugombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi huu watajitokeza kuchukua fomu kwani huu ndio muda wa kuweza kufanya hivyo kupitia vyama vya vya Siasa vyenye usajili wa kudumu.

Amewataka wagombea na viongozi wao wa vyama kuzingatia kanuni na taratibu za uchaguzi hasa katika suala la kuchukua na kurudisha fomu ili kusije kuleta mkanganyiko hapo baadae.

" Nichukue fursa hii kuwashukuru sana Watanzania toka tumeanza zoezi la kujiandikisha hadi sasa tunavyoenda kwenye hatua ya kuchukua fomu wameendelea kuwa watulivu na kutoa ushirikiano kwenye kila hatua. Lengo letu ni kuhakikisha kila Mtanzania mwenye haki ya msingi ya kushiriki uchaguzi huu anashiriki bila kuwepo kwa malalamiko yoyote," Amesema Jafo.

Amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao ndio Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye maeneo yao kuhakikisha wanaimarisha ulinzi na usalama katika kipindi chote cha uchaguzi huo ambao itafanyika Novemba 24 mwaka huu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo akitangaza tarehe ya kuanza kuchukua fomu kwa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24 mwaka huu. Fomu hizo zitaanza kutolewa kuanzia kesho Oktoba 29 hadi Novemba 4 mwaka huu.

Kampuni ya Aggrey & Clifford yang’ara tuzo za Top 100 Mid-Sized Companies

$
0
0

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Aggrey & Clifford, Ibrahim Kyaruzi, akipokea tuzo kwa niaba ya kampuni kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Bankable Tanzania Limited Lawrence Mafuru (Kushoto)

Kampuni ya matangazo na ukuzaji masoko ya Aggrey & Clifford, kwa mara nyingine imepata tuzo kutokana na kuwa miongoni mwa makampuni 100 ya kati yanayofanya vizuri kibiashara.

Kampuni ya Aggrey & Clifford ambayo hivi karibuni ilisherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwake, ilitunukiwa tuzo hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kwenye hafla fupi iliyofanyika Serena Hotel.

CHINA NA TANZANIA KUBADILISHANA TAMADUNI KUPITIA MTANDAO

$
0
0
KAMPUNI ya Star Media, Shirika la mtandao wa China pamoja na Wizara ya habari, utamaduni, Sanaa na michezo wamezindua rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao na hiyo ni kwa kupitia filamu na tamthiliya mbalimbali. 

Akizungumza katika hafla hiyo Mtendaji Mkuu wa Shirika la Mtandao la China  Zhao Hui amesema kuwa mahusiano ya baina ya Tanzania na China yamekuwa yakiimarika kila siku huku wakishirikiana zaidi katika masuala ya tamaduni huku mahusiano ya China na Afrika yakiendelea kukua na kudumu kila siku.

Amesema kuwa mtandao umekuwa ukiwaweka watu karibu zaidi tofauti na ilivyokuwa awali na wanaamini  azma hiyo ya kubadilishana tamaduni baina ya nchi hizo mbili utakuza mawasiliano pamoja na mawasiliano.

 Pia katibu wa kwanza wa Utamaduni kutoka Ubalozi wa China nchini amesema mahusiano ya China na Tanzania yamezidi  kukua zaidi na hiyo ikiwa ni matokeo bora yaliyopandwa na waasisi wa mataifa hayo  ambao walipanda mbegu bora ya ushirikino, ambayo matokeo yake yanaonekana sasa hivi.

Amesema mahusiano kupitia mtandao utaimarisha mahusiano ya nchi hizo mbili huku akipongeza idadi kubwa ya  wanafunzi  wanaojifunza lugha ya kichina katika vituo vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Chuo kikuu cha Dodoma.

Amesema wanafunzi hao wanaojifunza lugha hiyo wamekuwa wakitembelea nchi hiyo ili kuweza kujifunza zaidi ili kuendelea kujifunza na kudumisha mahusiano hayo yaliyodumu kwa miaka 55 sasa.

Kwa upande wake mchekeshaji maarufu nchini Ebitoke amesema kuwa mitandao ya kijamii ina nguvu sana hivyo haina budi kuitumia vizuri ili kuwezesha zaidi masuala ya kibiashara na mahusiano bora baina ya China na Tanzania.

Amesema kuwa mtandao mahusiano bora baina ya China na Tanzania yataimarika zaidi pamoja na kuelewana miongoni mwao na hiyo ni sambamba na kuendeleza mahusiano katika masuala ya biashara, elimu na tamaduni.
Wadau mbalimbali wa serikali ya China, Tanzania na mitandao wakikata utepe kuashiria  uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
 Mtendaji Mkuu wa Shirika la Mtandao la China  Zhao Hui akizungumza kuhusu mahusiano ya Tanzania na China katika masuala ya elimu, miundombinu na kushirikiana katika tamaduni wakati wa uzinduzi rasmi wa mahusiano ya kushirikianakatika  kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
 Katibu wa kwanza wa utamaduni kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Zhang Bing akizungumza kuhusu namna ushirikiano wa Tanzania na China ulivyoweza kuunganisha tamaduni za nchi hizo mbili wakati wa uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mchekeshaji kwenye Mitandao ya kijamii Anastazia Exavery maarufu kama Ebitoke akizugumza kuhusu namna mitandao ya kijamii ilivyoweza kuinua kipaji chake wakati wa uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mchekeshaji kwenye Mitandao ya kijamii  Agness Joseph, Maye Kidoti akizungumzia mafanikio aliyoyapata kupitia mitandao ya kijamii wakati wa uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali wa masuala ya utamaduni wa Tanzania na China wakiwa kwenye ukumbi wa mkutano wakati wa  uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali wa serikali ya China, Tanzania na mitandao wwakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa  uzinduzi rasmi mahusiano ya kushirikiana kubadilishana tamaduni kupitia mtandao uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA MABALOZI WAPYA WA FINLAND, UMOJA WA ULAYA NA RWANDA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi mteule wa Jamhuri ya Rwanda nchini Meja Jenerali Charles Karamba kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 28, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Balozi mteule wa Jamhuri ya Rwanda nchini Meja Jenerali Charles Karamba baada ya kupokea hati yake ya utambulisho kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 28, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi mteule wa Jamhuri ya Finland nchini Mhe. Riita Swan kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 28, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Finland nchini Mhe. Riita Swan baada ya kupokea hati yake ya utambulisho kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 28, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi mteule wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Mhe. Manfredo Fanti kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 28, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifanya mazungumzo na Balozi mteule wa Umoja wa Ulaya (EU) Mhe. Manfredo Fanti baada ya kupokea hati yake ya utambulisho kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam  leo Jumatatu Oktoba 28, 2019 PICHA NA IKULU

HARMONIZE ALIUZA MAJI NA KAHAWA MITAA YA KARIAKOO.

$
0
0
Na: Moshy Kiyungi,Tabora.

Humu nchini walikuwapo wanamuziki wengi waliotingisha katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, wengi wao wamefifia ama hawapo tena kimuziki.

Harmonize ndilo jina linalotajwa kila kona kwa kwa kipindi hiki kwa jinsi alivyoweza kukonga nyoyo za wapenda muziki huo.

Maudhui katika nyimbo zake zimepelekea kualikwa kwenye shughuli kubwa za Kitaifa, ambako amekuwa akiwanyenyua vitini baadhi ya viongozi wakubwa, wakimtuza pamoja na kucheza naye.

Mfano halisi ni kwenye sherehe za kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika mjini Lindi Oktoba 14, 2019.

Harmonize alifanya ‘kufuru’ kwa wimbo wake amkisifia Rais John Pombe Magufuli kwa mambo makubwa ya maenedeleo ya nchi yaliyafanywa kwa kipindi kifupi na serikali ya awamu ya tano chini.

Aliwainuwa vitini baadhi ya viongozi akiwemo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, walioingia uwanjani kusakata muziki sambamba na msanii huyo.

Wakati huohuo rais Magufuli alikuwa akifurahi, baadaye akampongeza Harmonize, pamoja na kumshawishi kugombea ubunge jimbo la Tandahimba.

Baada ya ushawishi huo Harmonize mwenyewe amepokea kauli hiyo kwa mikono miwili.

Kuipitia ukurasa wa wake wa mtandao wa Instagram, Harmonize amemjibu rais kwa kusema…Thanks a lot…!!! My President…!!! Doctor John Pombe Magufuli Kama ilivyo Ada Ya kwamba KaulinYako Tukufu Ni Sheria Nikiwa kama mwananchi wa Kawaida Sinabudi Kutii…!!! Lakini Pia Wananchi wa Wenzangu wa Tandahimba Wameipata .Hii Kauli Yako Tukufu…!!! Bila Shaka Kwapamoja Tunaifanyia Kazi…!!! Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Serikali ya awamu ya tano.

Harmonize ni nani?

Wasifu wa Harmonize unaonesha kuwa mara baada ya kuzaliwa Aprili 15, 1994, katika kijiji cha Chitoholi mkoani Mtwara, alipewa jina la Rajab Abdul Kahali, japo hupenda kujiita ‘Konde Boy’.

Ni mwanamuziki mwenye talanta za kutunga na kuimba nyimbo za miziki ya Bongo Flava pamoja na Afro Pop, wakati mwingine hubofya Piano, pia ni mtayarishaji wa rekodi.

Miaka ya nyuma mkoa wa Mtwara ulitoa wanamuziki waliokuwa wakipiga muziki hususan wa asili ya Kimakonde. Baadhi yao ni kama Halila Tongolaga na Che Mundugwao.

Pia kulikuwa na bendi ya Mitonga Jazz, iliyokuwa ikiwasha moto kwa muziki wa asili hususan katika wimbo wao wa ‘Mariana’.

Katika miaka ya 1990 hadi 2000, tulimshuhudia masanii maarufu wa kucheza na Nyoka, Norbert Chenga, ambaye ni wa kabila la Wamakonde toka Mtwara, aliyekuwa akiongoza kikudi cha Muungano Dancing Troupe cha jijini Dar es Salaam.

Harmonize alianza kuvuma kwa vibao vyake vya kwanza vya Aiyola cha mwaka 2015, Bado cha mwaka 2016, Matatizo ya 2016 na baadaye akatoa nyimbo akishirikiana na msanii mwenzie kutoka lebo moja ya Wasafi Classic Baby (WCB), Diamond Platnumz.

Wimbo wa ‘Kwa ngwaru’ ulibamba karibia maeneo yote ya Afrika ya Mashariki na Kati kabla ya kuachia kibao kingine kiitwacho ‘Inama’ ambacho kiliongezewa nakshi kwa sauti ya mwanamuziki Fally Ipupa toka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

Utamu wa radha ya wimbo huo uliongezeka baada ya kumshirikisha msanii kutoka nje ya Tanzania, aitwaye Burna pamoja na Diamond Platnumz.

Harmonize hivi sasa anatamba na kibao kiitwacho ‘Never give Up’, wimbo ambao unaelezea historia ya maisha yake kuanzia alivyo kuwa na maisha magumu sana. Harmonize anasimamiwa na Joel Joseph au kwa jina lingine Mr Puaz.

Maisha ya Awali

Harmonize alisoma katika shule ya sekondari Mkundi iliyopo mjini Mtwara, baada ya kumaliza elimu yake alielekea jijini Dar es Salaam ambako alijishighulisha na shughuli mbalimbali za kumpatia riziki ya kila siku.

Kama wafanyavyo vijana wengi waingiapo jijini Dar es Salaam wasio na mitaji, Harmonize alikuwa akisukuma mkokoteni wenye madumu ya maji akiuza maji. Pia aliuza Kahawa kwa wafanyabiashara wengine na wakazi wa Kariakoo jijini humo.

Alianza kujihusisha na muziki mnamo mwaka 2011, ambapo alitoa nyimbo mbalimbali lakini hazikuweza kupata umaarufu mkubwa, hadi aliapokutana na Diamond Platnumz mnamo mwaka 2015 na kuanza kufanya mziki pamoja naye.
.

Harmonize wakati anaanza kazi ya muziki alitamani kushiriki onesho la Fiesta Mtwara, lakini hakuweza kupata fulsa ya kuperfom.

Alieleza kisa cha kuto kuperfom ni kwamba wakati akiwa njiani kwenda kuangalia Wasanii wenzake wakiperfom kwenye viwanja vya Nangwanda Sijaona, alikutana na kundi la vibaka wakamkaba na kumpora kila kitu.

Mwanamuziki huyo alisema baada ya tukio hilo aliamua kurudi hotelini akiwa amechanganyikiwa kutokana na kuporwa kila kitu ikiwa pamoja na nauli yake ya kurudi Dar es Salaam.

Harmonize alisema baada ya kufikiria sana aliamua kuchukua nguo zake zilizokuwa hotelini, akaamua kuziuza ili aweze kupata nauli ya kurudi Dar es Salaam.

Akiwa mjini Mtwara alipatiwa namba ya simu ya Diamond Platumz na mmoja wa watangazaji mjini humo ili akirejea Dar es Salaam, amtafute ili aweze kumsaidia kimuziki.

Harmonize alisema hakuamini siku alipomtumia ujumbe Diamond, naye hakusita kumjibu kuwa amekubali kumsaidia pamoja na kumpatia malazi nyumbani kwa Diamond huko Tegeta jijini Dar es Salaam.

Kabla ya sauti yake kutambulika mitaani, baadaye alichukuliwa na lebo ya Diamond Platnumz ijulikanayo kama WCB (Wasafi Classic Baby).

Harmonize akatokea kuwa mtu wa karibu sana na bosi wake Diamond, hadi kutuhumiwa kumuiga kwa kila kitu kuanzia kuongea, kucheka, kuimba, kucheza napozi mbalimbali.

Lakini yeye alitumia muda mwingi kujitetea kwamba hamuigi kwa kila kitu kama wanavyodai watu, lakini alikubali kuwa alikuwa akimkubali sana Diamond Platnumz huku akimuita ‘Bigi’.

Kwa sasa Harmonize kajiengua katika lebo hiyo kutokana na sababu ambazo hazijawekwa wazi. Lakini baada ya kuvunja mkataba na Wasafi Classic Baby (WCB), Harmonize alitakiwa kulipa shilingi milioni 500, ili kupata haki zake zote kutoka mikono ya Wasafi.

Kwa mujibu wa Harmonize, masharti ya kuvunja mkataba yapo katika makundi mawili. La kwanza, ni kulipa shilini milioni 500. Pili kama ataondoka kama yeye, asitumie jina la Harmonize pamoja na nyimbo ambazo msanii huyo alirekodi akiwa WCB.

Imefahamika kwamba mara atakapotoa kiasi hicho cha shilingi nusu bilioni, ataweza kutumia jina la Harmonize, haki ya kutumia nyimbo zake zote alizorekodi chini ya lebo hiyo, video alizofanya chini ya lebo hiyo ya Wasafi na kadharika.

Harmonize yaelezwa kwamba amelazimika kuuza nyumba zake tatu ili kupata ‘mkwanja’ huo ili wamalizane na WCB, naye kuwa huru.

Kujiengua kwa Harmonize katika lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Wasafi, Lizer Classic, alitamka wazi kummisi msanii huyo aliyejitoa katika Lebo ya WCB, akaenda kuanzisha lebo yake ya Konde Gang.

Alisema kuondoka kwa Harmonize katika lebo hiyo, ni pengo kubwa kwakuwa ni mmoja wa wasanii ambao aliwazoea zaidi ambaye walianza pamoja toka chini. 

Baadhi ya nyimbo alizoachia Harmonize ni pamoja na Aiyola ya mwaka 2015, Bado aliyomshirikisha Diamond Platnumz ya mwaka 2016, Matatizo ya mwaka 2017, na Happy Birthday ya mwaka 2017.

Zingine ni Shula, Niambie, Don’t go, Nishachoka, Sina, Nakupenda zote za mwaka 2017.

Mwaka 2018 Harmonize alitoka na nyimbo za Kwa ngwaru aliyomshirikisha Diamond Platnumz, Dm Chick, Atarudi na Paranawe wimbo alimshirikisha msanii Rayvanny wa mwaka 2018.

Hamrmonize aliachia nyimbo za Niteke, Show me What you Gat, aliomshirikisha msanii Yemi Alade, Kainama alimshirkisha Diamond Platnumz na Burna boy, Ndoenda na Never give Up za mwaka 2019.

Alibaisha kuwa jina lake halisi anaitwa Rajab, lakini jina la Harmonize alipewa na Producer wa Record Lebel pamoja na mashabiki zake.

Harmonize alifika jijini Dar es Salaam mwaka 2009 alipohitimu kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Mkundi iliyopo Mtwara. Baada ya kuwasili hakuwa na shughuli ya kufanya, akajikita katika uuzaji wa Chai na Kahawa maeneo ya Kariakoo. Baadaye alifanya biashara Umachinga wa kuuza nguo na vitu mbalimbali.

Harmonize alianza harakati za muziki mwaka 2011, alishawahi kurekodi nyimbo katika studio lakini hazikuwa na ubora wa kupeleka katika vituo vya redio na kusambaza kwa watu.

Katika kipindi cha miaka minne aliyoingia katika maswala ya muziki, ilimuwezesha kujifunza kiasi pamoja na changamoto ya kubanwa na biashara zake, akashindwa kujisimamia vizuri katika mambo ya muziki.

Harmonize hakukata tamaa, alianza kutafuta Meneja kwa kumsimamia kazi zake miaka miwili kabla ya kukutana na uongozi wa WCB ambao uliompokea vizuri.

“Nimesha rekodi nyimbo nyingi ndani ya lebo ya Wasafi, nimeona nianze kwanza na Aiyola huu uwe mwanzo wangu, pia nimejifunza vitu vingi kutoka kwa lebo ya WCB, kutoka kwa msanii Diamond Platnumz” alitamka Harmozize.

Kwa upande wa historia ya mnaisha yake inaonesha kufanana na ya meneja wake Diamond, kwa kuona umuhimu wa kusaidia vijana wengine ndiyo maana akafungua studio nyumbani kwake na kuweza kutoa vipaji kwa vijana tofauti tofauti.

Harmonize amefunguka na kusema kuwa uongozi wake wa WCB, ulipomtaka kumtanguliza kama chambo alidhani wamedhamiria kumpoteza katika ramani ya muziki, ndiyo maana hawakutaka kuutambulisha kwenye radio na televisheni kitu ambacho kimezoeleka.

"Unajua mimi katika WCB nilikuwa kama chambo kwa sababu hata lebo ilipoanzishwa mimi ndiye niliyekuwa msanii wa kwanza kusaini, nikafanya vizuri wengine wakafuatia.

Hata hivyo kwenye mauzo ya muziki kwenye mtandao nimetangulizwa mimi, namshukuru Mungu kazi zimepokelewa vizuri. Uongozi ulikuwa na mtazamo chanya tofauti na nilivyowaza". Alisema Harmonize.

Msanii huyo alisema baada ya kiongozi wa lebo hiyo Diamond Platnumz kutoa albam, yeye alidhamiria kuomba uongozi wake ili afanye hivyo, kwakuwa aliaibika sana alipofika Marekani alipoulizwa yeye anazo album ngapi kama msanii, akakosa jibu.

"Nilipokuwa Texas nchini Marekani, mdada mmoja aliniambia kuwa mimi ni msanii kutoka Tanzania, akaniuliza mpaka sasa nina albamu ngapi? nikashindwa kumjibu, hii ilikuwa ni aibu nikabaini kwamba ukiwa na albamu kadhaa lazima watu wakuheshimu" aliongeza Harmonize.

Kila la heri Harmonize unayo mengi ya kufanya katika tasnia hiyo, usikate tamaa wala kusikiliza maneno ya watu ‘chapa kazi’.


Mwisho.

Makala hii imeandikwa kwa msaada mkubwa wa mitandao.
Mwandaaji anapatikana kwa namba: 0784331200, 0713331200, 0767331200 na 0736331200.

Viewing all 110185 articles
Browse latest View live




Latest Images