Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110180 articles
Browse latest View live

RISING STAR: VANESSA MDEE TAKES MUSIC INDUSTRY BY STORM

$
0
0


When she featured Ommy Dimpoz’s song, ‘Me and You’ many still thought Vanessa is not in the business for real.

But when she decided to launch her first single of her musical career, "Closer", Vanessa’s velvet voice caught people by surprise. Her fresh, unique and fast-rising talent, on top of a catchy tune created by popular Tanzanian producers Hermy B and Pancho Latino was sure to make people dance and sing along.

Having super musicians like AY, Chidi Benz and Nakaaya on their list of credits, Hermy B and Pancho Latino are well respected producers in the country. This trio of excellence, Hermy B, Pancho and Vanessa finally decided to unleash the track, which has been on the shelf for two years, to bring you the best in what Vee describes as "a fusion of afro pop, soul, RnB and Hip Pop (not Hop)." 

The debut took place at the trendy Java Lounge in Masaki, Dar Es Salaam, giving Tanzanians music lovers a unique flavor in the music industry. "Closer" has taken Tanzania by storm as it was proved in a private listening session at the teams Kawe studio attended by close friends and relatives, allowing them to get an insight into what the reaction would be from the outside world. Needless to say, it was a complete and immense success.

Since the release, approximately two weeks ago,"Closer" has gone viral on all social media networks including but not limited to Twitter, Facebook, You Tube and more. With this just being the start, we are sure to hear and see more from Vanessa, who is also a Choice FM presenter, MTV VJ, Epiq BSS 2012 host and so much more on her credit.

TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI (TFF) LEO

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
Waziri mkuu Mizengo Pinda akipokewa na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kuwasili katika ofisi hiyo kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanywa na Ofisi hiyo jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu matumizi ya ramani katika upataji na ukusanyaji wa takwimu mbalimbali zinazotumiwa katika masuala mbalimbali nchini kutoka kwa Kaimu Meneja wa Idara ya Mbinu za Kitakwimu, Viwango na Uratibu Bw. Emilian Karugendo.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (kulia)akimfafanulia jambo Waziri Mkuu Mizengo Pinda (katikati) kuhusu takwimu za Kilimo na uchumi. Kushoto kwa waziri Mkuu ni Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa.
Mkuu wa Kitengo cha Ramani Ofisi ya Taifa ya Takwimu Vincent Mgaya (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuhusu matumizi ya ramani kupata Takwimu za Kilimo, Uchumi na Utalii.
Meneja wa Idara ya Pato la Taifa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Daniel Mwasula akitoa ufafanuzi kwa Waziri mkuu Mizengo Pinda kuhusu Pato la Taifa na namna ofisi yao inavyofanya kazi kukokotoa pato la taifa.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimweleza jambo Meneja wa Takwimu za Kilimo Bi. Joyce Urassa alipotembelea Ofisi ya Taifa ya Takwimu jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika Picha ya Pamoja na viongozi na watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kukamilisha ziara yake. Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.

MT. KILIMANJARO TO HOST THE FIRST EVER PARAGLIDING EVENT IN TANZANIA

$
0
0
TANAPA's Public Relations Manager Pascal Shelutete (left) and Wings of Kilimanjaro Coordinator Paula Mc Rae addressing the media during the launch of the first ever paragliding event in Tanzania to be held in Mount Kilimanjaro.

By Pascal Shelutete

Tanzania National Parks (TANAPA) in collaboration with an Australian company “Wings of Kilimanjaro” will host the first ever Paragliding event on Mount Kilimanjaro from 27th January, 2013 to 6th February, 2013.

A group of more than 100 adventurers and philanthropists from 25 countries from aroundthe globe will come together to Tanzania to climb and fly from the Roof of Africa. The team, who will be one of the largest ever groups to attempt the world’s tallest free standing mountain, aim to ascend the 5,895mhigh peak and fly from the summit.

Wings of Kilimanjaro will donate 100% of money raised to support the charities of “One Foundation”, Plant with Purpose” and “WorldServe International”. These organizations are undertaking ground-breaking work in East Africa to address the severe problems of poverty in rural communities, deforestation and humanitarian issues including clean drinking water, education and nutrition.

The whole expedition will have more than 600 porters, guides and crew who will support the 100+ adventurers. The group will spend seven days making the trek to the peak where the pilots will launch.

The paragliding event, whereby pilots will be flying from the Roof Top of Africa will take place on 5thor 6thFebruary, 2013 depending on the weather at Kibo. The team of pilots have chosen the grounds surrounding the Umbwe High School and Kibosho Vocational Training Centre between the villages of Machame and Kibosho. The public is highly welcomed to witness this important touristic event.

Paragliding participants currently include several newsworthy individuals from the world of adventure sport, adventure travelling and philanthropy including the 2012 National Geographic Adventurer of the Year, Sano Babu Sunuwar from Nepal.

Tanzania ya pongezwa kwa kutatua migogoro Afrika

$
0
0
Jukwaa la Mabunge ya Jumuiya ya Kimataifa ya nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu (FP-ICGLR) limeitaja Tanzania kuwa mfano wa kuigwa kwa juhudi inazozifanya kuleta amani barani Afrika. 

Pongeli hizi zimetolewa leo na jumla ya nchi wa kumi na mbili zinazounda Jukwaa hilo kwenye mkutano wa tatu unaoendelea kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimewataja Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete pamoa na watanzania kama wapenda amani barania Afrika. 

Hii ni kutokana na viongozi hao kujitolea kusuluhisha migogoro ya DRC/Rwanda na kundi la M23, migogoro ya Afrika ya Kati, mgogoro wa Sudani na Sudani Kusini, mgogoro wa Kenya baada ya uchaguzi mkuu na mingine mingi. Pamoja na Tanzania, Afrika Kusini nay imepongezwa. 

Bunge la Tanzania limewkilishwa na Spika wa Bunge ambaye ameongoza ujumbe wa wabunge watano ambao ni Mhe. Mussa Azzan Zunge, Mhe. Pauline Gekul, na Mhe Sadifa Juma. Wengine ni Mhe. Mohamed Mbarouk na Mhe. Prudenciana Kikwembe.

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kupokelewa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo Bwana Hemed Mgaza (katikati) Kushoto ni Mwenyekiti wa Bunge na Makanu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulizi na Usalama Mhe. Musa Azzan Zungu (Mb). Kulia ni Mhe. Sadifa Juma Khamis, (Mb).Mhe. Spika ameongoza ujumbe wa Wabunge watano kudhuria Mkutano wa tatu wa Kimataifa wa Jukwaa la Kibunge lanchi za Ukanda wa Maziwa Makuu.
Ufunguzi wa mkutano wa Tatu wa PF –ICGLR (Forum of Parliaments of International Conference on Great Lakes Region – FP/ICGLR) mjini Kinshasa.
Ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano huo.
Spika Makinda na Spika wa Kenya Mhe. Kenneth Marende (kulia) wakiingia kwanye mkutano huo.
Picha ya pamoja ya maspika, Sekretarieti pamoja washirika wa maendeleo wa FP-ICGLR. Picha na Prosper Minja-Bunge

gazeti la Jambo Leo latinga mtandaoni

$
0
0
Kwa habari za kila siku Soma gazeti la Jambo Leo kupitia website http://jamboconcepts.com/jamboleo/Utajipatia habari mbalimbali ambazo zimetokea nyumbani Tanzania na matukio mengine duniani,gazeti la Jambo Leo linatolewa na kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha Jarida la Jambo Brand Tanzania, gazeti la michezo la kila wiki,Staa Spoti na gazeti la matangazo la Dar Metro linalotoka kila baada ya wiki mbili.Lakini unaweza kuingia katika website ya kampuni kuona vitu ambavyo inafanya ambayo ni http://www.jamboconcepts.com/.

Tunawakaribisha .Karibuni sana na tunahitaji maoni yenu ili kuweza kujifunza mengi zaidi.

RAIS KIKWETE AMALIZA ZIARA YAKE YA KISERIKALI NCHINI UFARANSA LEO

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemaliza ziara yake ya Kiserikali ya Siku tano nchini Ufaransa leo, Januari 23, 2013. Zifuatazo ni picha mbalimbali wakati akiagwa na mwenyeji wake, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Orly, Ufaransa.

Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Yatoa Elimu Ya Sheria Sumbawanga, Rukwa

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Bw. Methew Sedoyeka akifurahia jambo wakati wa warsha ya wadau katika wilaya ya Sumbawanga mkoa wa Rukwa, wengine kushoto Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Munir Shemweta na Fred Kandonga Ofisa Sheria wa Tume.
Ofisa Sheria wa Tume Fred Kandonga akimkabidhi kalenda za Tume Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa Bw. Francis Kilawe wakati maofisa wa Tume walipotembelea ofisini kwake.
Washiriki wa warsha ya wadau wilayani Sumbawanga wakimsikiliza mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga.
Ofisa Sheria wa Tume Fred Kandonga akiwasilisha mada ya Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 mbele ya wadau wa sheria.
Wadau wa sheria wilaya ya Sumbawanga mkoa wa Rukwa wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa na maofisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

JOOMLA! CMS WEBSITE DESIGN AND DEVELOPMENT TRAINING FROM 18– 22 FEBRUARY, 2013

$
0
0
The University of Dar es Salaam (UDSM), Center for Virtual Learning(CVL) is organizing a 5 days training to equip participants with the skills, knowledge and techniques for designing and developing good websites without even being experts by using Open Source Content Management System (CMS) called Joomla! CMS 2.5.8

Joomla is an award-winning CMS, which enables people to build Websites, as well as Web based applications. A summary of course outline can be found from the College website: www.coict.udsm.ac.tz


Target Audience

  • Individuals who would like to have their very own website.

  • Owner of an existing Joomla website built by another 3rd party.

  • SMEs and small businesses who wish to cut down the costs of web development projects and manage their own websites.

  • Individuals who wish to be self-employed in Website development


  • Web masters, website administrator, computer systems analysts, public relationship officers, communication officers and entrepreneurs.


Training fee:  Tsh. 500,000/= (excluding breakfast and lunch)

Venue:  UDSM Kijitonyama Campus (Former TTCL Staff College), Dar Es Salaam

Registration:Please register NOW through the College website: www.coict.udsm.ac.tz

Certificate of attendance:  will be provided upon completion of the course.

For more information contact us at saganda@udsm.ac.tz; Telephone: +255715471705

Stanbic Bank Tanzania in Tshs. 250 million support to school Water, Sanitation and Hygiene programme in Tanzania

$
0
0
Dar Es Salaam January 22nd 2013 - Stanbic Bank Tanzania, one of the leading international banks in Tanzania has signed a Memorandum of Understanding with UNICEF Tanzania to inject USD 150,000 equivalent to Tshs. 250 million for three years to support the government School WASH programme, at a ceremony officiated by the Deputy Minister of Health and Social Welfare, Dr. Seif Rashid.

Speaking to the press during a brief signing event at the Stanbic Head Office in Dar es Salaam the Chairman of the Board of Directors of Stanbic Hatibu Senkoro said; “we are delighted to enter into this partnership with UNICEF and the government that will shape future behaviours of our children and significantly help to reduce the occurrence of hygiene-related diseases.”

Stanbic Managing Director Bashir Awale (left) and UNICEF Tanzania Country Representative Dr. Jama Gulaid (right) sign a Memorandum of Understanding that will see Stanbic inject approximately Tshs. 250 million (USD 150,000)in the School Water, Sanitation and Hygiene Programme (SWASH). Looking on back row is the Deputy Minister of Health and Social Welfare Hon. Dr. Seif Rashid (middle), Stanbic Board Chairman Hatibu Senkoro (right) and Stanbic Head of Marketing and Corporate Affairs Abdallah Singano (left)

Stanbic Bank’s contribution will help to support the scaling up of affordable, good quality, girl and child friendly, sustainable school water, sanitation, and hygiene facilities in three schools in Temeke district, in Dar es Salaam. An average of eight hundred primary school children per school will benefit from the programme.

Specifically Stanbic Bank’s contribution will be channelled through the national programme to support a full School WASH package in three schools selected by the government and UNICEF.

The UNICEF Country Representative in Tanzania Dr. Jama Gulaid commended Stanbic’s support.

“The funding aside, Stanbic Tanzania is setting an excellent example for the private sector in Tanzania by contributing to social development. By investing in children, Stanbic is investing in the next generation of leaders, investors, traders, and farmers” he said.

The MoU was signed by the Managing Director of Stanbic Bank Tanzania Bashir Awale and UNICEF Country Representative Dr. Jama Gulaid and witnessed by the Bank’s Board of Directors and representatives from UNICEF Tanzania.

WANANCHI WAHAMASISHWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUCHANGIA DAMU KWA HIARI KUOKOA MAISHA

$
0
0
Mpango wa Taifa wa damu salama kwa kushirikiana na asasi ya Evidence of action” umezindua kampeni ya kuokoa maisha ya mama na mtoto “ MAMA YE” tarehe 17/01/2013 jijini Arusha kwa kutoa elimu juu ya uchangiaji damu na kuendesha zoezi la uchangiaji damu.


Akiongea katika uzinduzi huo Meneja wa mpango wa taifa wa damu salama Dr Effesper Nkya alitoa shukrani za dhati kwa mtu mmoja mmoja na Taasisi mbalimbali ambazo zimekuwa zinashirikiana na Mpango kuhakikisha upatikanaji wa damu salama katika hosipitali zetu.

Dr Nkya katika hotuba yake alihamasisha wananchi juu ya umuhimu wa kuchangia damu kwa hiari mara kwa mara ili kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma ya kuongezewa damu pia aliwashauri wananchi watunze usalama wa damu iliyomo mwilini mwao ili wanapochangia, iweze kusaidia wenye upungufu wa damu. Jumla ya chupa za damu 1040 zilikusanywa katika kipindi cha siku 5 ( tarehe13 mpaka 17 januari)

Mauaji ya Kimbari yanaweza kutokea katika nchi yoyote ile

$
0
0
Balozi Tuvako Manongi akifungua semina ya siku mbili kuhusu uzuiaji wa mauaji ya kimbari, akifungua semina hiyo, Balozi amewaeleza washiriki kwamba kila serikali na kila raia anao wajibu wa kugundua na kutoa taarifa kwa vyombo vinavyohusika kuhusu viashiria au dalili ambazo kama hazitadhibitiwa mapema zinaweza kusambisha mauaji ya kimbari au mauaji ya halaiki katika nchi husika. Pembeni yake ni Bw. Adama Dieng, Mshauri Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu uzuiaji wa maujai ya Kimbari.
sehmu ya washiriki wa semina hiyo kutoka Balozi mbalimbali za Umoja wa Mataifa pamoja na wataalamu kutoka Asasi zisizo za kiraia, semina hiyo ili kuwa ni ya kuwajengea uelewa mpana washiriki kuhusu suala zima la mauaji ya kimbari na ulinzi wa raia. wanasema walifundishwa pamoja na namna ya kubaini viashiria vya machafuko, namna ya kukusanya taarifa, mikataba ya kimataifa kuhusu mauaji ya kimbari, uzuiaji wa mauaji ya kimbari na adhari na matukio yao kiuchumi, kijamii na kimaendeleo kwa na wananchi wa nchi husika.

Article 10

Predent Kikwete vists FIFA headquarters in Zurich.Meets FIFA President SEPP Blatter

$
0
0

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete bids farewell to his host FIFA president Joseph Sepp Blatter after visiting FIFA headquarters in Zurich, Switzerland at the invitation of Mr. Blatter
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete with FIFA President Joseph Sepp Blatter at FIFA headquarters in Zurich.
FIFA president Joseph Sepp Blatter shows President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete various World trophies on display at FIFA headquarters in Zurich, Switzerland.

breaking nyuzzzzz......: wananchi wavamia kituo cha polisi kibiti,Rufiji

$
0
0

Habari iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa kundi kubwa la wananchi waliojawa na ghazabu Wilayani Rufiji leo wamevamia kituo cha Polisi Kibiti Wilayani humo na kuanzisha vurugu kubwa kufuatia raia mmoja mkazi wa kijiji hicho kudaiwa kufa kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutokana na kipigo cha Polisi.

Chanzo chetu cha Habari kutoka Kibiti kinatupasha kuwa,kijana huyo aliyefariki kutokana na kipigo hicho afahamikae kwa jina la Hamis Mpondi ambaye mauti yamemfika wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili,jijini Dar es Salaam na taarifa hiyo ilipowafikia wananchi hao ndipo wakachukua uamuzi wa kwenda kituoni hapo na kuanzisha vurugu hizo.

Habari zaidi zinaeleza kuwa,hivi sasa wananchi hao wanateketeza nyumba za Askari Polisi hao zilizopo jirani kabisa na kituo hicho, licha ya juhudi za Polisi kuwatawanya kwa mabomu kuendelea kufanyika.

Aidha wananchi hao wameanza kufunga barabara kuu ya Kilwa iendayo Mikoa ya Kusini, Lindi na Mtwara kwa mawe, magogo na kuchoma matairi ikiwa ni umbali wa kama kilometa moja kutoka kituo cha Polisi Kibiti.

Inaelezwa kuwa hali imezidi kuwa tete katika eneo hilo huku Polisi wa Kibiti wakiendelea na jitihada za kudhibiti hali hiyo kwa kufyatua mabomu ya machozi hewani kujaribu kutawanya umati huo wa watu.

tutaendelea kupeana taarifa zaidi kadri zitakavyokuwa zikitufikia. 

HOJA YA HAJA: Upembuzi yakinifu finyu; Upendeleo huenda ndio kiini cha uamuzi tata kujenga bomba la gesiasilia Mtwara - Dar es Salaam

MAKUMBUSHO YA TAIFA KUWAENZI WANAMICHEZO WALIO IPATIA SIFA TANZANIA

$
0
0
Makumbusho ya Taifa Tanzania ipo katika maandalizi ya kuwaenzi wanamichezo mbali mbali walio ipatia sifa Tanzania kutokana na juhudi mbali mbali walizo zionesha kupitia nafasi zao za uwanamichezo ndani nan je ya Nchi na kuifanya Tanzania ifahamike kimataifa.

Hayo yamesemwa na Kahimu Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho Tanzania Bi Eliwasa Maro pale alipo kuwa akifungua Mkutano ulio wajumuisha wadau wa ndani wa Makumbusho na wale wa kutoka katika taasisi za hapa nchini, uliofanyika katika Ukumbi mdogo wa Mikutano wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam.

Bi Maro aliongeza kuwa umefikia wakati sasa watanzania wakawaenzi wa wanamichezo wazamani na wa sasa ambao wameinyanyua vyema bendera ya Tanzania nje ya mipaka yetu kwani kwa kufanya hivyo tutatoa hamasa kwa wanamichezo wanao chipukia katika nyanja tofauti tofauti za michezo.

Akizungumzia lengo la Onesho hilo, Bw, Fredrick Mwakalebela ambae ndie Mratibu wa onesho hilo alisema kuwa onesho limelenga kuifanyia kazi wito wa Mh Jakaya M. Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania alio utoa Mkakumbusho ya Taifa mwaka 20012 alipo ya zindua majengo ya Mradi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam wa Makumbusho kuwa na onesho la wanamichezo walio tukuka na walio ipatia sifa Taifa letu kwa lengo la kutunza kumbu kumbu zao.

Bw Mwakalebela ametoa wito kwa vyama vya Michezo/Taasisi na Mashirika mbali mbali kujitoleza katika kufanikisha zeozi hili muhimu kwa maslahi ya Taifa letu hasa katika tasnia ya Michezo nchini.

Bi Flower Manase na Bi Irene Mville waandalizi wa onesho hili na ni wahifadhi wa Makubusho ya Taifa, wamesema kuwa maandalizi yanakwenda vizuri na kwa hatua ya sasa ni ushirikishwaji wa wadau wa michezo nchini ili kupata mawazo ya kulifanikisha onesho hilo linalo tarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi March 2013
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho Tanzania (wa pili kushoto),Bi Eliwasa Maro akifungua Mkutano wa Wadau wa Michezo Nchini katika kujadili namna ya kufanikisha onesho la Wanamichezo Tanzania, linalo andaliwa na Makumbusho ya Taifa.
Bw, Chance Ezekiel akitoa maoni yake mbeli ya wajumbe wa Mkutano wa ufanikishaji wa Onesho la Wanamichezo wa Tanzania.
baadhi ya wajumbe wakifuatilia kwa karibu maoni ya wajumbe katika kujadili namna ya kufanikisha onesho la wachezaji linalo andaliwa na Makumbusho ya Taifa.

BALOZI ZETU ZINAHITAJI KUJITEGEMEA - SPIKA MAKINDA

$
0
0
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwasili kwenye Ubalozi wa Tanzania DRC na kusalimiana na watendaji wa ubalozi huo baada ya kupokelewa na Kaimu Balozi Mhe. Hemed Mgaza.Spika Makinda ameandamana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulizni na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu. Spika Makinda ameshauri kuwa wakati umefika kwa balozi zetu kuwezeshwa ili zijitegemee.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisaini Kitabu cha wageni.kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulizni na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu na kushoto ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini DRC,Mhe. Hemed Mgaza
Jengo la Ubalozi. Jengo hili lipo kando ya barabara kuu ya Kinshasa. 
Picha ya Pamoja na wafanyakazi.
Wajumbe kamati maalum wakiendelea na mkutano wa FP/ICGLR

RUBADA yahamasisha vijana kujihusisha na kilimo Ludewa

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA) Bw. Aloyce Masanja akisisitiza jambo kwa Watendaji wa ngazi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa alipokuwa akitoa mada kwenye semina ya kuwajengea uwezo watendaji wa Halmashauri hiyo juu ya mpango wa ukuaji wa kilimo katika ukanda wa kusini mwa Tanzania (SAGCOT) na mkakati wa Kilimo Kwanza.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA) Bw. Aloyce Masanja (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Bw. Fidelis Lumato, muda muda mfupi mara baada ya kumalizika kwa semina ya kuwajengea uwezo watendaji wa ngazi mbalimbali katika halmashauri hiyo juu ya mpango wa ukuaji wa kilimo katika ukanda wa kusini mwa Tanzania (SAGCOT) na mkakati wa Kilimo Kwanza.

Warembo wa Miss Utalii Tanzania kuonyesha vipaji vyao Januari 27,jijini Dar

$
0
0
Tamasha kubwa la vipaji kwa Warembo wa Miss Utalii Tanzania 2013 litafanyika katika Ukumbi wa Ikondolelo Lodge Hoteli ya Kitalii Kibamba Jumapili hii, ambapo warembo zaidi ya Thelathini wataingia katika kinyang'anyiro hicho na kuonesha vipaji mbalimbali vikiwemo: Kucheza ngoma, Kuimba, pamoja kuonesha mavazi mbalimbali ya Asilia.

Katika Tamasha hilo Maalum Mgeni Rasmi atakuwa Muheshimiwa Iddy Azzan Mbunge wa Jimbo la kinondoni. Sambamba na Hayo Mheshimiwa Azzan atazindua tuzo Mbalimbali za Utalii Tanzania, kama Tuzo ya Mazingira, Tuzo ya Utamaduni, Tuzo ya Jinsia, wanawake na watoto, Tuzo ya Polisi Jamii, Tuzo ya Elimu ya Jamii, Tuzo ya Hifadhi ya Serengeti, Tuzo ya Mlima Kilimanjaro, Tuzo ya Michezo pamoja na Tuzo zengine mbalimbali.

Viingilio katika Tamasha hilo vitakuwa kama ifuatavyo, V.I.P 20,000 , Watu wa kawaida 10,000 na watoto 5,000. Tamasha litaanza kuanzia saa nane mchana na kuendelea.
Viewing all 110180 articles
Browse latest View live




Latest Images