Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110167 articles
Browse latest View live

SERIKALI YAPONGEZA JUHUDI ZA CHUO CHA AGA KHAN KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebainisha kuwa itaendelea kushirikiana na taasisi binafsi katika kuleta maendeleo kwenye nyanja mbalimbali hapa nchini huku ikipongeza juhudi zinazofanywa na Taasisi ya mtandao ya Aga Khan kwa jitihada zake kufundisha wataalam wa sekta ya Afya.

Kauli hiyo imetolewa leo Machi 31.2016 na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati wa ufunguzi rasmi wa jengo la shule ya Uuguzi na Ukunga katika ngazi ya digrii katika chuo cha Aga Khan, Jijini Dar es Salaam.

Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, Chuo hicho Kikuu cha Aga Khan kwa kuanzisha shule hiyo wanaongeza idadi ya vyuo vitakavyokuwa vikizalisha kwa wingi wataalam watakaokuwa wakipta digrii kwani awali kulikuwa na upungufu mkubwa.

Jengo la Chuo hicho cha Uuguzi na Ukunga, limefanyiwa ukarabati pamoja na kupatiwa vifaa mbalimbali kwa msaada wa Serikali ya Ujerumani kwa ushirikiano na Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo waliwezesha kwa kugharamia ujenzi wa jengo hilo pamoja na vifaa vya kisasa vya kufundishia.

Kwa upande wake, mgeni rasmi mwakilishi wa Serikali ya Ujerumani, Waziri wa Uchumi na Maendeleo, Dk. Gerd Muller ambaye alibainisha kuwa, wanataka kuona watalaama wengi wa sekta ya afya wanapata elimu ilikuondokana na matatizo mbalimbali yanayowakabili wanadamu na kuongeza kuwa, bila wataalam wa tiba, Jamii haitakuwa salama.

Aidha, katika tukio hilo,wageni na viongozi mbalimbali walipata kulitembelea jengo hilo pamoja na kushuhudia shughuli mbalimbali zilizokuwa zikiendelea shuleni hapo.

Tazama MO tv, kuona tukio hilo hapa:
DSC_8632Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na wageni mbalimbali waliojumuika katika tukio hilo la ufunguzi rasmi wa jengo la shule ya Uuguzi na Ukunga ngazi ya digrii katika Chuo Kikuu cha Agha Khan, Upanga jijini Dar es Salaam.


MSHINDI WA SHINDANO LA TEKNOLOJIA KUPATIKANA LEO.

$
0
0
Mshindi wa shindano la uvumbuzi wa Teknolojia mpya itakayo saidia jamii kupatikana leo na kuzawadiwa shilingi milioni tano (5,000,000) katika mkutano wa wadau wa teknologia unaofanyika katika ukumbi wa mkutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mkutano huo umeandaliwa na Bites&Bytes ukishirikiana na IBM, TWAWEZA, FSDT pamoja na CBA, mktano huo ambao utahamasisha uendelezaji wa mawazo mapya na uvumbuzi kwa waanzishaji wapya wa biashara na kuwapa mwanya wa kubadilisha mawazo na wadau wengine.
  Baadhi ya wadau wa Teknologia wakimsikiliza  mtoa mada (Hayupo) pichani jijini Dar es Salaam leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere.
  Mwakilishi mwenza wa Bits&Bytes,Zuweina Farah akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Teknologia na uvumbuzi wa teknologia mpya itakayo wasaidia wanachini kufanya kazi kwa urahisi zaidi, leo katika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Amesema kuwa leo washiriki 16 walioshiriki kuvumbua teknoloia mpya wameshiriki katika mkutano huo na ndipo mshindi atakaye fanikiwa kushinda katika shindano hilo atazawadiwa shilingi Milioni 5 kwa kuwa na wazo zuri kuliko wengine ili aweze kuwa na mtaji kwaajili ya kuendeleza uvumbuzi wake.
Mwanafunzi mshiriki wa uvumbuzi wa Teknologia mpya itakayo wasaidia jamii, Gibson Kawago wa shule ya Sekondari ya huko Arusha akiwa amegundua taa za miale ya jua(Solar Power) zinazoweza kuchaji simu za Smati kwa zaidi ya masaa nane.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa Teknologia. 

Tume ya Kurekebisha Sheria Yakabidhi Ripoti ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma

$
0
0

Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Casmir Kyuki akizungumza wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma.
Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma. Makabidhiano yalifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Katiba na Sheria Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi (Kushoto) akimkabidhi Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dk. Harison Mwakyembe Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma. Wengine pichani ni Katibu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sufini Mchome (wa pili kulia) na Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Casmir Kyuki.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dk Harison Mwakyembe akiongea mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma.
Sehemu ya Waandishi wa habari waliohudhuria makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma (Picha zote na Munir Shemweta wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania).

MWENYEKITI WA MTAA WA OYSTERBAY, LUBUVA ASAIDIA WATUNZA MAUA WA MBUYUNI JIJINI DAR.

$
0
0
WANAKIKUNDI cha Green Garden ambao wanafanya biashara uuzaji na utunzaji  maua  pembeni kidogo ya kituo cha mabasi cha Mbuyuni jijini Dar es Salaam wapewa mpira kumwagilia maua wa Mita 100 na Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva.

Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva amesema kuwa ameona vyema kutimiza ahadi alizoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi wa viongozi wa serikali za mtaa kwa wanakikundi hicho kwani aliwaahidi kuwasaidi amesema Mwenyekiti huyo wakati wa kukabidhi mpira wa kumwagilia wa mita 100 leo pembeni ya kituo cha mabasi ya Mbuyuni jijini Dar es Salaam.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa wa kikundi cha Green Garden, Mohamed Mombo ameashukuru  Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva kwa kutimiza ahadi ahadi yake.

"Tulikua na mpira ambao ulikuwa umetoboka tulijitahidi kuziba na makaratasi ili usivuje sasa tumepata mpya tena wa mita 100 sasa tutakuwa kukijitahidi kutunzaji wa maua vizuri"

Mombo amesema kuwa kikundi hicho kimeanzishwa mwanzoni mwa mwaka 1985 mpaka sasa wapo tuu kwa sababu ya kujitafutia liziki ikiwa wanapata changamoto mbali mbali hasa za kukosa wateja kwa mda mwingine.
 Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akimwagilia maua mara baada ya kuwakabidhi mpira wa Mita 100 kwa wanakikundi cha Green Garden jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa kikundi cha Green Garden, Mohamed Mombo akizungumza kwa mwandishi wetu mara baada ya kupewa msaada wa mpira wenye mita 100 utakao wawezesha kumwagilia maua kwa urahisi zaidi tofauti na mwanzo na 
  Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), (kushoto) Zefrin Lubuva  akikabidhi Mpira wa Mita 100 kwa wanakikundi cha Green Garden kilichopo Mbuyuni jijini Dar es Salaam.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

SERIKALI KUTUMIA BILIONI 435 KUTEKELEZA MIRADI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI.

$
0
0
 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini  Bw.Lutengano Mwakahesya akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ambapo zaidi ya Bilioni 435 zinatarajiwa kutumika kutekeleza miradi ya kupeleka umeme katika maeneo mbalimbali hapa nchini lengo likiwa kuwafikia watanzania wote. kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo bw. Frank Mvungi.
Meneja Wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA)  Bw. Elineema Mkumbo akitoa wito kwa watanzania kuunga mkono juhudi za Serikali kufikisha nishati ya Umeme kwa watanzania wote kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini  Bw.Lutengano Mwakahesya.

Frank Mvungi-Maelezo
SERIKALI kutumia Bilioni 435 kutekeleza Miradi ya kupeleka Umeme Vijijini ikiwa ni utekelezaji wa Malengo yakuhakikisha kila mtanzania anafikiwa na nishati ya hiyo ili kukuza uchumi na kupanua wigo wa uzalishaji.

Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati ya  Umeme Vijijini (REA)Dkt. Lutengano Mwakhesya wakati wa mkutano na waandishi wa Habari uliolenga kueleza hatua iliyofikiwa katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kupeleka umeme vijijini.
“Miradi inayotekelezwa hadi sasa kwa awamu ya pili imekamilika kwa asilimia 90 na tunatumaini kuwa kasi ya utekelezaji wa miradi yote kwa awamu ya pili na yatatu itakapoanza itaongezeka zaidi “ alisisitiza Mwakhesya.

Akifafanua kuhusu idadi ya vijiji vilivyokwishanufaika Mwakhesya amesema kuwa vijiji 5200 vimepatiwa umeme sawa na asilimia 36 ya vijiji vyote vilivyopo hapa nchini ambavyo ni takribani 15,000.

Kwa upande wa kiwango cha fedha zilizotolewa wakati wakala huo unaanzishwa ni Bilioni 10 ambapo zimekuwa zikiongezaka mwaka hadi mwaka ili kufikisha huduma hiyo kwa watanzania walio wengi zaidi.
Akizungumzia Wilaya zilizonufaika na awamu ya kwanza Mwakhesya alizataja kuwa ni Uyui,Kilolo Kilindi na Bahi ambapo kwa Sasa lengo ni kufikisha huduma hiyo kwa wananchi wote.

Kwa upande wake Meneja wa Wakala wa Nishati Vijijini Bw. Elineema Mkumbo ametoa wito kwa watanzania kutumia fursa ya kuunganishiwa umeme kwa gharama ya 27,000 tu lengo likiwa ni kuhakikisha kuwa watanzania wengi wanafikiwa na nishati hiyo.

REA imekuwa ikitoa  kipaumbele kwenye huduma za jamii kama shule,Hosipitali na Visima vya Maji kwa kutumia sola ambazo ziko kwenya moja ya miradi inayotekelezwa na wakala huo. 

WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA

$
0
0
Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa kwenye wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya hospitali hiyo.
Mussa Rashid
Kaimu Mganga mkuu Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid akitoa taarifa kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha vipimo katika hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammed Bakari.
Ummy Mwalimu
Waziri Mh. Ummy Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus Kessy.

TAARIFA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI

Vodacom yadhamini michezo shule ya sekondari Nganza

$
0
0
 Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama akigawa Fulana za Vodacom kwa wanafunzi wa Nganza Sekondari katika Tamasha la michezo la shule hiyo waalilolidhamini jijini Mwanza jan.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza, Christopher Gachuma akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakifatilia michezo iliyokuwa ikiendelea jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo. Picha na Lordrick Ngowi.

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA SERIKALI KWA UJENZI TB III

$
0
0


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO
MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA




Kamati  ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeipongezaSerikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kwa kujenga jengo zuri la tatu la abiria (TB III)  litakaloboresha zaidi huduma za usafiri wa anga.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Profesa Norman Sigalla (Makete) wakati Wajumbe wa Kamati hiyo walipotembelea jengo hilo katika ziara yao ya kukagua miradi ya Serikali mwanzoni mwa wiki.

Jengo hilo linajengwa katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) kwa Euro milioni 254 (sh. Bilioni 560) za mkopo kutoka Benki ya HSBC ya Uingereza na CRDB kwa dhamana ya Serikali ya Tanzania na Uholanzi.

Tayari TAA imeshamlipa Mkandarasi wake, Bam International ya Uholanzi, Euro milioni 96 baada ya kukamilisha asilimia 60 ya kazi. Jengo hilo linajengwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza ipo katika hatua za mwisho.

Mwenyekiti Sigalla na Wajumbe wengine wa Kamati hiyo walieleza kuridhishwa na kazi nzuri iliyofanywa na Serikali kujenga jengo hilo linalotarajiwa kukamilika Desemba 2017.

Baada ya kufurahishwa na kazi hiyo nzuri na kushauri uboreshaji zaidi wa utendaji, wabunge waliahidi kuisukuma Serikali iiwezeshe zaidi TAA kifedha ikamilishe miradi yake kwa wakati.




Kapombe ajazwa mapesa ya uchezaji bora wa ligi ya Vodacom

$
0
0
Mchezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es Salaam Shomary Kapombe jana amekabidhiwa kitita cha shilingi Milioni 1/- kutokana na kuibuka kuwa mchezaji bora wa ligi ya soka ya VPL inayoendelea kwa kipindi cha mwezi Januari mwaka huu.

Kapombe amekabidhiwa kitita hicho  kutoka kwa mdhamini wa waligi hiyo Vodacom Tanzania katika uwanja  wa klabu anayoichezea uliopo maeneo ya Chamanzi,jijini Dar es Salaam.

Akiongea muda mfupi baada ya kukabidhiwa  zawadi hiyo  ikiwa ni tuzo ya uchezaji bora,Kapombe alisema amefurahia kuwa miongoni mwa wachezaji waliopata tuzo tuzo na kuongeza kuwa imezidi kumtia moyo na bidii ya kujituma zaidi.

“Nashukuru Vodacom kwa kuwapatia zawadi wachezaji wanaofanya vizuri kwa kuwa inawazidishia kasi ya kujituma zaidi,pia nawashukuru wachezaji wenzangu wote wa Azam maana bila  jitihada za pamoja sio rahisi mchezaji mmoja ukaibuka na kuonekana bora kwa kuwa katika mchezo wa soka sote tunategemeana”.Alisema.

Kwa upande wake Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu aliyeambatana na Ofisa wa Bodi ya Ligi, Joel Balisidya pamoja na Ofisa Udhamini na Matukio wa kampuni hiyo, Ibrahim Kaude katika kumkabidhi zawadi hiyo alimpongeza mchezaji huyo na kuongeza kusema kuwa Vodacom inajivunia mafanikio yanayoendelea kupatikana katika ligi hiyo na ina mpango wa kushirikiana na wadau wengine wa soka kuzidi kuiboresha zaidi.

  Kapombe alitwaa tuzo  mwezi Januari uliokuwa na raundi tatu, alicheza dakika zote 180 za mechi mbili za timu yake dhidi ya African Sports na Mgambo Shooting.

Mechi ya tatu ya Azam FC katika raundi hiyo dhidi ya Tanzania Prisons ilikuwa kiporo, na ilichezwa Februari 24, 2016.

Kapombe alifunga mabao yote mawili kwenye ushindi wa mabao 2-1 wa timu yake dhidi ya Mgambo Shooting. Pia alisaidia kupatikana bao la Azam kwenye mechi dhidi ya African Sports iliyomalizika kwa sare ya bao 1-1, na mara nyingi mashambulizi ya timu yake yalianzia upande wake.

Washindani wa Kapombe kwenye kinyang'anyiro hicho katika mwezi huo walikuwa mshambuliaji wa Tanzania Prisons ya Mbeya, Jeremiah Juma na beki wa Coastal Union ya Tanga, Miraji Adam.
Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe (kushoto) akiwa ameshikilia hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 1/- kama tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) jana katika mazoezi ya timu yake,Kutoka kulia ni Ofisa wa Bodi ya Ligi (TPLB), Joel Balisidya, Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom, Ibrahim Kaude pamoja na Meneja wa kikosi hicho, Luckson Kakolaki.

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA

$
0
0
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana na Kiongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania Sheik Tahir Mahmoud aliyemtembelea pamoja na viongozi wenzake Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa Jumuiya hiyo nchini Sheik Tahir Mahmoud. 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya jamii yatembelea mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya TBC-Kisarawe.

$
0
0
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya jamii wakipitia taarifa ya shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kuhusiana na upanuzi wa masafa ya usikivu kisarawe pwani na maendeleo yake. 
Mkurugenzi wa shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw.Ayoub Ryoba akiwasilisha taarifa ya shirika hilo kwa wajumbe wa wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kuhusiana na upanuzi wa masafa ya usikivu kisarawe Pwani.Wengine pichani ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye,Naibu Waziri wa wizara hiyo Bi.Anastazia Wambura na mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.Peter Serukamba.Picha na Daudi Manongi-Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye (wa pili kulia) akiwasilisha jambo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii walipotembelea mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya shirika la utangazaji Tanzania iliyopo kisarawe Pwani.

MWENYEKITI SERIKALI ZA MTAA ABAMBWA KWA WIZI WA MAJI

$
0
0
IKIWA ni siku chache tangu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwasihi wenyeviti wa serikali za mtaa kubani wezi wa Maji kwenye maeneo yao,Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) kupitia operesheni yake maaalum ya kukagua majengo makubwa kwenye maeneo ya jiji, limebaini wizi mkubwa wa Maji nyumbani kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Amana Ilala jijini Dar es salaam.

Akizungumza kwenye tukio hilo Meneja wa Dawasco Ilala Mhandisi Ramadhani Mtindasi amesema kuwa wamebaini wizi huo wa Maji kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa ambaye ameweza kufahamika kwa jina moja la bi Zainabu baada ya kufanya uchunguzi ambapo laini za Maji zimeunganishwa moja kwa moja kwenye visima viwili vilivyopo kwenye nyumba hiyo nakudai kuwa mara zote wenye nyumba hao wamekuwa wakidai Maji wanayotumia niya kisima mpaka walipofanya uchunguzi nakugundua wizi huo.

“Tumeweza kugundua wizi wa Maji nyumbani kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa ambapo tumeweza kupata jina lake moja la bi Zainabu kwa kuwa alikimbia tulipofika kwenye eneo la tukio ila tulifanya uchunguzi kwenye nyumba yake na kubaini kuwa ameunganisha laini za Maji moja kwa moja kwenye visima vyake viwili vilivyopo nyumbani kwake na mara zote huwa anadai anatumia Maji ya Kisima kumbe anafanya wizi wa Maji”,alisema Mtindasi.

Hata hivyo meneja wa huyo amesema kuwa walifanyiwa fujo na vijana wa nyumba hiyo walipofika kufanya uchunguzi na kusababisha moja wa mafundi wa Dawasco kujeruhiwa, kutokana na tukio hilo la kushambuliwa wamechukua hatua za kuripoti polisi nakuandikisha hati ya kukamatwa (RB)kwa vijana hao pia wameng’oa mabomba yanayopeleka Maji kwenye visima vilivyopo kwenye nyumba hiyo nakuwatoza faini ya Maji ya wizi waliyokuwa wakitumia.

“tulivyofika kwenye eneo la tukio kwa ajili ya` kufanya uchunguzi tulifanyiwa fujo nakupelekea mmoja wa Mafundi wetu kujeruhiwa ila tumechukua hatua mbalimbali ikiwa naku ripoti polisi nakuandikisha hati ya kukamatwa kwa vijana hao pia kutokana na kugundua wizi huo pia tumeng’oa laini zote zinazopeleka Maji kwenye visima vya nyumba hiyo nakumtoza faini ambayo tutamuandikia barua ya kumtaarifu kiasi gani cha kulipa”, alisema Mtindasi.

Kwa upande wa majirani akiwemo bwana Hamisi Khaflan amesema kuwa atatoa ushirikiano kwa Dawasco ili kubaini vijana waliofanya fujo kwa mafundi waliokuja kuchunguza wizi wa Maji kwenye eneo hilo. “Tunahaidi Dawasco tutashirikiana nao kubaini vijana ambao wamewafanyia fujo kwa kuwa tunawafahamu na pia kitendo walichokifanya vijana hao sio kizuri na wamevunja sheria”,alisema Khalfan.

Hata hivyo mpaka taarifa inafika mtamboni mwenyekiti huyo alikuwa amekimbia, Dawasco inaendelea kuwasihi wakazi wote wa jiji la Dar es salaam waliojiunganishia kinyume na utaratibu kujisalimisha iliwaweze kuunganishiwa huduma ya Maji kihalali kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa yeyote atakayebainika kwa wizi wa Maji.
Meneja wa Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) Ilala akionyesha moja ya kisima cha Maji ambacho kilichounganishiwa moja kwa moja laini ya Maji kinyume na utaratibu kwenye nyumba ya Mwenyekiti wa mtaa eneo la Amana Ilala jijini Dar es salaam.

SERIKALI KUIWEZESHA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI KUHAKIKI RASILIMALI NA MADENI YA VIONGOZI WA UMMA

$
0
0

Na Mwandishi wetu.
SERIKALI imesema kuwa italipa kipaumbele suala la uhakiki wa mali za viongozi wa umma kwa kuiwezesha Sekretarieti ya Maadili ya viongozi kufanya kazi zake kwa ukamilifu kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki amesema hayo leo jijini Dar es Salaam alipokutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa pamoja na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa imetembelea ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma kujua majukumu, mafanikio na changamoto zinazoikabili Taasisi hiyo ili wakifika bungeni waweze kuisemea.

“Suala la uhakiki wa rasilimali na madeni ya viongozi tutahakikisha linapewa kipaumbele katika Awamu hii ya tano ya uongozi,” amesema.

Kwa mujibu wa Waziri Kairuki, Serikali itajitahidi kuongeza jitihada ili uhakiki wa rasilimali na madeni ya viongozi wa Umma ufanyike, pamoja na kuiongezea Taasisi hiyo bajeti ya kutosha.

KAZI NI KAZI TU

$
0
0
Katika pitapita leo, Kamera ya Globu ya Jamii iliinasa Taswira hii ya Mdau akisaka makopo ya maji kunywa yaliyotumika, katika moja ya mtaro uliopo eneo la Kinondoni Shamba jijini Dar es salaam, tayari kwa kwenda kupima na kuuza ili apate chochote kitu cha kusogeza siku. Biashara hii imekuwa maarufu sana katika maeneo mengi hapa mjini, vijana wengi wamejitoa kweli kweli kwenye shughuli hii. 

KAMATI YA MALIASILI YATEMBELEA HIFADHI YA SAADANI PAMOJA NA KUKUTANA NA TANAPA

$
0
0
Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii. Kamati hiyo ilikutana na TANAPA katika Hifadhi ya Saadani.(Picha na Ofisi ya Bunge).
  Mkuu wa Hifadhi ya Saadani Bw. Hassan Nguluma akiwaonesha Wajumbe wa Kamati ya Maliasili, Utalii na Ardhi ramani ya Hifadhi hiyo wakati kamati hiyo ilipoitembelea Hifadhi ya Saadani pamoja na kukutana na Menejimenti ya TANAPA. Wengine katika picha ni Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani (mweye miwani) na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Atashasta Nditiye.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe Atashasta Nditiye akizungumza na Menejimenti ya TANAPA wakati kamati hiyo iliopotembelea Hifadhi ya Saadani. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani.
 Mkurugenzi wa Masoko na Utalii wa TANAPA Bw. Ibrahim Musa akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali wakati akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii. Kamati hiyo ilikutana na TANAPA katika Hifadhi ya Saadani.

Tanzanian Health Care Gets Boost from AKU’s New Nursing/Midwifery Training Facility

$
0
0
Aga Khan University opened the new home of its School of Nursing and Midwifery in Dar es Salaam today at Salama House. This state-of-the-art facility will educate nursing and midwifery leaders dedicated to saving lives and improving health care for the people of Tanzania. Since 2004, AKU has graduated more than 2,100 nurses in East Africa of which 600 are in Tanzania. Notable alumni of AKU include the country’s top nursing official – the Director of the Division of Nursing and Midwifery Services in the Ministry of Health – and the Chair of the Tanzania Nursing and Midwifery Council.

The €1.2 million (TSh 2.95 billion) Salama House project was funded as part of a €17.2 million (TSh 42 billion) grant to AKU from the Federal Republic of Germany to improve health in East Africa by providing nurses and midwives with high-quality education and training.

In addition to funding the renovation and expansion of Salama House, the grant includes funding to enable more students to attend AKU and has helped the University to develop the curriculum for its planned post-RM Bachelor of Science in Midwifery. The East African Community played an important role in making it possible for AKU to receive the funding.
Dr. Gerd Müller, German Federal Minister for Economic Cooperation and Development and Mr. AlKarim Haji, AKU Vice President, Finance and Chief Financial Officer unveiling the plaque to mark the official opening of the Aga Khan University Salama house
The opening was presided over by Dr. Gerd Müller, German Federal Minister for Economic Cooperation and Development; Dr. Helmut Schön, KfW Country Director for Tanzania; Dr. Richard Sezibera, Secretary General of the East African Community; Dr. Hamisi Kigwangalla, Tanzanian Deputy Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children representing Minister Ms. Ummy Ally Mwalimu; and Mr. Al-Karim Haji, AKU Vice President, Finance and Chief Financial Officer.

“Despite all efforts maternal and newborn mortality are still unacceptably high in East Africa. Reducing them requires well-functioning health systems, including a skilled workforce. I am glad we found such able partners in the Aga Khan University and the EAC who will help achieve Sustainable Development Goal No. 3 – “Good health and wellbeing for all” – for all citizens of the East African Community and of Tanzania in particular,” stated Dr. Gerd Müller, German Federal Minister for Economic Cooperation and Development.
Dr. Richard Sezibera, Secretary General of the East African Community addressing the invited guests during the official opening of the Aga Khan University Salama house
“Tanzania has a fraction of the highly skilled nurses and midwives it needs. More modern facilities for nursing and midwifery education are needed,” said Mr. Al-Karim Haji, AKU Vice President, Finance and Chief Financial Officer. “With the opening of the new home of our School of Nursing and Midwifery, we are helping to change that. The partnership between AKU, the Federal Republic of Germany and the East African Community, plus the support of the Republic of Tanzania, will give more nurses and midwives an opportunity to improve their clinical and leadership capacities.”

“Aga Khan University is playing a leading role in the EAC’s effort to harmonize and modernize nursing curricula and standards across member states,” said Dr. Richard Sezibera, Secretary General of the East African Community. “This facility is another example of AKU’s longstanding commitment to educating much-needed nurses and midwives to improve the quality of health care for East Africans, and of the Aga Khan Development Network’s broader contribution to improving the lives of East Africans.”
Hon. Dr. Hamisi Kigwangalla, Deputy Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children during his speech at the official open of the Salama house at the Aga Khan University
“The opening of this facility is a significant event in the development of nursing and midwifery in Tanzania,” said Hon. Dr. Hamisi Kigwangalla, Deputy Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children on behalf of Ms. Ummy Mwalimu, the Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly, and Children. 

READ MORE HERE

Article 3

Mkuu wa Mkoa, Makonda atembelea timu ndani ya EFM redio leo.

$
0
0
 Mkurungenzi wa EFM redio Francis Siza katika picha ya pamoja  na  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo alipotembelea kituo hicho cha Redio cha EFM ziara  hiyo ilikuwa kuangalia utendaji kazi wa redio hiyo pamoja na kujadiliana mambo kadha wa kadha yahusianayo na jamii kwa ujumla.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na baadhi ya ya watangazaji wa kipindi cha UHONDO ambao ni Dina Marios, Swebe Santana pamoja  na Sofia Amani.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika kitengo cha mauzo na masoko cha EFM redio akizungumza na maafisa masoko wa kituo hicho. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa chumba cha uzalishaji (Production) cha EFM redio akiwa katika kitengo cha utafiti, mawasiliano na ubunifu.

EAC MILITARY COMMAND POST TRAINING EXERCISE CODENAMED USHIRIKIANO IMARA 2015 CONCLUDES IN KENYA

$
0
0
A two-weeks regional Military Command Post Training Exercise codenamed Ushirikiano Imara 2015 concluded today at Kenya’s Humanitarian Peace Support School, in Embakasi, Nairobi.
                   
More than 250 members of the armed forces, police and civilian components from the EAC Partner States took part in the joint command post exercise meant to practice participants in the planning and conduct of peace support operations, counter terrorism, counter piracy, media and disaster management.

The exercise was also meant to improve the capabilities to combat complex security challenges and sought to harmonize the working relationships and improve military interoperability between the EAC Partner States’ Armed Forces.

In his address to the participants and invited guests at the closing ceremony, Kenya’s Defence Principal Secretary, Amb. Peter Kaberia commended the EAC Secretariat for organizing military activities within the framework of the EAC Protocol on Cooperation in Defence Affairs, among them the Command Post Exercises.

At the same occasion, Lt. General Joseph Kasaon, the Vice Chief of the Defence Forces noted that training was an important aspect in the military and it was a major pre-occupation in peacetime.

Lt. Gen. Kasaon, who was representing the Chief of Defence Forces Gen. Samson Mwathethe, said “the exercise came at a time when the region and indeed the continent was facing diverse challenges both military and ideological emanating from the changing nature of our society”, adding that  ‘”the Northern part of Africa and the Horn are struggling with violet extremism that threatens to spread southwards and therefore we in the EAC are the buffer for the rest of Africa and must therefore stand together to ensure that peace and security prevails”.

The Vice Chief of the Defence Forces asserted that the modern day soldier was constantly confronted with a faceless and borderless enemy and therefore the need to have a concerted approach against the enemy and to remain steadfast in joint preparations to face the current and future challenges to the region.

On behalf of the Secretary General of East African Community, Amb. Dr Richard Sezibera, the Deputy Secretary General in charge of Political Federation, Mr. Charles Njoroge reiterated that it was a great inspiration to the people of East Africa to see members of the Armed Forces together with the Police and civilians gathered under the auspices of the Community participating in the Military Command Post Exercise.

“This is a living testimony that EAC integration is moving towards greater heights and the event offered concrete hope and prospects for future integration and progress for the people of East Africa”.

He said the EAC Co-operation in Defence offers great scope and prospects for the consolidation of East African regional integration and development process. “It emphasizes that we need unity, peace, stability and strength to defend our common interests”.

During the two-weeks exercise, several guests visited and shared with the Contigents on peace and security as a prerequisite for regional integration and development process, including Hon. Dr. Augustine Philip Mahiga, the Chairperson of the EAC Council of Ministers and Minister for Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation of the United Republic of Tanzania.

Kenya’s Defence Cabinet Secretary, Amb. Dr. Raychelle Awuor Omamo graced the opening ceremony on 24th March 2016. Both the opening and closing ceremonies of the exercise were graced by Uganda’s 3rd Deputy Prime Minister and Minister of EAC Affairs, Rt. Hon. Dr. Ali Haji Kirunda Kivejinja, Ministers, Ambassadors, regional top military officers, and the media.
Defence Principal Secretary Amb. Kibera, EAC Deputy Secretary General Mr. Charles Njoroge, Vice Chief of Defence Forces Lt. Gen. Joseph Kasons at the official closing ceremony
Kenya's Defence Cabinet Decretary Amb. Raychelle Omamo hands over the EAC Flag to the Exercise Director to symbolize official opening of the Military Command Post Exercise.
Viewing all 110167 articles
Browse latest View live




Latest Images