Waziri wa Nishati afanya mazungumzo na washirika wa maendeleo
Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani amekutana na washirika wa maendeleo wanaofadhili miradi ya nishati ili kujadiliana nao kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo miradi wanayoifadhili na miradi mipya...
View ArticleMWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI
Na Yeremias Ngerangera, NamtumboMwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha Dodoma ( UDOM)kitivo cha elimu amekwama nauli ya kufika chuoni baada ya wazazi wake kutamka bayana kuwa hawana uwezo...
View ArticleWANANCHI WANASHUHUDIA MAAJABU MAKUBWA NDANI YA MIAKA MITATU YA RAIS DKT.JOHN...
Na Said Mwishehe, DodomaWAKATI Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais Rais Dk.John Magufuli ikiwa imetimiza miaka mitatu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za...
View Article"UCHOVU NI SABABU INAYOPELEKEA AJALI ZA BARABARANI" -- DKT. MPOKI
Na WAMJW, Dar es Salaam.KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya amesema kuwa moja ya sababu za ajali barabarani, ni uchovu wa madereva.Dkt....
View ArticleSPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UGENI KUTOKA BENKI...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Benki ya NMB ulioongozwa na Ofisa Mkuu wa Mikopo wa Benki hiyo, Ndg. Tom Borghlos (wa pili kushoto) walipomtembelea leo tarehe 14...
View ArticleTUMEAMUA KOROSHO YOTE IBANGULIWE NCHINI-MHE HASUNGA
Na Mathias Canal-Wizara ya kilimo, MtwaraWaziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga amesema kuwa wizara yake itatekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli...
View ArticleGEREZA LUDEWA KUPATIWA TREKTA ILI KUONGEZA UZALISHAJI WA CHAKULA CHA WAFUNGWA
Na Lucas Mboje, LudewaKAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike ameahidi kulipatia trekta moja Gereza la Kilimo Ludewa ili kuongeza uzalishaji wa chakula cha wafungwa.Kamishna Jenerali...
View ArticleMAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2019/20 KUZINGATIA MAONI YA WABUNGE
Na Saidina Msangi na Farida Ramadhani-WFM.Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) amesema kuwa Serikali itazingatia maoni na ushauri wa wabunge wote katika Maandalizi ya Mpango na...
View ArticleWAKURUGENZI WATAKIWA KUZINGATIA AFUA ZA LISHE KATIKA BAJETI ZA HALMASHAURI...
Na Stella Kalinga, Simiyu.Kuelekea katika kipindi cha maandalizi ya bajeti ya mwaka 2019/2020 wito umetolewa kwa Wakurugenzi wa Halmashauri mkoani Simiyu na maeneo mengine kote nchini kuyapa...
View ArticleVijana, wanawake na walemavu wala neema Manispaa ya Sumbawanga
Halmashauri ya manispaa ya Sumbawanga imetoa shilingi milioni 70.5 kwa vikundi 21 vya vijana, wanawake na walemavu ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya Mwaka 2004...
View ArticleBARABARA ZA KISASA KUONGEZEKA NCHINI
Imeelezwa kuwa ujenzi na usimamizi bora wa barabara za kisasa katika miji mikuu utachochea kukua kwa haraka kwa uchumi na kuvutia biashara za bidhaa na utalii hapa nchini.Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AMALIZA ZIARA MKOANI KILIMANJARO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi na Watendaji wa mkoa wa Kilimanjaro kufanya kazi kwa kushirikiana, kuheshimiana na kupendana.Makamu wa Rais...
View ArticleWAHAMIAJI HARAMU 110 WAKAMATWA SHINYANGA...43 WARUDISHWA KWAO
Idara ya Uhamiaji mkoani Shinyanga imekamata wahamiaji haramu 110 wakiwemo raia wa kigeni 103 na Watanzania saba kwa kuishi nchini Tanzania kinyume cha sheria.Hayo yamebainishwa leo Jumatano Novemba...
View ArticleMNADA WA HADHARA MALI ZA EUROPEAN UNION, UNICEF, FAMILY HEALTH INTERNATIONAL,...
UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na EUROPEAN UNION, UNICEF, FHI360, WORLD BANK NA BAM INTERNATIONAL watauza kwa mnada wa hadhara Fanicha za ofisini, vifaa vya maofisini, magari, genereta...
View ArticleMEYA IRINGA AWASHANGAZA MADIWANI AENDESHA BARAZA KWA DAKIKA 32
KATIKA hali isiyoya kawaida kikao cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambacho kwa wiki iliyopita madiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) walisusia kikao hicho...
View ArticleMADIWANI TABORA WATAKA OCD KWENDA KUJIBU TUHUMA ZA MGAMBO KUPIA WANANCHI
Na Tiganya Vincent, TaboraBARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora limetaka Mkuu wa Polisi Wilaya ya Tabora aitwe kwa ajili ya kujibu tuhuma zinawakabili baadhi ya askari wake na migambo...
View ArticleBenki ya TPB yasaidia vifaa Taswa SC
Na Mwandishi wetuBenki ya TPB imeendelea kuisadia klabu ya Waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC) baada ya kuikabidhi vifaa vya michezo ambavyo vitatumiwa na timu hiyo katika michezo yake...
View ArticleKAMANDA MUSLIM SASA KUWANYAKUA MADEREVA WA SERIKALI WASIOFUATA SHERIA ZA...
*Asema inasikitisha watumishi wa umma kupoteza maisha kwa ajali*Awataka waache kukimbia mwendo kasi, kupita magari bila uangalifuNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiKAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama...
View Article
More Pages to Explore .....