Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110202 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIMU WA FENESI

Mafenesi yakiwa juu ya  mti.  Mafenesi yakiwa  kando ya Barabara ya Kilwa kwaajili ya kusafirishwa katika  kijiji cha  Kimanzi chana leo Wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani. Mfanyabiashara wa  mafenesi...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDITIYE AFUNGUA MKUTANO WA PILI WA TEHEMA, KAMPUNI YA BCX YAWA KIVUTIO KWA WADAU

Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiNaibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasilian0-Uchukuzi na Mawasiliamo Atashasta Nditiye  amezindua mkutano wa siku 3 wa wanatehama ili  kujadili masuala ya tehama na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAAMURU PEDESHEE NDAMA MTOTO WA NG'OMBE AKAMATWE

Na Karama Kenyunko, Glogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru kukamatwa kwa Mfanyabiashara, Shabani Hussein maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto ya Ng'ombe, baada yakushindwa kufika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGAMBONI INTERNATIONAL MARATHONI KUFANYIKA DESEMBA 2 MWAKA HUU

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiKATIKA jitihada za kuijengea Jamii uelewa na hamasa juu ya umuhimu wa kutunza afya na Kufanya Mazoezi, Kampuni ya E World (Events World) kwa kushirikiana na wadau mbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NORA MZERU KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUGUSHI CHETI CHA NDOA

Na Karama Kenyunko, Glogu ya jamiiALIYEKUWA Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu kama Nora Mzeru amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA TIB CORPORATE YASHIRIKI MAONYESHO YA SIDO YA KITAIFA MKOANI SIMIYU

BENKI ya TIB corporate  imeshiriki katika maonyesho ya SIDO ya Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Nyakabindi wilayani Bariadi ktk mkoa wa Simiyu.Maonyesho hayo yalizinduliwa jana  Oktoba 23 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWALA LA HUDUMA YA JAMII NI LAZIMA KWA WAMILIKI WOTE WA MIGODI NCHINI-BITEKO

Na Humphrey Shao , Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Madini, Dotto Butiku ameagiza wamiliki wote wa migodi nchini kuzingatia takwa la kutoa huduma  kwa jamii katika sehemu ilipo migodi yao kuwa sio ni ombi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MBALIMBALI ZA USAFIRISHAJI WILAYANI MKURANGA

 Mmoja waendesha Pikipiki Katika Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani akiwa amepakia Mzigo wa Mkaa kuzidi uwezo wa chombo chake akipita katika Barabara ya Kilwa kuelekea Dar es Salaam, hali inayohatarisha...

View Article


Twanga Pepeta yatoa reflekta kwa bodaboda Kinondoni

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHEZA WAMEELEWA KUWA NYUMBA NI CHOO-MPOTO

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMSANII wa Muziki wa Kughani na Kiongozi wa Mjomba Bendi, Mrisho Mpoto amesema kampeni ya Kitaifa ya Usafi wa  Mazingira na uhamasishaji wa ujenzi wa Vyoo bora iliyoanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNICEF KUISAIDIA SERIKALI KUFANYA TAFITI ZA MAENDELEO YA MTOTO

Na: WFM – DodomaShirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto ( UNICEF), wameonesha nia ya kuisaidia Serikali ya Tanzania kufanya tafiti mbalimbali kuhusu maendeleo ya mtoto ili kukabiliana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idadi wa wachangiaji wa Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF)waongezeka

Na.WAMJW,Bungeni,DodomaIdadi ya wanachama wachangiaji wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya imeongezeka kutoka wanachama 164,708 waliokuwa wameandikishwa  mwaka 2001/2002 hadi wanachama 873,012 mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA WA MAADILI AWATAKA VIONGOZI WA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI...

Kamishna wa Maadili Mhe. Harold Nsekela amewataka viongozi wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kujiepusha kupokea zawadi wakati wanapotekeleza majukumu yao. Wito huo aliutoa wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIBARUA VYA MADEREVA WA SERIKALINI HATARINI

Na.Alex Sonna,DodomaKufuatia ongezeko  la magari yanayoendeshwa na madereva wa Serikali kupata ajali, Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Tanzania limeibuka na  kutoa tamko la kufuatilia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMIA -TUTAFUATILIA WAFANYABIASHARA WANAOINGIZA BIDHAA FEKI NA KUUZA KWA...

NA MWAMVUA MWINYI, BAGAMOYO MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafuatilia baadhi ya wafanyabiashara wanaodaiwa kuingiza bidhaa feki na kuuuza kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRAZZ MBALIMBALI ZA MTANANGE WA TANZANIA PRISON NA AFRICAN LYON...

Mshambuliaji wa Prisons Jeremia Juma akiwa anaambaambaa na mpira wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) dhidi ya African Lyon uliomalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu ya 0-0 kwenye Uwanja...

View Article

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI OKTOBA 25,2018

KUSOMA  ZAIDI MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA>>>

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA KUBWA LA MADINI KUTIMIZA MIAKA 50 YA UGUNDUZI WA TANZANITE KUFANYIKA...

Ahmed Mahmoud ArushaTaasisi ya mfuko wa mgunduzi wa madini ya Tanzanite inatarajia kufanya Tamasha na maonyesho ya madini ya Tanzanite lengo likiwa ni kumuenzi mgunduzi wa madini hayo Mzee Jumanne...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI AWESO AELEKEZA TIMU YA WATALAAM WA MAJI WA WIZARA KUKAGUA MIRADI YA...

Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameelekeza timu ya wataalam wa maji kutoka Wizara ya Maji kukagua miradi yote ya maji katika wilaya ya Mbulu mkoani Manyara na kuainisha changamoto za miradi...

View Article
Browsing all 110202 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>