AZAM vs JKT TANZANIA KESHO UWANJA WA MEJA JENERALI ISAMUHYO MBWENI
BAADA ya kucheza mechi nne nyumbani, Azam itakuwa ugenini kuvaana na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) utakaofanyika Kesho kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, Dar...
View ArticleMatumizi ya gesi kuzalisha umeme yaokoa Dola za Marekani Bilioni 10.29
Na Teresia Mhagama, DodomaImeelezwa kuwa, matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme yameokoa fedha za kigeni kiasi cha Dola za Marekani bilioni 10.29 ambazo zingetumika kununua mafuta nje ya nchi...
View ArticleRAIA WA USWISI AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA MILIONI 34 AMA JELA MIAKA 20
Na Karama Kenyunko, Glogu ya jamiiMKURUGENZI wa Fairme NGO, Rene Staheli (62) ambaye pia ni raia wa Uswis leo Oktoba 23, 2018 amehukumiwa kulipa faini ya Sh Sh. Milioni 34 ama kutumikia kifungo cha...
View ArticleWAZIRI JAFO AWATWISHA MZIGO MEYA, MKURUGENZI MANISPAA YA ILEMELA
Na Baltazar Mashaka, Mwanza HALMASHAURI ya Manipaa ya Ilemela imeagizwa kukusanya na kusimamia mapato ili kusukuma maendeleo kwa maslahi ya wananchi.Agizo hilo lilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
View ArticleMatumizi ya gesi kuzalisha umeme yaokoa Dola za Marekani Bilioni 10.29
Na Teresia Mhagama, DodomaIMEELEZWA kuwa, matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme yameokoa fedha za kigeni kiasi cha Dola za Marekani bilioni 10.29 ambazo zingetumika kununua mafuta nje ya nchi...
View ArticleTEMBO WAHARIBU MAZAO YA WAKULIMA SEGWA HUKO FUKAYOSI
Na Mwamvua Mwinyi, FUKAYOSI BAADHI ya wakulima kitongoji cha Segwa, kata ya Fukayosi Bagamoyo mkoani Pwani, kinakabiliwa na tatizo la uvamizi wa tembo ambao wameharibu mazao yao kwenye hekari kumi na...
View ArticleSERIKALI YAAINISHA DAWA MUHIMU ZINAZOPATIKANA MSD
WAMJW, BUNGENI DODOMA SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imeainisha dawa aina 135 kama dawa muhimu na za kipaumbele cha wizara kwa lengo la kuhakikisha kuwa zinapatikana nyakati zote katika bohari zote za...
View ArticleWAZIRI MKUU AITAKA SIDO KUBUNI TEKNOLOJIA RAFIKI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameliagiza Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO)lijielekezekatika kubuni teknolojia na mitambo rafiki inayolenga kutatua changamoto za wajasiriamali kulingana na...
View ArticleUjerumani Yampongeza Rais Magufuli kwa Kupambana na Rushwa – Balozi Waechter
Na Judith Mhina – MAELEZO Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Dkt Detlef Waechter amempongeza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa kufanikiwa kupambana na rushwa...
View ArticleWAKULIMA SKIMU YA UYOLE WAOMBA KUTEMBELEWA NA WAKALA WA VIPIMO
Wakulima, katika skimu ndogo ya kilimo cha mbogamboga ya Iganjo Iliyopo Iliyopo Uyole nje kidogo ya jiji la Mbeya, wameomba wataalam kutoka wakala wa vipimo kuwatembelea ili kuweza kusaidia tatizo la...
View ArticleInvitation to attend "a night with Mzungu Kichaa" at HYATT KILIMANJARO HOTELI...
What: "A night with Mzungu Kichaa"When: Thursday 25th of October 18.30 - 21.30Where: Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro - Level8 rooftopWhy: Because it will be epic
View ArticleMWILI WA ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA MAGOMENI MHE DKT.JULIAN BUJUGO AAGWA LEO
Akiongoza shughuli hiyo ya kuaga mwili wa aliekua Diwani Kata ya Magomeni Manispaa ya Kinondoni Dkt.Julian Bujugo iliyohudhuriwa pia na viongozi wa vyama na Serkali, Mstahiki Meya wa Manispaa ya...
View ArticleWIKI YA MAONYESHO YA VIWANDA MKOA WA PWANI KUANZA OKTOBA 29, BENKI YA CRDB...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Eng. Evarist Ndikiro (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza siku ya kuanza kwa Maonesho ya Viwanda Mkoa wa Pwani ambayo yatafunguliwa rasmi tarehe 29...
View ArticleUTIAJI SAINI MKATABA WA MGAWANYO WA UZALISHAJI WA MAFUTA NA GESI ASILIA (PSA)...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na mgeni wake Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh Saud bin Saqr Al Qasimi wakati alipofanya ziara ya kuitembela...
View ArticleUKAGUZI WA MIRADI YA BUNGE INAYOTEKELEZWA NA SUMA JKT
Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Hussein Mwinyi ameridhishwa na hatua za utekelezaji wa miradi mitatu ya ujenzi wa Ofisi ya Bunge inayotekelezwa na Shirika la Uzalishaji la Jeshi hilo...
View Article
More Pages to Explore .....