POLISI MBEYA YAMSHIKILIA MWANAFUNZI KWA TUHUMA ZA KUTUPA MTOTO CHOONI
KUTUPA MTOTO – JIJINI MBEYA. JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanamke mmoja ambaye amefahamika kwa jina la INES MTUNDU [19] Mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari SEBAMA...
View ArticleMGALU ATHIBITISHA GATI LA NYAMISATI HALIHAMISHWI,LINATARAJIWA KUGHARIMU BIL.14
NA MWAMVUA MWINYI, KIBITI .NAIBU Waziri wa Nishati ,Subira Mgalu amethibitisha kuwa serikali inaendelea kujenga gati la Nyamisati, Kibiti, mkoani Pwani na haina mpango wa kulihamisha ambapo...
View ArticleNEWZ ALERT:MBUNGE WA MTAMA NAPE NNAUYE ANASURIKA KIFO BAADA YA GARI ALIYOKUWA...
Na Ripota Wetu,Michuzi BlogMBUNGE wa Mtama Nape Nnauye(CCM) amenusurika kifo baada ya gari aliyokuwa akisafiria kupata ajali. Nape amepata ajali hiyo leo asubuhi katika Kijiji cha Kibutuka akiwa njiani...
View ArticleMAGAZETI YA LEO JAMATATU SEPTEMBA 24, 2018
BOFYA HAPA KUSOMA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 24,2018
View ArticleMWILI WA MAREHEMU WAFUKULIWA BAADA YA MUMEWE KUKIRI KUMUUA NA KUMFUKIA
NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGAMWILI wa marehemu Celina Sulubu, mkazi wa Lubambawe wilayani Mkuranga,mkoani Pwani umefukuliwa kwa taratibu za kisheria baada ya mumewe Selemani Hija Usumba kukiri kumuua...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHUDHURIA KIKAO CHA KAMATI KUU MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA...
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe....
View ArticleSHULE YA QUEEN’S KUJENGA MAABARA YA SAYANSI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI...
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii MKUU wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amesema kuanzishwa kwa maabara ya sayansi kwa ngazi ya shule za msingi kutasaidia upatikanaji wa wataalamu wa fani hiyo nchini...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKAGUA SHUGHULI ZA UOKOAJI MV NYERERE
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya watu walionusurika katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere wakati alipotembelea Kituo cha Afya cha Bwisya kisiwani humo Septemba 24, 2018....
View ArticleELIMU YA MSAMAHA WA KODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA MANYARA
Na Veronica Kazimoto Manyara.MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa elimu ya Msamaha wa Riba na Adhabu ya Malimbikizo ya Madeni ya Kodi kwa wafanyabiashara, washauri wa wafanyabiashara na wakaguzi wa...
View ArticleHESLB yajipanga kuchota mbinu kutoka kwa wadau Lilongwe
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq BadruNa Omega Ngole, Lilongwe, TAASISI za kiserikali zinazotoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu Afrika zinakutana kwa siku nne kuanzia kesho (Jumatatu,...
View ArticleMTANGAZAJI WA CLOUDS SHAFII DAUDA AFIKISHWA KORTINI,APEWA DHAMANA
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiMTANGAZAJI wa Clouds na mmiliki wa mtandao wa Shafii Dauda, Shafii Dauda Kajuna na Benedict Kadege wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma...
View ArticleChuo Kikuu Mzumbe Chatakiwa Kutumia Matokeo ya Tafiti Mbalimbali Katika Sekta...
Na Beatrice LyimoNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amekitaka Chuo Kikuu Mzumbe kutumia matokeo ya tafiti mbalimbali katika sekta ya afya kuleta...
View ArticleRC SINGIDA DKT. REHEMA NCHIMBI AWAASA MADAKTARI KUTENDA HAKI
NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidMKUU wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi amewataka Madaktari wanaopatiwa mafunzo ya jinsi ya kufanya tathmini kwa mfanyakazi aliyeumia au kuugua mahala pa kazi, kutenda...
View ArticleSOUDY BROWN APATA DHAMANA MAHAKAMANI, ARUDISHWA KITUO CHA POLISI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.MTANGAZAJI wa Clouds, Soudy Peter Kadio 'Brown' amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kutumia maudhui mtandaoni...
View ArticleRC MAKONDA ASAINI MKATABA WA LISHE ILI KUTOKOMEZA ASILIMIA 14.6 ZA UDUMAVU...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesaini mkataba na wakuu wa Wilaya zote tano za jiji la Dar es salaam katika kuhakikisha suala la afya na ukuaji wa...
View ArticleWAZIRI MKUU ATANGAZA TUME YA KUCHUNGUZA AJALI YA MV.NYERERE ILIYOSABABISHA...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametangaza tume ya kuchunguza ajali ya kivuko cha MV Nyerere yenye wajumbe saba ambayo itaongozwa na Jenerali mstaafu, George Waitara.Akitangaza majina hayo kwenye kijiji...
View ArticleMC LUVANDA APANDISHWA KIZIMBANI KUJIBU TUHUMA TATU
Mtuhumiwa Anthony Luvanda maarufu kama MC Luvanda akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akiwa amejifunika usoni leo jijini Dar es Salaam.Na Karama Kenyunko,blogu ya Jamii.MSHEHERESHAJI maarufu...
View Article
More Pages to Explore .....