NHIF KAGERA YAHAMASISHA USHIRIKA AFYA KWENYE MAONESHO YA NANE NANE.
Na Editha Karlo,KageraMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Kagera umewahamasisha wakulima kupitia vyama vya ushirika na masoko kujiunga na mpango wa ushirika afya (AMCOS)katika maonesho ya...
View ArticleMAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA) YAFUNGUA UKURASA MPYA KWA WADAU KATIKA...
Wadau kutoka Umoja wa Miradi kwa Viziwi, wanaongalia kamera msitari wa mbele kulia, Fatina Huseni (wa kwanza), Tungi Kenneth (wa pili) wakimwangalia mkalimani wao Bi. Edna, wakati wakifuatilia mada...
View ArticleMichezo ya Majeshi ya Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki (EAPCCO) yashika kasi...
Na Jeshi la Polisi. Michezo ya Majeshi ya Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki (EAPCCO) imeendelea kupamba moto huku Tanzania ikiwa imepata medali ya dhahabu katika mbio za mita 5000,Fedha moja na Shaba...
View ArticleThe 8th INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL In TUEBINGEN,GERMANY STARTS TOMORROW...
The biggest African festival in Germany will be held from August 9 to 12 2018 in Tübingen. It will will turn the Festplatz Tübingen into an African village displaying the very best of Africa and...
View ArticleKATIBU WA BUNGE, WANANCHI NA WANAFUNZI WATEMBELEA BANDA LA BUNGE KATIKA...
Mwananchi Mkazi wa Jiji la Dodoma ambaye pia ni mlemavu asiyeona akiipapasa SIWA ya mfano baada ya kutembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma. Afisa wa Ofisi ya...
View ArticleNSSF FUATENI WANANCHI WALIPO MSIWANGOJE WAJE OFISINI KUJIUNGA - RC KIGOMA
WATENDAJI wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii(NSSF) wametakiwa kwenda walipo wananchi ambao hawako katika sekta isiyo rasmi ili wawaze kutoa elimu ambayo itawezesha kujiunga na hatimaye wanufaike na...
View ArticleSHULE BORA YA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI KUJENGWA WILAYANI SAME.
Shirika la New Dawn Communities linalofanya kazi kata ya Njoro iliyoko Wilayani Same kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo toka Califonia nchini Marekani wameamua kujenga Shule hio tarajiwa ambayo...
View ArticleJK amjulia hali Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla
Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo Jumatano Agosti 8, 2018 amemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa...
View ArticleBREAKING NEWZZZ: MWIGIZAJI KING MAJUTO AFARIKI DUNIA
Rais Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli siku waliopokwenda kumjulia hali King Majuto aliyelazwa katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam Januari 31, 2018.Msanii mkongwe...
View ArticleTULIMKAMATA HALIMA MDEE KWA TUHUMA ZA KUTOA LUGHA CHAFU YA MATUSI KWA RAIS...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Urafiki, Mrakibu wa Polisi (SP) Batseba Kasanga ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa alimkamata Halima Mdee kwa tuhuma za kutoa...
View ArticleRAIS MUSEVENI AWASILI DAR ES SALAAM KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini kwa...
View ArticleJAFO AZITAKA HALMASHAURI KUSIMAMIA VYEMA MATUMIZI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amewataka viongozi wa Halmashauri nchini kusimamia matumizi ya mapato yanayokusanywa katika Halmashauri zao....
View Article
More Pages to Explore .....