Kamishna Mboje atembelea banda la Magereza nane nane Simiyu
Kamishna wa Huduma za Parole,Viwanda, Huduma za jamii na Programu za Urekebishaji Af. Augustine Mboje Sangalali(suruali nyeupe) akisalimiana na Mkuu wa Kilimo,Mifugo na Utunzaji wa Mazingira,...
View ArticleVODACOM YAWARAHISHIA WATANZANIA KUFANYA MALIPO KATIKA TAASISI ZA SERIKALI...
Mkuu wa Kitengo cha Mwendelezo wa Biashara ya M-Pesa, Vodacom Tanzania Plc,Polycarp Ndekana (Kulia ) akiongea kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzuzi wa huduma mpya na ya...
View ArticleALICHOZUNGUMZA DC WA NAMTUMBO MARA TU BAADA YA KUAPISHWA
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Sophia Kizigo
View ArticleRais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni kuwasili kesho kwa ziara ya...
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni atafanya ziara ya kikazi ya siku moja hapa nchini tarehe 09 Agosti 2018.Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha ushirikiano na ujirani mwema...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TARIME ACHANGIA VIFAA VYA VYENYE THAMANI YA SHILINGI...
Na Frankius Cleophace Tarime.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Tarime Marwa Daud Ngicho amechagia Vifaa mbalimbali katika shule ya Msingi Mturu iliyopo Kata ya Turwa Mjini Tarime Mkoani Mara...
View ArticleWAZIRI MPINA ATOA SIKU SABA KWA MAKATIBU WAKUU WA KILIMO NA MIFUGO
Na John MapepeleWaziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina ametoa siku saba kwa makatibu wakuu wa Kilimo na Mifugo kuwasilisha wizarani kwake taarifa ya kwanini bei ya mbegu za mahindi na mtama pamoja na...
View ArticleWATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MCHICHA NAFAKA
WATANZANIA hususani watoto na akina mama wajawazito wametakiwa kutumia zaidi mchicha nafaka kama chakula kitakachowaongezea viini lishe muhimu kwa afya ya miili yao. Wito huo umetolewa mjini Arusha...
View ArticleDC ARUMERU AWAFARIJI WANANCHI WA KATA YA MBUGUNI ILIYOKUMBWA NA MAFURIKO
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mh Jerry Muro amefanya ziara kata ya Mbuguni,iliyokumbwa na changamoto ya mafuriko Aprili Mwaka huu, ambapo amewatembelea wananchi waliokumbwa na mafuriko hayo na kuwafariji...
View ArticleMTIBWA, KMC KUITAMBULISHA REHA FC.
Matokeo mazuri ya kila jambo yanahitaji maandalizi timamu na ndivyo tunavyofanya kuelekea msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.Wakati maandalizi yakiwa yamenoga jana tumetangaza tarehe rasmi ya...
View ArticleWAZIRI KALEMANI AWASIMAMISHA KAZI WATENDAJI TANESCO KWA KUSHINDWA KUWASHA...
Na Leandra Gabriel, blogu ya jamiiWAZIRI wa Nishati Dkt.Medard Kalemani amefanya ziara katika Wilaya ya Mkuranga katika kukagua utekelezaji wa utoaji wa huduma ya umeme kwa wananchi na hakuridhishwa na...
View ArticleWAZIRI UMMY AKABIDHI MADAWATI 40 SHULE YA SEKONDARI CHUMBAGENI JIJINI TANGA
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Watoto na Wazee Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) leo amekabidhia madawati 40 na viti katika shule ya sekondari ya Chumbageni Jijini...
View ArticleBENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MAGODORO NA MASHUKA SHULE YA SEKONDARI MLALE...
Meneja Mahusiano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Bi. Noves Moses akimkabidhi msaada wa magodoro na mashuka Mbunge wa Jimbo la Ileje Mkoani Songwe Janeth Mbene (wapili kushoto) wenye thamani ya...
View ArticleSHIBUDA AWAGEUZIA KIBAO VYAMA VYA SIASA KUHUSU LUGHA WANAZOTUMIA KUMSHAURI RAIS
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii *Awaambia zama zimebadilika …hii ni Awamu ya TanoMWENYEKITI wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Shibuda amewashauri viongozi wa vyama vya siasa kuwa makini na...
View Article'WANAUME KUOGOPA KUPIMA TEZI DUME KISA AIBU NI UJINGA' HAYA YABAINIKA...
NA. GSENGOtVKukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku, Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki, Maumivu wakati wa kukojoa, Kuishiwa nguvu za kiume, Kupungua kwa...
View Article
More Pages to Explore .....