KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI, KAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR WALA KIAPO...
Katibu Mkuu Wazira ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu akisalimiana na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Dr. Eliezer Feleshi, wakati alipoenda kuapishwa kuwa Mjumbe wa Tume ya...
View ArticleH-TOWN OLD SCHOOL REUNION 2019, HOUSTON, TEXAS KUWAKA MOTO
H-Town Old School Reunion 2019 kufanyika March 22 na 23 mjini Houston, Texas, unaambiwa kaa mkao wa kula maana pia kutakuwa na Bonanza la mpira wa kikapu la Pazi vs Vijana 'City Bulls' pamoja na soka...
View ArticleMAMA WA MITINDO ASYA IDAROUS-KHAMSIN AWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAONESHO YA...
Mama wa mitindo Asya Idarous akiwa mwakilishi pekee wa Tanzania kwenye maonyesho ya mavazi yaliyofanyika Jumamosi Julai 14, 2018 huko Norfork, Virginia, nchini MarekaniMama wa mitindo Asya Idarous...
View ArticleWELCOME TO THE TANZANIA PHOTOGRAPHERS GROUP
TANZANIA PHOTOGRAPHERSFacebook Group · 10 membersJoin GroupThis page is for Tanzanian photographers all over the globe to share experiences, news, views, create unity, share expertise and have fun with...
View ArticleRC Iringa awaomba wadau wa utalii kuwekeza Nyanda za juu Kusini
MKUU wa mkoa wa Iringa Mh. Amina Masenza ametoa wito kwa wadau wa utalii na maendeleo nchini kuwekeza zaidi kwenye sekta ya Utalii katika Ukanda wa Nyanda za juu Kusini ili kuunga mkono adhma ya...
View ArticleUVCCM MKURANGA WAJADILI NAMNA YA KUTATUA CHANGAMOTO, KUCHANGAMKIA FURSA
Na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii BARAZA kuu la Umoja wa Vijana kupitia Chama Cha CCM(UVCCM)Wilaya ya Mkuranga limefanya kikao kwa lengo la kutatua changamoto zinazowakabili vijana.Akizungumza na...
View ArticleDED UBUNGO AFANYA UKAGUZI KATIKA UJENZI WA MADARASA MANNE YA KIMARA SEKONDARI
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akizungumza jambo na kaimu Mwamlimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kimara wakati alipofika kukagua ujenzi wa Madarasa Manne yanayojengwa katika...
View ArticleTAGLA, ICDL KUNUFAISHA WANANCHI KIUCHUMI KUPITIA TEKNOLOJIA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiWAKALA wa mafunzo kwa Njia ya mtandao nchini (TaGLA) kwa kushirikiana na Wakala wa masuala ya teknolojia Afrika (ICDL) wamekutana na kujadili namna wanavyofanya kazi...
View ArticleNEWS ALERT: Mgunduzi wa Madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Mhero Ngoma aanza...
Mgunduzi wa Madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Mhero Ngoma, ambaye anasumbuliwa na maradhi ya kupooza mwili, leo amenza matibabu katika Hospitali ya Apollo jijini New Delhi nchini India.Kwa mujibu wa...
View ArticleWAGONJWA 300 WAFANYIWA UCHUNGUZI WA MACHO WILAYANI MUHEZA
MKUU wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na wananchi wa wilaya hiyo waliofanyiwa uchunguzi wa matatizo ya macho wakati wa zoezi la kufunga kambi ya matibabu ya tiba ya macho...
View ArticleMOJASPESHO YATOA MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 204
Mchezo wa bahati nasibu wa Mojaspesho umetoa kwa mara ya kwanza mshindi wa kiasi kikubwa cha pesa cha shilingi Milioni 204 kwa ROSEMARY ONESMO LUHAMO, mfanyabiashara kutoka MPWAPWA DODOMA mwenye umri...
View ArticleCBE KUUNGURUMA KWENYE MAONESHO YA VYUO VIKUU KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA...
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kama mdau wa muhimu wa TCU kitashiriki katika maonesho hayo muhimu. Pamoja na kutoa maelezo sahihi ya shughuli na huduma zinazotolewa CBE. Chuo kitapokea maombi ya...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA ATENGUA UTEUZI WA KAIMU MTENDAJI MKUU WA TaESA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama akisilikiliza hoja za baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA)...
View ArticleTanzania yafurahishwa na UN katika kutekeleza mradi wa KJP
MKUU wa mkoa wa Kigoma Emmanuel Maganga amesema serikali ya Tanzania inafurahishwa na namna Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanavyofanya kila linalowezekana kusaidia kuboresha maisha ya wananchi wa mkoa...
View Article
More Pages to Explore .....