WADAU VYAMA VYA SIASA WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MATAKWA YA SHERIA YA GHARAMA ZA...
Wakati tukielekea kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buyungu na kata 77 utakaofanyika tarehe 12 Agosti, 2018, nachukue fursa hii kuwakumbusha wadau wote hususani vyama vya siasa, wagombea na Asasi za...
View ArticleACACIA WATOA MSAADA WA SHILINGI MIL NANE KWA ATFGM MASANGA TARIME
Na Frankius Cleophace TarimeKAMPUNI ya uchimbaji wa mawe yenye dhahabu ya Acacia North Mara wametoa msaada wenye thamani zaidi ya Sh.milioni nane katika Kituo cha kuifadhi wahanga wa ukatili wa...
View ArticleTAMWA, MASHIRIKA YA CANADA,ULAYA WAZINDUA FILAMU INAYOHUSU KUPINGA UKEKETAJI
Na Khadija Seif , Globu ya jamii .CHAMA cha Wanawake Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali ya kutoka nchini Canada na mataifa ya Ulaya wamefanya uzinduzi wa...
View ArticleTAMISEMI Yakabidhiwa Gari Kuboresha Ufanisi Huduma za Afya
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula (kushoto) akitiliana saini hati ya makabidhiano ya msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa...
View ArticleWatalii kutoka nchini Uswisi wakitalii Mlima Kilimanjaro kwa kutumia Baiskeli
Watalii kutoka nchini Uswisi Daniel Gehring na Andre Luethi wakitalii Mlima Kilimanjaro kwa kutumia Baiskeli kwa muda wa siku saba na kufanikiwa kufika kilele cha juu kabisa cha Uhuru.
View ArticleMawaziri watano wajadili Bomba la Mafuta
Mawaziri kutoka Wizara Tano zinazohusika na utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanzania, wamekutana na wataalam wa Tanzania walio katika Timu ya Kitaifa ya...
View ArticleMGOMBEA UDIWANI KIMARA KWA TIKETI YA CCM APITA BILA KUPINGWA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam John Kayombo amemtangaza Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Pascal Manota kuwa mshindi katika...
View ArticleWakazi wa Mbagala wapewa elimu kuhusu usaidizi wa kisheria
katika kuwafikia wananchi na kuwaelimisha kuhusu maswala ya haki za binadamu na msaada wa kisheria , taasisi ya Peoples Development Forum(PDF) chini ya ufadhili wa Legal Services Facility imeendesha...
View ArticleMAFUNZO YA WAANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMA YAENDELEA MJINI MOROGORO
Wakili wa Kujitegemea kutoka Haki Advocates, Aloyce Komba akitoa Mada ya utoaji wa Habari za Kimahakama kwa waandishi wa Habari za Mahakama wanaoshiriki katika mafunzo ya Uandishi wa Habari za...
View ArticleNCAA yaweka mikakati kuijaza Dreamliner
Na Ripota Wetu- ArushaWAKATI Rais Dk. John Magufuli akitoa maelekezo ya kufikia watalii milioni 5 hadi ifikapo mwaka 2020, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeanza utekelezaji wa agizo hilo kwa...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA FAO LA USHIRIKA AFYA LA NHIF
Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiWAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua fao la Ushirika Afya ambalo linawalenga wananchi wanaojishughulisha na kilimo kupitia ushirika.Amezindua fao hilo jana (Jumatatu,...
View ArticleIpigie kura Ngoma Africa Band ishinde award ya kimataifa
Voting on www.afrikafestival.net
View ArticleRAIS MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO KATI YA VYAMA VYA SIASA VYA AFRIKA NA CHAMA CHA...
*Ahimiza hivyo kujikita kujenga uchumi imara ili wananchi wapate huduma bora.Na Chalila Kibuda,Globu ya jamiiUKOMBOZI wa sasa kwa vyama tawala katika nchi za Afrika ni vema wakajikita katika katika...
View ArticleST.ANNE MARIE YAONGOZA KITAIFA SOMO LA UHASIBU
SHULE ya Sekondari St. Anne Marie Academy imefanikiwa kuwa ya kwanza kitaifa kwenye somo la uhasibu katika matokeo ya kidato cha sita.Pia shule hiyo imefanikiwa kushika nafasi ya pili kitaifa kwenye...
View ArticleNDC YAANDAA MAONESHO MAKUBWA YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI
Na Said Mwishehe, Globu ya jamii KAMPUNI ya Phimona Ltd inayojihusisha na ushauri wa biashara na mawasiliano kwa kushirkiana na wadau waliobobea kuhamasisha uwekezaji imetangaza kufanyika kwa Maonesho...
View ArticleMadaktari Bingwa wa Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa...
Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini China wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo lililotobolewa katika...
View ArticleDK. KIGWANGALLA AAGIZA KATIBU WA UVCCM TARIME KUKAMATWA NA KUFUNGULIWA...
Tarime - MaraWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ameliagiza Jeshi la Polisi wilaya ya Tarime mkoani Mara kumkamata na kumfungulia mashtaka Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AWAANDALIA DHIFA YA KITAIFA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Dhifa ya kitaifa aliyowaandalia...
View ArticleMshindi wa Milioni 300 za Supa Mzuka Cup 2018 kuchachangia milioni mbili...
Katibu Tawala wilaya ya Temeke Ndugu Hashimu Komba (kwa niaba ya MKuu wa Wilaya),akimkabidhi Kombe la Tatu Mzuka kwa kijana mkazi wa Mbagala,Abeid Amir aliyejinyakulia kitita cha shilingi Milioni...
View Article
More Pages to Explore .....