UN YATUNUKU UBUNIFU KATIKA MAENDELEO ENDELEVU
LATIFA Mohammed Ngea kutoka Zanzibar ameibuka kidedea katika tuzo za Umoja wa Mataifa za ubunifu na kupata hundi ya shilingi milioni 3.Latifa ni miongoni mwa vijana watatu waliokuwa wakionesha ubunifu...
View ArticleNSSF KUTOA MAFAO SITA KWA WOTE SEKTA ISIYO RASMI
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limedhamiria kutoa mafao yote sita yatolewayo ili kuisaidia sekta isiyo rasmi kujikinga na majanga mbalimbali na kujikwamua Kiuchumi Akizungumza katika...
View ArticleBreaking Newzzzzzzzzzzz:VIGOGO WATANO WA KNCU WAFIKISHWA MAHAKAMANI.
Vigogo watano wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Kilimanjaro (KNCU) wakiwemo mwenyekiti wa sasa wa KNCU Aloyce Kitau na Mwenyekiti mstaafu wa KNCU ,Maynald Swai wamefikishwa muda huu katika viunga vya...
View ArticleWAZIRI LUGOLA, JENISTA MHAGAMA WAFANYA KIKAO KUJADILI MFUMO WA PAMOJA WA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza katika kikao chake na Maafisa Waandamizi wa Idara ya Uhamiaji kuhusu utaratibu wa kuunganisha mifumo ya vibali vya kazi na ukaazi. Kulia ni...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM DKT BASHIRU ATEMBELEA BANDA LA NSSF SABASABA
Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi CCM ,Dk Ally Bashiru akimsikiliza Afisa Matekelezo wa NSSF Kassim Mfunda aliyekuwa akitoa maelezo na taratibu namna ya wanachama wanavyoweza kujiunga na shirika...
View ArticleNEWZ ALERT: KIONGOZI MBIO ZA MWENGE AGOMA KUZINDUA JENGO LA ZAHANATI MSASANI
Kiongozi wa mbio za mwenge Charles Francis amegomea kuzindua jengo la Zahanati ya Mkoroshini (pichani) ilioyopo Msasani jijini Dar es Salaam kutokana na kutokidhi viwango vya ujenzi vya jengo...
View ArticleZANZIBAR 24 WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA SOBA HOUSE YA DESTROIT YA MCHINA MWANZO
Na Ramadhani Ali – Maelezo ZanzibarWaathirika wa dawa za kulevya wanaoishi katika nyumba ya kurekebisha tabia (Soba House) ya Detroit iliyoko Kwamchina mwanzo wameiomba Serikali kuendeleza mapambano ya...
View ArticleMkulima Mkoani Dodoma kizimbani kwa kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiMkulima Hassan Sangali (22) mkazi wa Pingalama wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kukamatwa...
View ArticleMBUNGE WA MANONGA AZINDUA MADARASA NA MABWENI KIDATO CHA TANONA SITA MKOANI...
MBUNGE wa Manonga Seif Gulamali amezindua rasmi madarasa 2 na mabweni 3 yenye thamani ya shilingi Milioni 265 yatakayotumiwa na wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita katika sekondari ya Ziba Wilaya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MAALUM YA...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza kikao Cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar katika ukumbi wa...
View ArticleLipuli yasajiri wachezaji wanne
Na Zainab Nyamka Globu ya JamiiTIMU ya soka ya Lipuli FC ya mkoani Iringa jana imekamilisha usajili wa wachezaji wake wapya wanne kutoka timu tofauti ili kuongeza nguvu kwenye msimu wa 2018/19. Lipuli...
View ArticleJESHI LA POLISI PWANI LAFANYA UKAGUZI WA LESENI 1,710 ZA MADEREVA
NA MWAMVUA MWINYI,PWANIJESHI la polisi mkoani Pwani ,linaendelea na ukaguzi kwa madereva na magari ambapo leseni za madereva 1,710 zimekaguliwa huku leseni ya mmoja ikionesha akiwa amezaliwa mwaka 1951...
View ArticleHeads of State Owned Enterprises meet on Industrialisation Agenda
The Minister of Finance and Planning, Hon. Dr. Philip Mpango will officiate a National Roundtable Dialogue on “The Role of State Owned Enterprises (SOEs) in Implementing the Industrialisation Agenda”...
View ArticlePOLISI JAMII WAWILI KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiPolisi Jamii wawili na dereva mmoja wakazi wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za uhujumu uchumi kwa...
View ArticleMchezaji wa Stand United atimkia Klabu ya KMC Fc
UONGOZI wa Klabu ya KMC Fc imefanikiwa kupata saini ya aliyekuwa mchezaji wa Stand United, Ally Ally na kuitumikia klabu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja.Ally Ally amejiunga na KMC FC ya Kinondoni,...
View ArticleMHANDISI ATASHASTA NDITIYE AZINDUA MKUTANO WA 16 WA SAPOA, HUDUMA YA POSTA...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiNAIBU Waziri wa uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua mkutano wa 16 wa SAPOA ambao ni muunganiko wa mashirika ya Posta kwa nchi za...
View ArticleBENKI YA KCB TANZANIA YAZINDUA TAWI LAKE JIPYA LA MBAGALA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Benki ya KCB Tanzania imefanya uzinduzi wa tawi lake la 14 lililopo Mbagala jijini Dar es salaam. Tawi hilo limezinduliwa rasmi na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mh....
View ArticleWachimbaji Wadogo Kunufaika na Vituo Vya Umahiri
Waziri wa Madini Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kusaini mikataba mitatu ya ujenzi wa vituo saba vya umahiri pamoja na jengo la mafunzo kwa...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI NDANI YA MAONESHO YA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM
Picha mabalimbali za wananchi waliofika kununua bidhaa mbalimbali katika maonesho ya 42 ya kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Blog)
View Article
More Pages to Explore .....