Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Dkt. Augustine Mahiga ziarani Norway

Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akipokea taarifa ya kazi kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Norway mwenye makazi yake Stockholm Sweden, Mhe....

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN LOVING MEMORY OF THE LATE MZEE MATTHEW GORDON KAYUZA

It is exactly one year today since the morning of 21st of June 2017 when you were called by God to depart from this world at The H.H. Agakhan Hospital, Dar Es Salaam. To us (your wife, Children and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 21, 2018

Kusoma zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAZAMO WA WADAU KUHUSIANA NA Infinix HOT 6

Baada ya ujio wa Infinix HOT 6 na kufanya vizuri sokoni kutoka na muonekano na uwezo wake lakini pia wadau wameweza kuongelea upande wake wa pili na kuweza kuyawasilisha kama ifuatavyo. Infinix HOT 6...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PASS YATAMBULISHA FURSA MPYA YA MIKOPO KWA WADAU WA SEKTA YA KILIMO NCHINI.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii .Taasisi ya kusaidia sekta binafsi ya kilimo nchini (PASS) imeingia makubaliano na Mfuko wa uwekezaji wa biashara na kilimo Afrika (AATIF) kusaidia wadau wa sekta ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE WA MILA MARA WAENDELEA KUPINGA UKEKETAJI KWA MTOTO WA KIKE.

Na Frankius Cleophace, BUTIAMAWazee wa Mila Muungano wa koo 12 kabila la Wakurya kwa kushirikiana na Shirika la ATFGM Masanga Tarime, wameendelea kutoa Elimu ya Kupinga suala la Ukeketaji kwa Mtoto wa...

View Article

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT.MAGUFULI AKIWA DODOMA,IRINGA HADI MOROGORO. MEI 2018

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAONYA WANAOFANYA BIASHARA YA UTALII KINYUME...

View Article


TAZAMA MATANGAZO LIVE RAIS MAGUFULI AKIPOKEA GAWIO LA SERIKALI KUTOKA TTCL.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMILIKI WA IPTL ARUHUSIWA KUZUNGUMZA NA MKEWE MAHAKAMANI

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Harbinder Seth kuongea na mke wake mahakamani hapo baada ya kutukumuona kwa muda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BAJETI YA SERIKALI YA ZANZIBAR

 Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akionesha mkoba wenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 wakati alipowasili katika viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKIMBIZI KIGOMA WAMETAKIWA KUREJEA KATIKA NCHI ZAO

Na Rhoda Ezekiel Kigoma.WAKIMBIZI mkoani Kigoma wametakiwa kurejea nchini kwao, ili waanze kujishughulisha na masuala ya maendeleo kwani kwa sasa nchi zao ziko salama na amani imerejea.Hayo yamesemwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI NDITIYE AITAKA TAA KULIPA FIDIA

 Mkurugenzi Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba (NHC), Hakimeni Mlekio, akieleza hatua ya upanuzi wa jengo la abiria katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kwa Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili

 Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Charles Majinge akikabidhi zawadi ya kikombe kwa Idara ya upasuaji ambayo imekuwa mshindi wa kwanza kwenye Maonesho ya Wiki ya Utumishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGONJWA 11 KATI YA 20 WAFANYIWA UPASUAJI WA MOYO KATIKA TAASISI YA MOYO...

Jumla ya wagonjwa 11 wamefanyiwa upasuaji wa moyo wa kufungua kifua katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku sita  inayofanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAID and Coca-Cola Partner to Improve Water Access for 70,000 Tanzanians

*Rural Water System to benefit remote areas through solar-powered projectThe United States Agency for International Development (USAID) and The Coca Cola Foundation (TCCF), through their Water and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Veteran wa Liverpool atua Dar kwa mwaliko wa Standard Chartered

Na Mwandishi WetuSami Hyypia veteran wa timu ya Liverpool yupo nchini kwa mwaliko wa benki ya Standard Chartered.Mchezaji huyo mwenye haiba ya aina yake aliwasili nchini Jumanne, kuhudhuria michuano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAPA AVUNJA UKIMYA WANAOSUBIRI KUMWAGIWA FEDHA KWA AJILI YA MAENDELEO

*Asema heshima ya nchi ni kujitegemeaNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiRAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa amesema hakuna Mtu wa kutumwagia fedha kwa ajili ya maendeleo yetu, bali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'KUNA ONGEZEKO KUBWA LA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA'

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiSERIKALI imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa yasiyoambukiza kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni hali inayotishia afya ya mama na mtoto wakati wa kijifungua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAVUNA WANACHAMA ELFU80 KAMPENI YA 'ZAMU YAKO'

KAMPENI ya kitaifa ya kuhamasisha watu binafsi pamoja na walioko kwenye sekta isiyorasmi kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF) ya 'zamu yako', imeanza kutoa matokeo chanya baada ya zaidi ya watu...

View Article
Browsing all 110173 articles
Browse latest View live




Latest Images