WANAMUZIKI NCHINI KUTEMBELEA BUNGE WIKI IJAYO KUPITIA TAMUFO
Na Dotto MwaibaleWANAMUZI walio wanachama wa Umoja wa Muziki Tanzania (TAMUFO) wiki ijayo watatembelea Bunge kwa ajili ya kuona mambo mbalimbali yanayofanyika ndani ya Bunge hilo la Jamhuri ya Muungano...
View ArticleBENKI YA BARCLAYS YAANDA SEMINA KWA WAJASIRIAMALI WADOGO NA WAKATI
Na Agness Francis, Globu ya JamiiBENKI ya Barclays Tanzania imeandaa semina ya siku moja kwa ajili ya wajasiriamali wadogo na wakati na lengo kuu ni kuwajengea uwezo na kuwaongezea ujuzi wa kufanya...
View ArticleNHIF, HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA WAJADILIANA NAMNA YA KUBORESHA HUDUMA KWA...
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiUONGOZI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bernard Konga umekutana na uongozi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa kujadili namna ya kuboresha...
View ArticleBODI YA PSPTB: SOMO LA HESABU LATAJWA KUWA CHANGAMOTO
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiBODI ya wataalumu wa Manunuzi na Ugavi (PSPTB)nchini imesema ni vema somo la hisabati likatiliwa mkazo kuanzia shule ya msingi ili kuwezesha kupatikana kwa wahitimu...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UPANUZI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ZA TTCL NCHI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na meza kuu wakitumia mawasiliano ya Video Conference wakati baada ya kupokea gawio la shilingi Bilioni 1.5 kwa serikali toka kwa...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA MAJENGO YA TAASISI YA ELIMU YA AFYA MVUMI...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa wa nne kulia akikata utepe kuzindua majengo ya Taasisi ya Elimu ya Afya Mvumi yaliyojengwa kupitia ufadhili wa Mfuko wa Dunia wa...
View ArticleWANAFUNZI WATAKIWA KUFUATA TARATIBU ZA UOMBAJI WA MIKOPO-BODI YA MIKOPO
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Wanafunzi wanaoomba Mikopo ya Elimu ya Juu wametakiwa kufuata taratibu zilizowekwa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu Juu (HESLB) ili kuweza kurahisisha katika...
View ArticleWAZIRI MAHIGA AHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI NORWAY, ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga amehitimisha ziara yake ya kikazi nchini Norway kwa mazungumzo na wafanyabiashara huku akiwapa ujumbe mkuu wa...
View ArticleVeteran wa Liverpool Sami Hyypia atua Dar kwa mwaliko wa Standard Chartered
Sami Hyypia veteran wa timu ya Liverpool yupo nchini kwa mwaliko wa benki ya Standard Chartered. Mchezaji huyo mwenye haiba ya aina yake aliwasili nchini Jumanne, kuhudhuria michuano ya kombe la...
View ArticlePolisi Mbeya yakamata vipande tisa vya meno ya Tembo na jino moja la Kiboko
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya...
View ArticleMWANAMKE AUAWA MANYARA, CHANZO CHA KIFO BADO HAKIJAFAHAMIKA, MMOJA ASHIKILIWA...
Na. Vero Ignatus , Manyara. Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jila la Josephine Peter (51)mkazi wa Mrara kata ya Mamire wilayani Babati ameuawa na watu wasiofahamika huku shingo yake ikikatwa na kitu...
View ArticleWANANCHI MKOANI NJOMBE WAITIKIA KWA WINGI KAMPENI YA ELIMU, HUDUMA NA USAJILI...
Na Mariam Mwayela,NjombeMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kutoa huduma, elimu na kusajili walipakodi wapya katika maeneo ya Ludewa, Matamba, Ilembula, Mlangali, Ikonda na Makete Mkoani Njombe...
View ArticleMSHINDI WA GARI KUTOKA BE FORWARD ATIMIZA NDOTO ZAKE JIJINI MWANZA
Mnamo Desemba 2013 Dr.Marko Hingi ambaye alikuwa mwanafunzi wa udaktari katika chuo kikuu cha afya na sayansi alishinda gari kupitia kampuni ya kuagiza magari ya Be Forward ambapo alikabidhiwa mnano...
View ArticleVodacom Tanzania yakabidhi gari la kwanza jijini Mwanza
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella(kulia) akimkabidhi ufunguo wa gari mkazi wa Geita Pasquina Ignas, baada ya kuibuka mshindi wa matumizi ya Mpesa wakati wa hafla ya kuadhimisha mika 10 ya...
View Article
More Pages to Explore .....