DONGOBESH FC YANYAKUWA UBINGWA WA KURUGENZI CUP 2018 MBULU DHIDI YA REMA 1000 FC
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akimkabidhi kombe kapteni wa timu ya Dongobesh FC ya Dongobesh Iddi Podoksi mara baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa...
View ArticleNAIBU WAZIRI MAVUNDE APONGEZA MIPANGO YA MJASARIAMALI KIJANA BI HADIJA JABIR...
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi ,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa GBRI Co. Ltd Bi Hadija Jabiri kwa mafanikio makubwa aliyopata kupitia kilimo cha...
View ArticleUFALME WA UINGEREZA UMEINGILIWA?
Francis Daudi, Melukote Town!Jana dunia ilisimama kupisha ndoa ya kifalme, Mwana Mfalme Henry Charles Albert David ‘Prince Harry’ mwenye miaka 33 alimuoa mwigizaji wa Marekani, Bi Meghan Markle mwenye...
View ArticleBALOZI WA CHINA ATETA NA DK MENGI, AAHIDI KUSAIDIA MABADILIKO
CHINA imetaka watanzania kutumia fursa ya kuwa na maji mengi na ardhi ya kutosha kufanya shughuli za kilimo na kuzalisha mazao mengi ambayo wanaweza kuyauza nchini humo na pia kuyatumia kama malighafi...
View ArticleWASAIDIZI WA MAKAMU WA RAIS WATOA FUTARI KWA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA...
Wasaidizi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametoa futari kwa kituo cha watoto Yatima cha Rahman kilichopo Chang’ombe Dodoma. Kituo hicho chenye watoto 120 ambao kati ya hao 75 ni...
View ArticleMWANDISHI MATHIAS CANAL APEWA TUZO YA HESHIMA NA ASASI YA WAZALENDO NA...
Mwandishi wa habari na mchambuzi wa mambo mbalimbali nchini Tanzania Ndg Mathias Canal (Kushoto) akikabidhiwa tuzo ya cheti cha heshima kwa mchango wa utendaji katika jamii na Ndg Mohamed shabani...
View ArticleNaibu Waziri afanya ziara kiwanda cha HUACHENG kinachojihusisha na uchinjaji...
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Lugola ametoa muda wa miezi sita kwa kiwanda cha HUACHENG kinachojihusisha na uchinjaji na usafirishaji wa nyama ya Punda Mkoni...
View ArticleREHEMA FOUNDATION YAKABIDHI MRADI WA MAJI SHULE YA SEKONDARI ZOGOWALE
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Zogowale ,mjini Kibaha Mkoani Pwani ,wakishangilia kupata huduma ya maji shuleni hapo ,baada ya kujengewa kisima cha kupampu kilichogharimu zaidi ya sh.mil.11...
View ArticleDKT KALEMANI AZINDUA USAMBAZAJI WA GESI ASILIA MAJUMBANI
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Matiku Makori wakiwasha jiko lililofungwa gesi asilia tayari kwa matumizi ya nyumbani katika eneo la Mikocheni mtaa wa TPDC...
View ArticleTaasisi ya Mo Dewji yatoa msaada kwa watoto wenye saratani
Taasisi ya Mo Dewji imetoa msaada kwa watoto wanaopatiwa matibabu ya magonjwa ya saratani katika kituo cha Tumaini la Maisha katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es Salaam. Msaada ambao...
View ArticleRAIS DK. SHEIN AKUTANA NA BALOZI MPYA WA CANADA, CUBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Balozi Mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Canada pia akiiwakilisha...
View ArticleSPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU, MHE. JAJI WARIOBA...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Jaji. Joseph Sinde Warioba (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt....
View ArticleMOZAMBIQUE AND GREAT LAKES AFRICA ENERGY SIGN MoU FOR POWER GENERATION
The Government of Mozambique has signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Great Lakes Africa Energy (GLAE) to generate electric power using natural gas for domestic use at an estimated value of...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MRADI WA UUNGANISHWAJI WA UMEME WA GRIDI YA...
WAZIRI Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amewahakikishia watanzania wote kuwa Serikali itafikisha umeme kila kona na kila kijiji.Waziri Mkuu aliyasema hayo mara baada ya kuzindua mradi wa uunganishwaji wa...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akiongoza kikao cha thelathini na tatu cha mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma. Naibu Waziri-TAMISEMI Mhe.Josephat...
View ArticleSERIKALI YAHIMIZA HALMASHAURI KUBUNI MIRADI YA KIMKAKATI ILI KUJIONGEZEA MAPATO
Serikali imeeleza kuwa Uchukuaji wa baadhi ya vyanzo vya mapato katika halmashauri ulifanyika kwa mujibu wa Sheria ya Bajeti iliyoridhiwa na Bunge ya mwaka 2015 kifungu namba 58 ikiwa na lengo la...
View Article
More Pages to Explore .....