SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA MKUU WA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM)
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof. Tadeo Satta (katikati) alieongozana na Dkt. Kadida Mashaushi (kulia) tarehe 17 Aprili, 2018...
View ArticleMASAUNI AWATAKA WANANCHI KUWEKA FEDHA BENKI, AZIOMBA TAASISI ZA KIFEDHA ZA...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza katika Mkutano wa Tano wa Taasisi za Fedha za Kiislamu Afrika uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kilimanjaro...
View ArticleMKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI AFARIKI DUNIA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiBARBARA Bush mke wa Rais wa 41 wa Marekani George Herbert Bush na mama wa George W. Bush Rais wa 43 wa Marekani amefariki dunia jana April 17 akiwa na miaka 92, ofisi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA NA WAINGEREZA...
Picha na Habari za Freddy Macha Ulikuwa mkutano mfupi uliokusudia kutoa shukrani kwa wafadhili na Watanzania London wanaosaidia nyumbani. Fadhila hupitia Jumuiya ya Waingereza na Watanzania (BTS) na...
View ArticleTAMASHA LA AMKA KIJANA, TUIJENGE IRINGA YETU LAFANA MJINI IRINGA
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela akimtambulisha mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza (mwenye ushungi) huku mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza, Steve Nyerere akifuatilia kwa karibu wakati...
View ArticleBenki ya Azania yaahidi kusaidia kutimia uchumi wa viwanda
Na Mwandishi Wetu, DarBENKI ya Azania imeahidi kushirikiana na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuhakikisha uchumi wa viwanda unafanikiwa kwa kuwezesha wajasiriamali wadogo na wakubwa kutimiza malengo...
View ArticleCRDB Bank kupeleka wateja wake 24 kushuhudia fainali za kombe la Dunia, Urusi
Benki ya CRDB leo imetangaza kuanza rasmi kwa kampeni ijulikanayo kama “Furahia kandanda murua nchini Urusi” #TwenzetuRussia, itakayowawezesha watumiaji wa kadi za malipo za TemboCard Visa za Benki...
View ArticleRUVU SHOOTING WAAHIDI KUMPAPASA KILA ATAKAYEKUJA MBELE YAO
Na Zainab Nyamka,Globu ya jamiiBAADA ya ushindi mfululizo wa kikosi cha Ruvu Shooting na kuanza kujikita katika nafasi za juu, Msemaji wa klabu hiyo Masau Bwire ameweka wazi huo ni mwanzo tu kwani...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA WANAWAKE WA COMMONWELTH MJINI LONDON
Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano jana jioni alikuwa ni miongoni mwa Jopo lililojadili kuhusu sera za kumwinua mwanamke kiuchumi wakati wa mkutano wa Jukwaa la Wanawake...
View ArticleNI MARUFUKU KURUKA NYUMBA WAKATI WA KUWAUNGANISHIA UMEME WA REA WANANCHI-...
-Wekeni hata kwenye nyumba za nyasiNa Tiganya VincentSERIKALI imesema ni marufuku kwa Wakandarasi na Wataalamu kuruka nyumba wakati wa uunganishaji wa umeme kwa wananchi kupitia Mradi kabambe wa...
View ArticleTAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF).
KUZIONA SIMBA SIMBA NA YANGA ELFU 7Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara(VPL) msimu wa 2017/2018 kati ya Simba na Yanga...
View ArticleIkulu yaiadhibu RAS Iringa kwa kuwachapa magoli 49-8
Na Bahati Mollel-TAA, IringaTIMU ya Ofisi ya Rais Ikulu imewachapa bila huruma wenyeji RAS Iringa kwa kuwafunga magoli 49-8 katika mchezo wa netiboli wa michuano ya Kombe la Mei Mosi uliofanyika kwenye...
View ArticleNAIBU WAZIRI DKT. ASHATU KIJAJI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA...
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji (MB) akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof. Tadeo Satta pamoja na Uongozi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)(haupo pichani)...
View ArticleKIKOSI KAMILI CHA YANGA DHIDI YA WELAYTA DICHA
KIKOSI cha Yanga kinashuka leo dimbani katika mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika wakiwa ugenini dhidi ya timu ya Welayta Dicha kutoka Ethiopia.Yanga inayoshuka dimbani wakiwa na ushindi wa...
View ArticleMPRU YAPATA MTENDAJI MPYA
Na John Mapepele, DodomaWaziri wa Mifugo na Uvuvi, Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina amemteua John David Komakoma kukaimu nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu nchini (MPRU)...
View ArticleSHIRIKA LA KIMATAIFA LA WATER MISSION TANZANIA LAFANIKISHA MRADI WA MAJI SAFI...
Kiongozi wa mbio za mwenge,Charles Kabeho akifungua bomba kuashiria uzinduzi wa mradi wa maji wa Kasanda iliofadhiliwa na Water Mission Tanzania. Shamrashamra za uzinduzi wa mradi Kiongozi wa mbio za...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA WANAWAKE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana jioni alikuwa ni miongoni mwa Jopo lililojadili kuhusu sera za kumwinua mwanamke kiuchumi wakati wa mkutano wa Jukwaa la Wanawake...
View ArticleCCM WAAMUA KUMJIBU ZITTO KUHUSU TRIL 1.5/- ,WAMTAKA AACHE TABIA YA KUPOTOSHA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiCHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Katibu wake wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole kimesema Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe(ACT-Wazalendo) ni mpotoshaji mkubwa na...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA MRISHO GAMBO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasili mtaa wa Muheza Kariakoo jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia ya Mzee Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe ambaye pia ni...
View Article
More Pages to Explore .....