MANISPAA YA UBUNGO YAINGIA MKATABA NA BENKI YA CRDB KUTOA MIKOPO YA VIJANA NA...
Meya wa Manispaa ya Ubungo,Boniface Jacob akizungumza kabla ya kutiliana Saini Mkataba na Benki ya CRDB Juu ya Mikopo ya kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo . Meya wa Manispaa ya...
View ArticleWANAJESHI JWTZ WATUNUKIWA NISHANI ZA UMOJA WA MATAIFA SUDAN
Na Luteni Selemani SemunyuAskari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Kikosi cha 11 wametakiwa kujivunia mafanikio yaliyopatikana kufuatia utumishi wao uliotukuka kwa kipindi cha Mwaka Mmoja...
View ArticleMuhimbili Yapandikiza Figo Wagonjwa Wanne
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefanikiwa kupandikizia figo wagonjwa wa nne ikiwa ni mara ya pili kutoa matibabu hayo ya ubingwa wa juu nchini.Upasuaji huo umefanywa na wataalam wa Muhimbili kwa...
View ArticleSTAND UNITED YATAKA FEDHA ZAKE ZILIZOKATWA NA TFF, YATISHIA KUJITOA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Uongozi wa Stand United umetishia kujitoa katika mashindano ya Azam Sports HD Federation Cup baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFF kuwakata mapato yao.Hatua...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapteni mstaafu George Mkuchika akisisitiza kuhusu sheria inayotumika kutoa likizo kwa watumishi katika sekta ya...
View ArticleRais Magufuli amteua Prof. Idris Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Idris Suleiman Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini.Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John...
View ArticleMWANDISHI WA HABARI PASCAL MAYALA AFIKISHWA MBELE YA KAMATI YA MAADILI YA BUNGE
Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (kushoto) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge mjini Dodoma kwa kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge...
View ArticlePROF. TIBAIJUKA’S IRRESPONSIBLE REACTION TO THE CURRENT DAR-ES-SALAM FLOOD...
BY MOHAMED MATOPEYesterday, I read an article from a social media site written by former Minister of land and urban development, Mama Professor Tibaijuka. After going through the article, I was...
View ArticleILI UWE MWALIMU MKUU LAZIMA SHULE YAKO IFAHURISHWE KUANZIA ASILIMIA 60 HADI 90
Katibu tawala mkoa wa Ruvuma HASSAN BENDEYEKO amesema ili mwalimu katika shule husika ateuliwe mkuwa mwalimu mkuu ni lazima awe amefaurisha wanafunzi kwa asilimia 60 hadi 90 hii itasaidi kwa mkoa wa...
View ArticleWAZIRI MKUU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Sarah Cooke, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Aprili 18, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim...
View ArticleTHE NGOMA AFRICA BAND BASED IN GERMANY: MOST INFLUENTIAL BAND OF ALL TIME
THE NGOMA AFRICA BAND The Golden Voice of East Africa Soulful Vocals,hypnotic guitars and driving Rhythm of BONGO DANCE ready to Thrill fans at major festivals in GermanyIt's the first African...
View ArticleWANAFUNZI WA TANZANIA VINARA UANDISHI WA INSHA EAC NA SADC.
Wanafunzi wa shule za Sekondari hapa nchini wameibuka washindi wa Tuzo za uandishi wa Insha zinazotolewa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC).Akiongea...
View ArticleTimu ya Tanzania kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Australia...
Kiongozi wa Msafara wa wachezaji waliyokwenda katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Australia ambaye Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na...
View ArticleKATIBU MKUU MSTAAFU HAZINA RAMADHAN MUSSA KHIJJAH AZIKWA DAR ES SALAAM LEO
KATIBU Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, ameongoza waombolezaji na baadhi ya watumishi wa Wizara hiyo kumzika Katibu Mkuu Mstaafu na Mlipaji Mkuu wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne,...
View ArticleIGP akabidhiwa ripoti ya uchunguzi wa kuwekwa mawe na mchanga katika korosho
Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama akishuhudia Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba akimkabidhi IGP Simon Sirro ripoti ya uchunguzi wa kuwekwa mawe na mchanga...
View ArticleWaziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akktana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona...
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Robert Bundala, nje ya jengo la utawala bungeni mjini Dodoma leo Aprili 18, 2018. Wa pili kushoto ni...
View ArticleWadau wa dawa na vifaa tiba nchini watakiwa kuchangamkia fursa
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Josephat Kandege amewataka wauzaji, waagizaji, wasambazaji na wadau wote wa dawa pamoja na Vifaa Tiba Nchini kuchangamkia fursa...
View ArticleWANAFUNZI WA KIKE VAENI MAGAUNI MANNE KWA MPANGILIO ILI MFIKISHE NDOTO ZENU -...
Wanafunzi wakike mkoani Ruvuma wametakiwa kuzingatia masomo yao ipaswavyo kwa kufuata utaratibu wa kuvaa magauni manne ili aweze kufanikisha malengo ya ndoto zao. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa...
View ArticleNEWS ALERT: Rais Magufuli amteua Prof. Idris Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume...
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULUJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIASimu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425OFISI YA RAIS,...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AJULIA HALI WAGONJWA WALIOLAZWA KATIKA TAASISI YA MOYO YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara Dkt. Juma Ngasongwa walipotembelea Taasisi ya...
View Article
More Pages to Explore .....