WATU 29 WAFARIKI KWA AJALI ZA BARABARANI KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU.MKOANI...
Watu zaidi ya 29 wamepoteza maisha huku 42 wakiwa wamepata majeraha mbalimbali kutokana na ajali zilizotokea mkoani wa Ruvuma kwa kipindi cha miezi mitatu kwa mwaka 2018. Huku sababu kubwa za ajali...
View ArticleWWF YAZINDUA MRADI WA KUHIFADHI MAZINGIRA-MTWARA
Na Joseph Mpangala-Mtwara Shirika la Kuhifadhi mazingira duniani WWF imezindua Mradi wa Kuleta mabadiliko katika usimamizi na Uendelezaji wa Maliasiri za misitu,wanyapori na bahari kwa kushirikisha...
View ArticleMAKALA SHERIA: POLISI HAWARUHUSIWI KUCHUKUA KESI ZA KUDAIANA HELA
Na Bashir Yakub.Yapo mambo tunatakiwa kuyazungumza mara kwa mara ili watu wayaelewe. Moja ya mambo hayo ni hili la watu kudaiana hela hadi kufikishana polisi. Mtu binafsi, Saccos au taasisi...
View ArticleWAZIRI MKUU AKEMEA UPOTOSHAJI KUHUSU MUUNGANO
*Awataka waulinde, aonya sukari isiwe sababu WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania waulinde Muungano baina ya Tanzania Bara na Zanzibar na akawaonya wasitumie...
View ArticleMAHAKAMA KISUTU YATAKA KILA CHOMBO KIHESHIMIWE
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema kila chombo kinapaswa kufanya kazi zake kwa kuheshimiana na haipendezi kila mara zitolewe amri ambazo hazitekelezwi.Hakimu...
View ArticleMATUKIO YA OFISI YA WAZIRI MKUU BAADA YA BUNGE KUPITISHA BAJETI YA OFISI HIYO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akipongezana na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini,...
View ArticleSPIKA NDUGAI AKUTANA NA BALOZI WA UGANDA NCHINI TANZANIA.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.Spika wa Bunge Mhe. Job...
View ArticleLIGI KUU WANAWAKE BARA HATUA YA NANE BORA KUENDELEA APRILI 21
Na Zainab Nyamka, Globu ya jamiiLIGI Kuu ya Wanawake Tanzania Bara hatua ya Nane bora inatarajia kuendelea Jumapili Aprili 21 kwenye viwanja tofauti.Hatua hiyo ya Nane bora ambayo ilisimama kupisha...
View ArticleSIMBA YAIVUTIA KASI MBEYA CITY, WAENDELEA NA MAZOEZI
Na Zainab Nyamka, Globu ya jamiiKIKOSI cha Simba kimeendelea na mazoezi yake katika Uwanja wa Boko Veterani kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Mbeya hapo kesho.Mchezo huo utakaopigwa Uwanja wa Taifa...
View ArticleMAHAKAMA KISUTU YASOGEZA MBELE TAREHE YA KUSOMWA MAELEZO YA AWALI VIGOGO TFF
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesogeza mbele tarehe ya kuwasomea maelezo ya awali (PH ) ya vigogo watatu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hadi Aprili...
View ArticleWAKULIMA WA KOROSHO TANDAHIMBA WAIDAI KAMPUNI YA JOPHULO LIMITED ZAIDI YA...
Wakulima wa zao la korosho wilaya ya Tandahimba na Newala mkoani Mtwara wamelalamikia kitendo cha kampuni ya JOPHULO LIMITED kutowalipa fedha zao zenye thamani zaidi ya Shilingi bilioni 3 tangu...
View ArticleRC SHINYANGA AWATAKA WAKAZI MKOA WA TABORA KUTUNZA , KULINDA MISITU ASILI
Na Tiganya VincentMKUU wa Mkoa wa Shinyanga Zainabu Telack amewataka wakazi wa Mkoa wa Tabora kutunza na kulinda mistu ya asili na miti inayopandwa sasa hivi ili ikuyafanya mazingira kuwa endelevu kwa...
View ArticleYANGA YATAJA KIKOSI KITAKACHOANZA DHIDI YA SINGIDA UNITED LEO
Zainab Nyamka, Globu ya jamiiKIKOSI cha Young Africans kitakachoanza dhidi ya Singida United katika mechi ya Ligi Kuu Bara inayochezewa leo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mlinda mlango ni Youthe...
View ArticleWANANCHI MKOANI GEITA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPATA ELIMU YA MLIPAKODI
Na Veronica KazimotoWafanyabiashara na wananchi wa Mkoa wa Geita wamejitokeza kwa wingi kupata elimu ya mlipakodi inayoambatana na usajili wa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) pamoja na kupatiwa...
View ArticleKAMPUNI YA TECNO TANZANIA YAMPA UBALOZI GABO
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMUGIZAJI wa filamu za kibongo nchini Salim Ahmed a.k.a Gabo, ametangazwa kuwa balozi wa simu mpya ya mkononi kutoka Kampuni ya Tecno Tanzania iliyopewa jina la Tecno...
View ArticleSerikali Yapunguza Idadi Ya Hati Chafu
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Juma Assad amesema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli inaendelea vizuri na uwekaji wa mahesabu uliopelekea...
View ArticleRC MAKONDA KUTOA KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WATOTO WALIOTELEKEZWA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema kinamama wote waliofika ofisini kwake wakiwa na watoto kwa ajili ya kupatiwa msaada wa kisheria baada ya kutelekezwa atawapatia kadi za Bima ya...
View ArticleMADE IN TANZANIA WEEK IN KENYA
MADE IN TANZANIA WEEK IN KENYA The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation through its Embassy in Nairobi, Kenya and in collaboration with the Ministry of Industry, Trade and...
View Article
More Pages to Explore .....