DK. KIGWANGALLA AMALIZA MGOGORO WA HIFADHI NA WANANCHI WILAYANI RUFIJI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Utete katika wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani kuhusu mgogoro wa mpaka wa Hifadhi ya Msitu wa Utete na vijiji...
View ArticleMakamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Makamu wa Pili wa Rais wa...
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan Kushoto akisalimiana na Kumkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake...
View ArticleMwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Kilangi atembelea Mahakama ya Afrika ya...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi akijadiliana jambo na Majaji wa Mahakama ya Haki ya Afrika ya Mashariki (EACJ) wakati alipoitembelea mahakama jijini Arusha...
View ArticleRC MAKONDA APOKEA SHEHENA YA MAKONTENA YENYE SAMANI ZA OFISI ZA WALIMU
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo amepokea shehena ya Makontena 20 Kati ya 36 yenye samani (furniture) zenye thamani ya Shillingi Billion 2 zilizotolewa na Diaspora waishio Nchini...
View ArticlePOLISI NA CRDB WATOA ELIMU KWA WANANCHI MKOANI LINDI JUU YA WIZI KATIKA MITANDAO
Jeshi la Polisi kitengo cha Polisi Jamii kutoka Polisi Makao Makuu Dar es salaam likiongozwa na Naibu Kamishina wa Polisi DCP Ahmada Khamis, pamoja na Maafisa kutoka Bank ya CRDB wametoa elimu kwa...
View ArticleMAFUNZO YA MSAADA HUDUMA ZA KISAIKOLOJIA KWA WAHUDUMU VITUO VYA HUDUMA,TIBA...
Mratibu wa Kudhibiti Ukimwi mkoa wa Mwanza Dk. Pius Masele amefunga mafunzo ya siku tano kuhusu msaada na huduma za kisaikolojia kwa wahudumu wa jamii wanaosaidia kazi katika vituo vya huduma na tiba...
View ArticleRC MTAKA ASITISHA MALIPO YA SHILINGI BILIONI 1.9 KWA WAKANDARASI WALIOSHINDWA...
Na Stella KalingaMkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amesitisha malipo ya shilingi bilioni 1.9 kwa wakandarasi watatu, ambao ni Simiyu Investiment Co. Ltd, Nselema Associtates Co. Ltd na Great...
View ArticleAHUKUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA WIZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANYONI-ITIGI CHAYA
Na-Jumbe Ismailly MANYONI MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Manyoni,Mkoani Singida imemuhukumu Musa Haruna (47) mkazi wa Kijiji cha Mtimkavu,kata ya Itigi,wilayani Manyoni kutumikia adhabu...
View ArticleKamishna Mkuu wa TRA Charles Kichere atembelea mpaka kati ya Tanzania na...
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere akiwa ameshikilia jiwe la mpaka kati ya Tanzania na Zambia katika Kituo cha Forodha cha Mosi kilichopo Mkoani Rukwa, wakati wa...
View Articlewananchi wa kawe jijini Dar es salaam waomba serikali kuingilia kati mgogoro...
Mwanaharakati na Mzawa Kawe James Mwakibinga akizungumza na wakazi wa Kawe wakati walipokuwa wakitoa ombi lao kwa Rais Magufuli kupitia Waziri Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuingilia kati...
View ArticlePROF. MBARAWA AAHIDI KUKAMILIKA KWA UJENZI WA DARAJA LA MTO MARA
Serikali imesema ujenzi wa daraja la mto Mara lenye urefu wa mita 94 lililopo katika barabara ya Tarime-Mugumu-Nata litakamilika mwanzoni mwa mwezi wa nne mwaka huu.Amezungumza hayo Waziri wa Ujenzi,...
View ArticleTuna kila sababu ya kumuita Mother Fii
Tarehe 13 Februari 2018, mwanzilishi wa Sekondari ya Kifungilo Sr. Mary Fidesta Rimisho C.P.S., alitangulia mbele ya haki. Kikawaida kila mtu ana wazazi wa kumzaa, wa kumlea au wakujitolea ambao huwa...
View ArticleDkt. Makame ashiriki katika uzinduzi wa Kiti cha AXA cha Uchumi na Fedha...
Mwenyekiti wa Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mheshimiwa Dkt Abdullah Hasnuu Makame (PhD) ameshiriki kama Mgeni Mashuhuri wa uzinduzi wa Kiti cha AXA cha Uchumi na Fedha katika Chuo Kikuu...
View Article
More Pages to Explore .....