MAHAKAMA YAZUIA UGONJWA WA BOSI IPTL KUSEMWA MARA KWA MARA,KESI YAAHIRISHWA
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, imeiahirisha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabiki mmiliki wa IPTL, Harbinder Singh Sethi na mfanyabiashara...
View ArticleBENKI YA TPB,SATF ZAUNGANA KUENDESHA MRADI WA DOLA MILIONI MOJA
BENKI ya TPB imeungana na taasisi ya Savings at the Frontier (SatF), kwenye mradi utakaogharimu kiasi cha dola Milioni Moja. Mradi huo unaoitwa “Digitalizing Informal Savings Mechanisms” utaendeshwa...
View ArticleKANALI NDAGALA AKABIDHI MABATI 280 KWA WALIMU 14 WALIOSTAAFU KAKONKO
Na Rhoda Ezekiel Kigoma,MKUU wa Wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala amekabidhi mabati 280 kwa wastaafu 14.Amekabidhi mabati hayo kwa niaba ya kamati tendaji ya Chama cha Waalimu Tanzania(CWT)Wilaya...
View ArticleDK. KALEMANI AAGIZA MKANDARASI KUMALIZA HARAKA MRADI WA UMEME WILAYANI KISHAPU
Na Robert Hokororo, Ofisi ya MkurugenziWaziri wa Nishati, Mh. Dk. Medard Kalemani Februari 15 mwaka amefanya ziara wilayani Kishapu ambapo amezindua ujenzi wa miradi ya kusambaza umeme vijijini...
View ArticleMADALALI WA MAHAKAMA WATAKIWA KUWA NA CHETI CHA UMADHUBUTI WA KAZI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.MAHAKAMA nchini Tanzania, imewataka madalali wa Mahakama kuwa na cheti cha umadhubuti katika kazi hiyo toka Chuo cha Uongozi wa Mahakama ama Taasisi inayotambuliwa na...
View ArticleNEC YAJIBU HOJA 6 ZA CHADEMA
Jana 16/02/2018 baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, walifika ofisi za Tume ya Taifa kuwasilisha malalamiko yao kadhaa...
View ArticleKWANDIKWA : WATENDAJI WA TAASISI ZA WIZARA TIMIZENI WAJIBU WENU KUFANIKISHA...
Na Ismail NgayongaNAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa amewataka Watendaji wa Taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo kutumia weledi, maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha...
View ArticleWAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU WAKOSA SOKO LA UHAKIKA LA KUUZIA ZAO HILO
Na Jumbe Ismailly WAKULIMA wa zao la tumbaku katika Halmashauri ya Itigi, wilayani Manyoni, Mkoani Singida hawana soko la uhakika la kuuzia zao hilo kutokana na Makampuni yaliyokuwa yakinunua zao hilo...
View ArticleMAFUNZO YA UONGOZI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI YAFANYIKA...
Afisa Mkuu wa Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika kutoka Manispaa ya Kinondoni,Saleh Hijja Mohamed (aliyesimama) akizungumza kabla ya kumalizika kwa semina ya siku tatu ya mafunzo ya uongozi kwa...
View ArticleSERIKALI YAWATAKA WATUMISHI WA UMMA NCHINI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa katika kikao kazi na waumishi hao kwa lengo kuwasikiliza...
View ArticleSERIKALI KUJENGA KITUO CHA UZAAJI MADINI NCHINI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWIZARA ya Madini imetangaza kuanzia sasa mnada wa madini yote utafanyika hapa nchini badala ya nje ya nchi kama ulivyokuwa unafanyika awali.Lengo ni kuizesha Serikali...
View ArticleWASHINDI 36 WA PROMOSHENI YA NYAKA NYAKA BONUS WAZAWADIWA.
Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kulia) akimkabidi Mariam Akida (kati) mkaazi wa Tabata jijini Dar es Salaam zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 aliyoshinda katika promosheni ya...
View ArticleTBL YATAKIWA KUMLIPA DAVID MGWASSA SH. BILIONI MOJA
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiTUME Usuluhishi na Uamuzi (CMA) imetoa tuzo kwa aliyekuwa Meneja wa Konyagi David Mgwassa ya kulipwa dola za Kimarekani 200, 000 ndani ya siku 14 kuanzia leo kama...
View ArticleLady in Red Farewell after party kufanyika Jumapili ukumbi wa Next Door...
Mbunifu nguli wa mitindo Bi. Asya Idarous-Khamsin ameandaa After party (pool party) ya Lady in Red Farewell siku ya Jumapili Februari 18, 2018 kuanzia saa 10 jioni katika ukumbi wa Next Door Masaki...
View ArticleWANANCHI KWIMBA WAMKATAA MKUU WA WILAYA MBELE YA WAZIRI MKUU
WANANCHI wa wilaya ya Kwimba wamemuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aondoke na mkuu wa wilaya hiyo Bw. Mtemi Msafiri (pichani) baada ya kutoridhishwa na utendaji wake. Wametoa ombi hilo leo (Ijumaa,...
View ArticleMAJALIWA AKAGUA MASHAMBA BORA YA PAMBA KATIKA VIJIJI VYA KILYABOYA NA SOLWE...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba, Marco Mtunga (watatu kulia) kuhusu zao la pamba lililostawi vizuri wakati alipotembelea shamba darasa katika...
View Article
More Pages to Explore .....