VANESSA MDEE AACHIA ALBAMU YAKE YA KWANZA
Mwanamziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la Money Mondays itakayofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt...
View ArticleHarmonize atoa Msaada wa Fimbo kwa Wasioona Mtwara.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Rajab AbdulKahal maarufu Harmonize ametoa Msada wa Fimbo30 kwa Chama cha Wasioona Kilichopo Mkoa wa Mtwara Zenye Thaman ya Shilingi Million1 na Laki8 kama njia mojawapo...
View ArticleWATANZANIA WAOMBWA KUSHIRIKI MKESHA MKUBWA WA KITAIFA, MAOMBI MAALUMU
Said Mwishehe, Blogu ya jamiiWANZANIA wameombwa kushiriki katika mkesha mkubwa kitaifa ambao pia utatumika kufanya maombi maalumu kumuombea Rais John Magufuli.Mkesha huo unatarajia kufanyika Desemba 31...
View ArticleWAZIRI MKUU AWASILISHA TAMKO LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema amekwishawasilisha tamko la maadili ya viongozi wa umma kwenye Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma tangu jana (Alhamisi Desemba 28, 2017).Akizungumza na...
View ArticleDIAMOND AMWAGA ZAWADI KWA MASHABIKI WAKE JIJINI DAR LEO
Msanii Nyota wa Bongofleva Afrika Mashariki na kwingineko Diamond Platnum akimkabidhi mmoja wa masahabiki wake baada ya kujishindia manukato (pafyume) ya CHIBU,mara baada ya kushiriki promosheni ya...
View ArticleDC, MBUNGE MUHEZA WASHIRIKIANA NA WANANCHI KUANZA UJENZI WA HOSPITALI YA...
MKUU wa wilaya ya Muheza, Mhandisi Mwanasha Tumbo,Mbunge wa Jimbo hilo,Balozi Adadi Rajab na wakazi wa wilaya hiyo wakishirikiana kwa pamoja wameanza kuchimba msingi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya...
View ArticleMBUNGE MGIMWA AKABIDHI MIFUKO 400 YA SARUJI NA BATI 150 KWA AJILI YA UJENZI...
Na Fredy Mgunda,Mufindi.Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mahamoud Mgimwa amekabidhi jumla ya mifuko ya saruji 400 na bati 150 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa ya shule za msingi pamoja na zahati...
View ArticleDKT MWANJELWA ATOA SIKU MOJA KWA WAFANYABIASHARA WALIOFUNGA MAGHALA YA MBOLEA...
Na Mathias Canal, MorogoroNaibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe Dkt Mary Mwanjelwa leo Disemba 29, 2017 amewaagiza wafanyabiashara wa mbolea kote nchini walioweka mgomo wa kupeleka mbolea kwa wakulima...
View ArticleNAIBU WAZIRI SHONZA ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA
Askari wa wanyama pori wa Hifadhi ya Taifa ya Arusha Ndg. Majid Kijaji (kushoto) akimfafanulia Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (wa kwanza kulia) kuhusu fuvu...
View ArticleBURIANI ALHAJ SHEIKH AHMED ISLAM
Na Ramadhani K. Dau, MalaysiaIlikuwa siku ya Jumamosi tarehe 23 Disemba 2017, majira ya saa 5 usiku kwa saa za Malaysia nilipopata ujumbe mfupi wa sms kutoka kwa Sheikh Issa Othman, maarufu Mufti wa...
View ArticleULEGA AHIMIZA UJENZI WA SHULE KWA WANANCHI KUJITOLEA
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewataka maafisa maendeleo kutembelea vijijini ili kuhamasisha maendeleo katika kaya za vijiji kutokana baadhi vijiji...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFANYA ZIARA KATIKA HIFADHI YA SAADANI
Wananchi wa Kitongoji cha Uvinje kilichomo ndani Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoani wa Pwani wamesema hawapo tayari kuhama wala kulipwa fidia ili kupisha hifadhi...
View ArticleYear-End Highlights: JMK PARK REACHES 100,000 REGISTERED USERS IN 2017!!
DAR ES SALAAM, Tanzania – 29 December 2017 – Just in time to celebrate the end of 2017, Samwel Wilson Milli became the 100,000th new user to register at the Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park) on...
View ArticleTRA MKOANI PWANI YANASA TANI 26 ZA MIZIGO AMBAYO ILIKUWA IKISAFIRISHWA...
NA VICTOR MASANGU, MKURANGA MAMLAKA ya mapato (TRA) Wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani imefanikiwa kukamata tani 26 za mizigo ya aina mbali mbali ambayo ilikuwa imepakizwa katika malori mawili ya magari...
View ArticleMichuano ya Kombe la Mapinduzi Kati ya Jamhuri na Mwenge Uwanja wa Amaan...
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Jamhuri mwenye jezi ya njano Mussa Ali na beki wa Timu ya Mwenge Haysam Khamis wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi ilioaza kutimua vumbi leo...
View Article
More Pages to Explore .....