SERIKALI KUJADILIANA NA MGODI WA CATA MINING KABLA YA KUURUHUSU KUENDELEA...
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameuagiza Mgodi wa Dhahabu wa CATA Mining uliopo katika Kijiji cha Kataryo Mkoani Mara kukaa pamoja na Serikali kujadili tofauti zilizopo ili kuruhusu mgodi huo...
View ArticleMkuchika Awasilisha fomu ya tamka la Rasilimali na Madeni Mtwara leo.
Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Capt Mstaaf George Mkuchika amewataka Wabunge,madiwani na Viongozi wa Una wanaojihusisha na Biashara Na Halmashauri Kuacha Mara moja kutokana na Kwenda Kinyume na...
View ArticleMTU MMOJA ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPORWA BAJAJI NA WATU WALIOMKODISHA
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani Jonathan Shanna akizungumza na waandishi wa habari Na Mwandishi Wetu, PwaniMTU mmoja nayesadikiwa kuwa ni jambazi amefariki dunia baada ya kupigwa na wananchi...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATUMIZI YA FEDHA ZA KIGENI KATIKA JAMHURI YA...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA FEDHA NA MIPANGO TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATUMIZI YA FEDHA ZA KIGENI KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWaziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor...
View ArticleNAIBU WAZIRI AWESO:HATUTASITA KUWACHUKULIA HATUA WAKANDARASI WAZEMBE
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso amesema hatasita kumchukulia hatua mkandarasi yoyote ambaye atashindwa kukamilisha kwa wakati miradi ya maji waliopewa kwenye maeneo mbalimbali hapa...
View ArticleHATUTASITA KUMCHUMKULIA HATUA MKANDARASI YEYOTE ATAKAYEKWAMISHA UTEKELEZAJI...
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso amesema wizara yake haitasita kumchukulia hatua mkandarasi yeyote endapo atabainika kuwa chanzo cha kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maji katika...
View ArticleWAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA NYUMBA YA DAKTARI KITUO CHA...
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akiwa na mganga mkuu wa kituo cha afya Nkowe Dk. Paul Mbinga,wakati akikagua ujenzi wa nyumba ya daktari, Waziri Mkuu yupo Wilayani Ruangwa kwa ajili ya mapumziko ya mwisho...
View ArticleBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA MAGHARIBI
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi amesema wakati umefika kwa Wananchama wa Chama cha Mapinduzi kutowapa nafasi za Uongozi wanachama wenye tabia ya kuhama...
View ArticleWAZIRI MKUU AMWAGIZA AFISA MADINI AITISHE KIKAO KESHO SAA 4 ASUBUHI
*Ni baada ya kupokea mabango ya wananchi wakidai kunyanyaswaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kaimu Afisa Madini Mkazi wa Kanda ya Kusini, Bw. Ogesa Charles Tale afike eneo la mgodi wa dhahabu wa...
View ArticleOFISI YA MAKAMU WA RAIS YAKANUSHA TANGAZO LINALOTANGAZA USHIRIKI WA MAKAMU WA...
Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakanusha tangazo linalosambaa katika Mitandao ya Kijamii linalomhusisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu...
View ArticleVituo vya Afya vinavyojengwa vinahitaji wataalam wa Dawa za Usingizi - Waziri...
Ntegenjwa Hosseah, Mpwapwa.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa amesema vituo vyote 211 vinavyoongezewa miundombinu ya Afya vinahitaji wataalam wa kutoa Dawa za Usingizi...
View ArticleKOMBE LA MAPINDUZI: JKU YAICHAPA ZIMAMOTO BAO 1-0 UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR
Mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto, Hafidh Barik akipokea mpira huku beki wa Timu ya JKU, Ponsiana Malik akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan...
View ArticleBILIONI 1. 8 ZITATUMIKA UJENZI WA MRADI WA MAJI SAWALA – HALMASHAURI YA MUFINDI
Waziri wa Maji na umwagiliaji Mh. Mhandisi Isack Kamwelwe, amewahakikishia wananchi wa kata ya Mtwango halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kuwa, mradi mkubwa wa Maji wa Sawala wenye thamani ya zaidi ya...
View ArticleDKT MNDOLWA,MAJI MAREFU WAUNGURUMA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UDIWANI KATA YA...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa,Dkt Edmund Mndolwa akisalimiana na wananchi wa Kijiji cha Mkokola Kata ya Kwagunda mara baada ya kuwasili kuzindua kampeni za udiwani kushoto ni Mwenyekiti wa CCM...
View ArticleWATALII WA NJE NA NDANI WAENDELEA KUMIMINIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI
Serengeti - Idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti(Senapa) imeongezeka katika siku za hivi karibuni kutokana na sekta ya utalii kukua huku miundombinu ya barabara na viwanja...
View ArticleMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 6.8 KUKAMILISHA UJENZI...
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Shinyanga, Azza Hilal Hamad (CCM) (wa pili kushoto) amekabidhi hundi ya shilingi Milioni 6.8 ( 6,830,000/=) kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo la wodi ya wazazi...
View Article
More Pages to Explore .....