NAFASI ARTS FESTIVAL: Theater Performance "Dr. Sijawa Bado"
SYNOPSIS We are introduced to Walalahoi Dispensary scenery where there are celebrations going on after receiving a new ‘doctor’. She introduces herself as Dr. Bado Sijawa, a prominent European made...
View ArticleANAYETAJWA KUWA MMILIKI WA SHULE YA SEKONDARI YA SCOLASTICA YA MKOANI...
Anayetajwa kuwa mmiliki wa shule ya Sekondari ya Scolastica iliyopo mji ndogo wa Himo Edward Shayo na wenzake wawili Hamid Chacha na Laban Nabiswa wakisindikizwa kuingia chumba cha...
View ArticleTigo yatangaza Dili ya kipekee ya Simu za Smartphone kwa wateja wake katika...
Mkuu wa Bidhaa na Huduma wa Tigo, David Umoh akifafanua jambo wakati akizungumzia ofa ya kipekee kwa wateja wa Tigo kuhusu simu za Smartphone ambazo zitahakikisha kila mtu anakuwa sehemu ya maisha ya...
View ArticleKATIBU MKUU PROF. ELISANTE OLE GABRIEL ATEMBELEA KIWANDA CHA HUANRI MEDICAL...
Katibu mkuu wa Wizara ya Viwanda ya Biashara na Uwekezaji, Prof Elisante Ole Gabriel akiwa katika ziara ya kikazi nchini China (Beijing) ametembelea kiwanda cha Huanri Medical Group...
View ArticleBENKI YA EXIM YAKABILIANA NA UPUNGUFU WA VITANDA KWENYE MA HOSPITALI NCHI NZIMA.
Mkuu wa idara ya masoko wa benki ya Exim, Bwana Stanley Kafu akimkabidhi vitandaMkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ikiwa benki ya Exim ina Mradi unalenga kusaidia upungufu wa vitanda katika...
View ArticleMWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA
Picha juu na chini ni mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mh. John Mongella (wa tano kulia) na Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida (wa sita kushoto) kwa pamoja...
View ArticleRC MAHENGE ATAKA MAMBO MATANO KUIPAISHA MAKAO MAKUU DODOMA
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dokta Binilith Mahenge amewataka watumishi na viongozi wa Halmashauri Mkoani humo kuhakikisha wanayapa kipaumbele mambo matano ikiwemo kudumisha hali ya Ulinzi na Usalama ambayo...
View ArticleHAKUNA FISADI WALA MCHWA ATAKAEINGIA KWENYE SHIRIKISHO LA WAGANGA WA TIBA...
Na David JohnMWENYEKITI wa Shirikisho la Waganga wa Tiba Asili Tanzania (SHIVYATIATA) Abdallahaman Lutenga Amesema chini ya uongozi wake atahakikisha hakuna fisadi wala mchwa yeyote atakaengia kwenye...
View ArticleKITUO CHA UMEME KIGAMBONI CHAKAMILIKA
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema kuwa kata za Kigamboni, Vijibweni, Tungi zinatarajiwa kupata umeme wa uhakika kufuatia kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa...
View ArticleDon't miss life changing event presented by Life Certified Coach Madiha...
Don’t miss this life changing event presented by Life Certified Coach Madiha Tubman.Date & Time : Sunday December 17, 2017 9am – 2pmAccompanied by : Light Breakfast & LunchParticipation Fee :...
View ArticleDALADALA LAPARAMIA BASI NA KUJERUHI WATU ENEO LA KIBAMBA JIJINI DAR LEO
Gari aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 928 BLQ ikiwa imeigonga Basi aina ya Scania linalo julikana kwa jina la Safari Njema katika Barabara ya Morogoro eneo la Kibamba kwa Mangi. inadaiwa...
View ArticleHAROUN MDOE AAPISHWA KUWA DIWANI WA KATA YA SARANGA KUPITIA CCM
Diwani Kata ya Saranga Haroun Mdoe akila kiapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Boniface Lihamwile katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo, Jijini Dar es salaam leo....
View ArticleMCHAKA MCHAKA MBEYA DREAM INTER - COLLEGE KUANZA KUTIMUWA VUMBI
Wanafunzi wa vyuo vikuu na vya kati jijini Mbeya, wamepewa wito kuzitambua na kuzitumia ipasavyo fursa njema zilizopo katika viungo vyao kwani ni njia mahususi ya kuweza kuyafikia malengo yao hasa...
View ArticleJela miaka kumi kwa kukutwa na silaha pamoja na risasi
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Novemba 28/2017 imemuhuku mfanyabiashara Gairo Mtozoma (43), kutumikia kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia...
View ArticleWANAOTUMIA VIBAYA FEDHA ZA UKIMWI KUSHUGHULIKIWA - WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifungua kongamano la Kitaifa la maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Juliasi Nyerere jijini Dar es Salaam leo Novemba 28,...
View ArticleJukwaa la kidigitali la Bizfundi lazinduliwa jijini Dar
Naibu mkuu program ya Engine na kiongozi wa kitengo cha Mitaji na Ustawishaji, Scott Bennett (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Mradi jukwaa la kidigitali la Bizfundi...
View ArticleTaasisi ya JKCI kwa kushirikiana na Taasisi ya OHI ya nchini Australia...
Afisa Muuguzi kutoka Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya nchini Australia Lisa Heywood akibadilishana mawazo na Emma Thomas na Faustina Mwapinga ambao wote ni Maafisa Uuguzi wakati wa...
View ArticleMSAMA AUCTION MART YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOHONGA WAMACHINGA KUANDAMANA
Kampuni ya Udalali ya Msama Auction Mart imewaonya Wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam wanaotoa fedha kwa Wafanyabiashara Wadogo wadogo ili kupinga zoezi lakuondoa kazi feki za...
View Article
More Pages to Explore .....