TAHADHARI
Daraja linalounganisha Ulongoni na Gongo la Mboto, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam linaweza kukatika wakati wowote kama linqvyoonekana mapema leo,kufuatia mvua zilizonyesha na kuhamisha tuta la...
View ArticleWatu 6 Mbaroni Kwa Kukutwa na Nyaya za Umeme Mali ya TANESCO
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm mnamo tarehe 07/11/2017 huko maeneo ya Tegeta IPTL lilifanikiwa kukamata gari lenye namba za usajili T. 897 ARF aina ya FUSSO likiwa limebeba nyaya za umeme Roller/Drum...
View ArticleWATEJA WA VODACOM NA TECNO WALETEWA PHANTOM 8 MSIMU WA SIKUKUU
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (kushoto) na Mkuu wa maduka ya rejareja wa kampuni hiyo, Brigita Stephan (kulia) wakimsikiliza Afisa Mawasiliano wa...
View ArticleMHISPANIA AWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA BAISKELI.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.MPANDA milima mashuhuri Duniani kwa kutumia Baiskeli ,Juanito Oiarzabal ameweka rekodi ya kuwa Mhispania wa kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro huku...
View ArticleProf. Elisante Aagiza Kiwanda cha Viuadudu Kujitangaza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Profesa Elisante Ole Gabriel akiongoza kikao alipokutana na uongozi wa kiwanda cha Uzalishaji wa Viuadudu (Tanzania Biotech Production Limited)...
View ArticleSPIKA JOB NDUGAI AZUNGUMZA NA WABUNGE WALIOSHIRIKI MAFUNZO NCHINI CHINA.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walioshiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utendaji wao wa kazi nchini China katika kikao...
View ArticleDC NYASA AITUPIA LAWAMA TBA KWA KUKWAMISHA UJENZI WA OFISI YA MKURUGENZI
Mkuu wa wilaya ya NYASA ISABELA CHILUMBA amemwomba mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME kuhakikisha anaingilia kati ujenzi wa nyumba yake ,ofisi ya mkurungenzi baada ya kuonekana TBA kushindwa...
View ArticleSHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA (TANAPA) SASA LAFIKILIA KUJA NA UTALII KWA BODA...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limesema litafikiria matumizi ya Boda boda na Bajaji kwa wageni watakao hitaji kutembelea Hifadhi zake endapo...
View ArticleMkutano Wa COP 23, Utatoa Suluhisho La Kukabiliana Na Changamoto Ya...
NA CHRISTINA MWAGALA, OFISI YA MEYA WA JIJIMSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amesema kuwa mkutano wa COP 23 ambao Mameya na watendaji wakuu wa majiji na miji mbalimbali duniani utatoa...
View ArticleMSHTAKIWA SETHI AIOMBA MAHAKAMA IMRUHUSU KWENDA KUPATIWA MATIBABU YA PUTO...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mshtakiwa Harbinder Singh Sethi,ameoimba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumruhusu kwenda kupatiwa matibabu ya puto lake lililoisha muda nchini Afrika Kusini kwa...
View ArticleYALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 10,2017
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Azzan Zungu akiingia bungeni tayari kuongoza Mkutano wa tisa wa kikao cha nne cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini...
View ArticleMahakama yatupilia mbali maombi ya matunzo ya mtoto dhidi ya Mwanamuziki...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa watoto imeitupilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mwanamitindo Hamisa Mobeto dhidi ya Mwanamuzi Diamond Platnum. Uamuzi huo umetolewa leo Novemba 10/2017 na...
View ArticleRC RUVUMA AMEPIGA MARAFUKU KUMWITA MWANAFUNZI WAKIKE BABY
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewataka wafunzi wakike waliopo mashuleni kuacha mara moja tabia ya kukubali kuitwa mababy hayo yamesemwa katika ziara yake ya siku moja katika shule ya NASULI...
View ArticleWAGONJWA 15 WAFANYIWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KATIKA MOYO NA...
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Hospitali ya Saifee ya Mjini Mumbai nchini India wamefanya upasuaji mkubwa wa moyo kwa wagonjwa 15 katika kambi maalum ya upasuaji ya siku sita...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA KATIBU MKUU KIONGOZI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Injinia John Kijazi wakati alipomtembelea Waziri mkuu ofisini kwake mjini Dodoma leo Novemba 10/2017 kwa mazungumzo ya...
View ArticleWAZAZI WAASWA KUWASOMESHA WATOTO WA KIKE
NA DENIS MLOWE, IRINGAWAZAZI na Walezi wameaswa kuwasomesha watoto wa kike na kuachana na fikra potofu kuwa kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza rasilimali fedha kwani maisha ya sasa bila elimu ni...
View ArticleWARSHA YA WANACHAMA WA UMOJA WA POSTA AFRIKA KWA NCHI ZINAZOZUNGUMZA...
WARSHA ya Kimataifa ya wanachama wa Umoja wa Posta Afrika kwa nchi zinazozungumza Kiingereza, imefanyika jijini Arusha, Tanzania ikizishirikisha nchi mbalimbali barani Afrika.Katika warsha hiyo,...
View Article
More Pages to Explore .....