BIASHARA YA CHUMA CHAKAVU NA TAKA HATARISHI KUUZWA NA WALE WENYE VIBALI TU
Tarehe 20 Mei, 2017 Ofisi ya Makamu wa Rais iliutaarifu umma kuhusu utaratibu wa kufanya shughuli zote zinazohusu ukusanyaji, usafirishaji, biashara na urejeleshaji wa taka hatarishi kama vile vyuma...
View ArticleRAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS YOWERI MUSEVENI KATIKA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika Ikulu ndogo ya Masaka nchini Uganda. Rais wa...
View ArticleDKT MPOKI ASISITIZA MAFUNZO YA LISHE BORA YAANZIE SHULE ZA MSINGI
KATIBU Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto amewataka watoa huduma na mafunzo kuhusu lishe bora yaanzie ngazi za shule ya msingi ili kuwajenga watoto kuzingatia mlo bora...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MARY MWANJELWA ASEMA MPANGO WA SERIKALI KUPELEKA...
Na Mathias Canal, DodomaSerikali imesema kuwa Mpango wa Serikali wa kuwapelekea wakulima wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma mbegu mpya za Kahawa ni mahususi kwa ajili ya kuinua uzalishaji kwa kutekeleza...
View ArticleSHIRIKA LA SAVE THE CHILDREN LATOA MSAADA WA PIKIPIKI KWA JESHI LA POLISI...
Shirika la kimataifa la Save The Children limetoa msaada wa pikipiki kwa ajili ya dawati la jinsia na watoto la jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa...
View ArticleMAFINGA WAO NI KAZI TUU.
Ujenzi wa majengo mbalimbali katika Kituo cha Afya Cha Ihongole umeanza kutokana na fedha za Serikali Tsh. 500m/=. Ujenzi huu unahusisha kujenga Maabara, Chumba cha Upasuaji, Wodi ya Wazazi (Mama na...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO UGANDA, PIA AZUNGUMZA NA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watanzania waishio nchini Uganda katika eneo la Masaka.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli...
View ArticleDC IGUNGA HAITIMISHA ZOEZI LA KUPOKEA MBEGU BORA KUTOKA COSTECH-OFAB
Na Dotto Mwaibale, Igunga TaboraMKUU wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, John Mwaipopo amehitimisha zoezi la ugawaji wa mbegu bora katika mikoa ya Kagera, Geita na Tabora kwa kuipongeza Tume ya Taifa ya...
View ArticleMHANDISI MTIGUMWE ATANGAZA KIAMA KWA MAAFISA UGANI NCHINI
Na Mathias Canal, ArushaSerikali imekuwa ikiongeza idadi ya wanafunzi katika Vyuo vya Kilimo na kwa sababu hiyo Maafisa Ugani wamekuwa wakiongezeka kila mwaka ambapo hali hiyo imewezesha Karibu kila...
View ArticleWANAWAKE WATAALAMU WA KILIMO ,UVUVI NA MIFUGO WAZINDUA KITABU CHAO KATIKA...
Mgeni rasmi Bi. Butano Philipo wakiwa na Mwenyekiti wakizindua vitabu mbalimbali ikiwemo kitabu cha Ufugaji wa samaki.Chama cha wanawake wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo,Mifugo,Uvuvi na Mazingira,...
View ArticleNAIBU SPIKA TULIA ACKSON AMEWATAKA WANAWAKE NCHI KUJENGA MAZOEA YA KUFAYA...
Naibu spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson ameendesha arambee ya kuchangia hospitali ya wilaya ya Namtumbo iliyopo mkoaani Ruvuma kwa ajili ya kujenga hodi ya akina mama...
View ArticleYALIYOSEMWA NA DK. HASSAN ABBAS KATIKA KIPINDI CHA VIJANA TZ JUU YA MAFANIKIO...
“Ofisi yangu ina jukumu la kutoa taarifa sahihi na kwa wakati ya Serikali; Kusajili na kufungua Magazeti; Kusaidia Watu wa mifumo mingine ya Serikali kusema” – Dk. H.A @TZ_MsemajiMkuu“Uhuru wa vyombo...
View ArticleWADAU WA MADINI WATAKIWA KUHAKIKISHA MADINI YANANUFAISHA JAMII
Wadau wa madini wametakiwa kuhakikisha sekta hiyo inaakisi maendeleo ya jamii inayozunguka eneo hilo ili waone faida ya kuwepo kwa rasilimali hiyo muhimu. Mkuu wa Mkoa wa Geita Robert Luhumbi aliyasema...
View ArticleKATIBU MKUU NDUMBARO :WATUMISHI WA WIVIVU TUTAPAMBANA NAO
Katibu mkuu ofisi ya Rais utumishi na utawala bora Dkt. Lauren Ndumbaro amewataka watumishi wote kuwa wazalendo na kuwatumikia wananchi na wafanyakazi ili kuijenga nchi yetu ya Tanzania .Hayo yamesemwa...
View ArticleRais Magufuli amaliza ziara ya siku 3 Uganda, Rais Museveni atoa tamko dhidi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye gwaride la Kimya lililoandaliwa kwa heshma na Jeshi la Uganda mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu...
View ArticleWANAFUNZI 250 WAPATA MAFUNZO YA GIRL GUIDES TEMEKE
Baadhi ya Girl Guides ambao ni wanafunzi kutoka Shule mbalimbali za Manispaa ya Temeke wakionesha moja ya alama muhimu za Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA), baada ya kupata mafunzo ya awali...
View ArticleKamati Kuu ya AFCON yazinduliwa
Na Anitha Jonas – WHUSM-Dar es SalaamSerikali yazindua Kamati Kuu ya maandalizi ya Africa Cup of Nation Under 17 (AFCON) yenye wajumbe ishirini na tano kwa ajili ya kufanikisha mashindano hayo...
View ArticleMamlaka za Maji Nchini Zatakiwa Kuanzisha Vituo Maalum vya Kupokelea...
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo pamoja na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya...
View Article
More Pages to Explore .....