Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

YANGA NA MTIBWA NGOMA DROOO LEo

$
0
0

 Wachezaji Jamal Mnyate wa Mtibwa Sugar (kushoto) na Haruna Niyonzima wa Yanga wakiwania mpira wakati timu zao zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Matokeao yalikuwa 1-1.
Mashabiki wa Yanga wakifuatilia moja ya shambulizi la timu hiyo, langoni kwa Mtibwa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>