Kivuko cha Mv Pangani II ni kiunganishi kikubwa kati ya mkoa wa Tanga na hifadhi ya Saadani kwa watalii wanao toka Tanga. Ila vidumu si kwenye Landrover tuu hata huku pia .
Tunajazia kidogo .
Watumiaji wa kivuko wakishuka katika chombo hicho Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Pangani.